Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Watu wengi sana wameuawa awamu hii, kuna ukatili wa kutisha ulikua unafanyika pale tazara sijui kama bado unaendelea, watu wanapigwa risasi na kufukiwa kama mbwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Story za vijiweni dogo. dunia iko mbali sanaMabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Huyo JPM wako ndiye atakaye nyookaMabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Kutekwa kwa MOMakonda aka Bashite hajawahi kufanya jambo bila kuacha alama...Haya ni machache tu ila yapo mengi sana aliyofanya ambayo yanakandamiza haki za binadamu na uhuru wa kuishi....Bashite anafanya hayo akikingiwa kifua na Baba Yake Meko na Mjomba wao Hi Now.
1.Bashite anahusika 100% kwa kuawawa kwa Ben Saanane.
2.Bashite anahusika 100% kwa shambulio la Lissu.
Hawatomuacha salama huyo MBWEHA.....Lazima Afikishwe ICC maana US wana Ushahidi wa Kutosha kwa matendo yake ya kuua watu.Itakuwa hivyo kuhusu namba 1 na 2 hapo juu, ndiyo maana neno “gross” limetumika kuelezea huo ukatili wake.
Yes amefanya mengi sana ila hayo mawili alivuka mipaka kabisa yakaacha alama kubwaKutekwa kwa MO
Katumiwa sana sasa atatupwa kama hawamjui. usimuamini mwana siasa ukitumika ukawa huna jipya basi ujuwe umeisha. wanasiasa hawana tufe pamoja ukiwa unahatarisha maslahi ya mtu unapigwa chini na mahakamani unaenda. Hii ni hatari kuliko tunavyodhania..Makonda bado ni kijana mdogo ana familia inakua changa nadhani yeye mwenyewe ataangalia haya yanakuaje kwasababu inavyoonekana hawa wanaoitwa mabeberu wamemkalia vibaya..
Ni vizuri tukipata nafasi za uongozi tujue kuna kesho na tuna watoto wanakua..hili ni jambo zito sana.
Miradi ipi na mianya ipi?Mabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Endeleeni kumtia ujinga. Wenye teknolojia zao wameshakusanya ushahidi.Mabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Mawazo ya kihayawaniMabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..