ibesa mau
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 2,109
- 1,697
Yaani wewe ni mjinga na kama ameenda shule basi elimu haijakusaidia. Ukiona wapi tajiri anamwogopa maskini. Mabeberu wamwogope Magu hizo story za abunuasiMabeberu wanamuogopa jemedari wetu JPM amezuia mianya yao ya upigaji kupitia miradi yao ya hovyo huku na vibaraka wao..JPM anawanyoosha mabeberu sasa wameanza chokochoko..