Bunge la Senate lapongeza zuio la Paul Makonda kuingia Marekani. Lasema huo ni mwanzo wa kuwawajibisha walioua demokrasia ya Tanzania

Kutekwa kwa MO
 
Katumiwa sana sasa atatupwa kama hawamjui. usimuamini mwana siasa ukitumika ukawa huna jipya basi ujuwe umeisha. wanasiasa hawana tufe pamoja ukiwa unahatarisha maslahi ya mtu unapigwa chini na mahakamani unaenda. Hii ni hatari kuliko tunavyodhania..
 
Mabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Miradi ipi na mianya ipi?

Sifahamu kama USA wana mradi wowote hapa kwetu zaidi ya wao kuwekeza na au kutupa misaada.

Tufahamishe hiyo miradi na ukishindwa basi wewe ni muongo.
 
Mabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Endeleeni kumtia ujinga. Wenye teknolojia zao wameshakusanya ushahidi.

Wamevumilia sana wakidhani ni ugeni wake na uongozi ila wameona kumbe ni tatizo kweli na wameanza kulishughulikia
 
Sisi ndo tuna raw materials, tuwapige ban US kule Geita kuchimba madini, jino kwa jino, SASA KAMA MKUU WA MKOA KAZUILIWA KUINGIA US ,ITAKUWAJE RAISI ALIYEZUIA MIKUTANO HALALI YA KIDEMOCRACIA?
 
Na wenyewe wamechoka, wanampiga ban Makonda kwenda Marekani ataenda kufanya nini huko kwao. Ni sawa na mimi kunipiga ban kuwa rubani wa ndege wakati hata abc kuhusu hizo ndege sizijui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…