monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na Mimi. Hunijuwi sikujuwi. Jibu hoja zilizopo.FAIZA HUJAMBO LAAZIZ .VIPI MA CCM YANA SEMAJE, YAME KUKOSEA NINI MBONA LEO UNA YAKANA?
FAIZA MA CCM NI LAANA YA SHETANIAchana na Mimi. Hunijuwi sikujuwi. Jibu hoja zilizopo.
Na hiyo miandishi kutupigia kelele kwa kuweka miherufi mikubwa ndivyo mwalimu wako alivyokufundisha?
Tukiwaambia hizo shule mlienda kusomea ujinga hamtuelewi.
Laana ilimuanza pale alipomshambulia mzee Warioba akapewa zawadi ya ukuu wa wilaya yy akajua hujuma ndio njia pekee ya kua kiongoziSiongei sana
View attachment 1342906
Jiwe akisikia hizi habari mavi yanagonga chupi, aiseee mabeberu wamejua kunifurahisha.
Kumbe Makonda ana nguvu kubwa sana Duniani.Siongei sana
View attachment 1342906
Bashite=Meko
Hiyo ni shule ya kusomea ujinga.FAIZA MA CCM NI LAANA YA SHETANI
NIACHANE NA WEWE KWANI TUMEOWANA? AU MIMI NI BOYFRIEND WAKO MPAKA NIACHANE NA WEWE?
RugeMakonda aka Bashite hajawahi kufanya jambo bila kuacha alama...Haya ni machache tu ila yapo mengi sana aliyofanya ambayo yanakandamiza haki za binadamu na uhuru wa kuishi....Bashite anafanya hayo akikingiwa kifua na Baba Yake Meko na Mjomba wao Hi Now.
1.Bashite anahusika 100% kwa kuawawa kwa Ben Saanane.
2.Bashite anahusika 100% kwa shambulio la Lissu.
Hawamuwezi hata kidogo,nashangaa sana baadhi yetu kujipendekeza kwa mabeberu ipo siku watakula kisamvuMabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Hii pia ni doa kwake....hata kama alikuwa na ndogo za kuwa waziri au rais ndio basi tena.Makonda bado ni kijana mdogo ana familia inakua changa nadhani yeye mwenyewe ataangalia haya yanakuaje kwasababu inavyoonekana hawa wanaoitwa mabeberu wamemkalia vibaya..
Ni vizuri tukipata nafasi za uongozi tujue kuna kesho na tuna watoto wanakua..hili ni jambo zito sana.
Kitendo cha kutajwa kwa mke wake kimenitisha kumbe ukifanya mambo usisahau inawagharimu hata ndg zako wa karibu..Kwa nchi kama US kutajwa namna ile tena na Waziri wa mambo ya nje na Jasusi kama huyo Pompi ujue kweli kuna mahala sio sawa.
Ile barua inasema credible sources ina maana wamefuatilia na wana jambo pengine..
Huyu jamaa ameshiriki ushetani wa hali ya juu sana, na kwa umri wake hii BAN imemvurugia saaaana.Umejiuliza tarehe 7 September, 2017 Bashite alikuwa wapi wakati Ikulu ya Dar, Rais alikuwa anapokea ripoti ya makinikia na yeye akiwa mkuu wa mkoa wa Dar alitakiwa kuwepo!!!?
Hawakuweza kumtaja mwanawe kwa vile ni minor. Lakini na mwanawe yumo ikiwa ban itakuwa inarndelea atakapofika age ya maturity. Kikawaida ban ya US inafuatiwa na ya EU. Yetu macho!Makonda bado ni kijana mdogo ana familia inakua changa nadhani yeye mwenyewe ataangalia haya yanakuaje kwasababu inavyoonekana hawa wanaoitwa mabeberu wamemkalia vibaya..
Ni vizuri tukipata nafasi za uongozi tujue kuna kesho na tuna watoto wanakua..hili ni jambo zito sana.
Kitendo cha kutajwa kwa mke wake kimenitisha kumbe ukifanya mambo usisahau inawagharimu hata ndg zako wa karibu..Kwa nchi kama US kutajwa namna ile tena na Waziri wa mambo ya nje na Jasusi kama huyo Pompi ujue kweli kuna mahala sio sawa.
Ile barua inasema credible sources ina maana wamefuatilia na wana jambo pengine..
Wamuogope ana nini hivi wakimtaka anaweza chukua round? Alichukuliwa Noriega akiwa madarakani tena ni general ijekuwa jiwe?Mabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
SURA MBAYA KUFA HUTAKI... WEWE MWENYEWE HUNA ELIMU KAZI KUAMBIA KILA MTU HANA ELIMU. PUMBAVU KABISA, SHETANI MKUBWA WEWE. KWENDA.....TOKAAAAAA GO TO HELLHiyo ni shule ya kusomea ujinga.
Hata Yesu mnasema kafa kwa kufanywa laana itakuwa CCM? Sikushangai.