Mabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Ni wazi hujui chochote katika siasa za marekani na nchi tegemezi ambazo zinategemea marekani, unaweza ona hili ni jambo dogo kwako lakin kwa nchi ni jambo kubwa
Kwa akili zako unaweza ona sasa Tz yaweza tegemea nchi nyengine badala marekani lakin ufahamu kwamba ata hao nchi nyengine utakuta uchumi wao pia wanaitegemea marekani ambao pia inaweza ekewa vikwazo sababu wanaifadhili nchi fulani.
China ni taifa kubwa kuna wakati china walisema watatengeneza mfumo wao wa android lakin walijikuta na wakati mgumu sn kwa teonolojia bila marekani, ni kama vile wame-sarenda huu ni mfano tu.
Haya mambo si madogo lazima Tz waje chini kurekebisha mambo otherwise ni doa kubwa kwa mustakbali wa maendeleo lakin ata mimi na wewe