Bunge la Senate lapongeza zuio la Paul Makonda kuingia Marekani. Lasema huo ni mwanzo wa kuwawajibisha walioua demokrasia ya Tanzania

Bunge la Senate lapongeza zuio la Paul Makonda kuingia Marekani. Lasema huo ni mwanzo wa kuwawajibisha walioua demokrasia ya Tanzania

Ni vizuri kupeleka ushahidi huu police, kwa shambulio la lisu, hatuna proof yeyote kwa yeyote maana yake anayebeba lawama ni jeshi la police maana hao ndio wana jukumu la kuwalinda watu na pia pre lisu aliwapa taarifa za matishio aliyokuwa anayaona, sasa mkuu wa mkoa kafanya lipi kiukweli ambalo linakandamiza haki za binadamu, la ben pia lawama iko kwa jeshi la police, kutumia neno gross si sawa waweke specification kbs mbona wengine huwa wanatajwa kbs kuna hili na hili amehusika nalo, tujadili haya bila upendeleo na ushabiki, la clouds kweli angalau lina eleweka kidgo, nin kingine makonda kafanya kama sio chuki binasfi tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Marekani na chuki binafsi na Makonda wapi na wapi..Are you even serious?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hi
Huwa bashite anaangalia sehemu za Siri za sanamu akiendaga ulaya, Sasa hawataki ujinga huo marekani
Hivi mbona tunajitoa ufahamu? Ni kweli ili uishi ni lazima ufike USA? Mbona tunaendekeza vitu vingine ambavyo si lazima. Watanzania wangapi wameishia na kufanyakazi bilakufika nje ya Afrika na wanaendelea na maisha? Marekani si mbiguni ambako kila mmoja wetu anahofu ya kutotenda maovu ili sijehukumiwa kwa moto
 
Choko choko ipi kipi kigeni ambacho mabeberu wamekisema kwenye ile barua hakikuzungumzwa hapa watanzania wameongea sana kuhusu utovu wa nidham katika uwajibikaji wa makonda

Ajabu mzee akawa anamchekea tu makonda kaharibu mnajua mzee amuachi anamchekea tu haya sasa mmelikologa mlinywe
Mchuma janga hula na wakwao.
 
Miradi ipi na mianya ipi?

Sifahamu kama USA wana mradi wowote hapa kwetu zaidi ya wao kuwekeza na au kutupa misaada.

Tufahamishe hiyo miradi na ukishindwa basi wewe ni muongo.
Leo umeongea fact Dada faizafoxy ujue sijui tuna akili za kushikiwa sisi jamani ccm yangu naililia kwa kuenda shimoni kiss wachache wenye uchu wa madaraka ila mungu yupo ccm italudi kwenye misingi yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makonda aka Bashite hajawahi kufanya jambo bila kuacha alama...Haya ni machache tu ila yapo mengi sana aliyofanya ambayo yanakandamiza haki za binadamu na uhuru wa kuishi....Bashite anafanya hayo akikingiwa kifua na Baba Yake Meko na Mjomba wao Hi Now.

1.Bashite anahusika 100% kwa kuawawa kwa Ben Saanane.
2.Bashite anahusika 100% kwa shambulio la Lissu.
Hahahaa imenichukua dakika tano kuelewa HI NOW
 
Picha linaanza tunachoma moto vichaka vya kukimbilia ili CDM itakapo chukua nchi tusipate tabu ya kutafutana huku na kule tunaanza kwa kuwaokota hap hapa na kuwasongesha mbele ya sheria

Kwa taarifa yenu ni mpango wa mbali sana usioweza kuuona kwa jicho la karibu ila get prepared you'll all pay the price ya kuua demokrasia kwa maslahi yenu binafsi kazi kazi tu haina kufeli ... in Samagoal voice

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemkumbuka mwalimu wamgu Head Master ktk sekondari aliitwa Claudio Kaseha( R.I.P) alikuwa akikuweka kwenye Kitabu kilichoitwa Black Book. Hii ilikuwa kwa wanafunza waliovuka mipaka kwa ukorofi na utovu wa nidhamu.

Black Book ilikuwa inatisha. POLE SANA AWAMU YA TANO, TULIWAONYA SANA, TUMEPIGA MAOMBI SANA.
 
Hili swala ingawaje linamhusu mtu binafsi ila haileti picha nzuri kwa nchi yetu ambayo ina heshima duniani. ...ifike wakati ndugu huyu hata kama mamlaka za uteuzi hazijamwondoa basi yeye ajiondoe mwenyewe kwa heshima ya Taifa letu
 
January imeisha vizuri sanaa wallah, natuamini kuanzia jumatatu ijayo tutasikia habari nyingine motomoto kutoka kwa "MABEBERU"
 
Mabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Kama kweli kawanyoosha, mbona mnalilia pesa zao hadi mnapendekeza zitto auawe
 
Back
Top Bottom