Miradi ipi na mianya ipi?
Sifahamu kama USA wana mradi wowote hapa kwetu zaidi ya wao kuwekeza na au kutupa misaada.
Tufahamishe hiyo miradi na ukishindwa basi wewe ni muongo.
Jinga wewe,jamaa ni jemedari wenu wewe na mamayakoMabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Mkuu kwani na wewe ni mtu timamu?Na wenyewe wamechoka, wanampiga ban Makonda kwenda Marekani ataenda kufanya nini huko kwao. Ni sawa na mimi kunipiga ban kuwa rubani wa ndege wakati hata abc kuhusu hizo ndege sizijui
Sent using Jamii Forums mobile app
Tazara ya wapi na wewe mbona unaandika kichakubimbiWatu wengi sana wameuawa awamu hii, kuna ukatili wa kutisha ulikua unafanyika pale tazara sijui kama bado unaendelea, watu wanapigwa risasi na kufukiwa kama mbwa.
Masogange aliwekewa sumu kwaniniYes amefanya mengi sana ila hayo mawili alivuka mipaka kabisa yakaacha alama kubwa
3. Masogange kuwekewa sumu.
4.Roma kutekwa
Achana na jinga hilo,linaropoka hapo alipo hata hela ya kununua chupi hana,kazi tu kushabikia upumbavuMiradi ipi na mianya ipi?
Sifahamu kama USA wana mradi wowote hapa kwetu zaidi ya wao kuwekeza na au kutupa misaada.
Tufahamishe hiyo miradi na ukishindwa basi wewe ni muongo.
Mabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
unafikiri ulipo tizama mbali muda mwingine pitia hata maoni ya wenzako utaelewa nini nyuma ya pazia angalia sababu usiangalie tatizoNa wenyewe wamechoka, wanampiga ban Makonda kwenda Marekani ataenda kufanya nini huko kwao. Ni sawa na mimi kunipiga ban kuwa rubani wa ndege wakati hata abc kuhusu hizo ndege sizijui
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeelewa neno "Gross" ?Funny [emoji16],Makonda kaua Demokrasia pekee yake?How? Ndiyo gross human rights violation?
Kwa nini tu wasiseme shida ya Makonda ni ile kampeni yake dhidi ya akina Delicious!
Na Kwa nini wasimpeleke The Heague basi badala ya kuzunguka zunguka tu ili haki ikatendeke huko.
Inawezekana wewe sio mpuuzi ila hii umeandika hapa ni upuuzi mtupu!Mabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Mabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Mabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..
Ukisikia steep democratic decline ujue maana yake ni kukatika au kuzibwa kwa kasi mirija yao ya unyonyaji nchini...ndio wananchi tujue hizi kelele sisizoendana na tabia ya mwanzo ya zitto zinatoka wapi. Wamejitokeza sasa baada ya kuona vibaraka hawatafua dafu uchaguzi mwaka huu. Yafaa nchi kujiandaa kidete ili tusijenyang'anywa kibabe madaraka ya kujitawala.Siongei sana
View attachment 1342906
Neno gross limetumika sana kufikisha ujumbe maalum
Jr[emoji769]