Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabunge Wetu wa Ajabu!, Wanaachaje Bunge Lijipendekeze Kwa Serikali!, Wanajua Wajibu Wao?. Check 'n' Balance Itoke Wapi?Bunge linasema hivi na kuamua hivi lakini Serikali inafanya hivi na kuamua vile. Bunge hili la nini na linatumia pesa nyingi kujiendesha tena bila faida? Bunge lifutwe na lisiwepo kabisa, halina faida bunge hili.
Nawasilisha
Wasalaam.!
Ni wazi kuwa huwezi kulinganisha bunge la JMT la kipindi cha Marehemu Mzee Sita, Mama Makinda na hili la Dada Tu maana sioni kama Job ni bunge lake naona amemezwa kwahakika na Dada hyo.
Nmejkuta naona kabsa bunge halina mvuto tena zamani Kwny bunge la mama Makinda ilikuw watu wanafuatilia sana kujua nani ataongea mpk ratba wanajua lkn kipind hiki bunge linaanza hakuna yeyote anayejua zaid ya taasis na ofis kubwa kubwa.
Hata huku JF hakuna post nyingi za kuchambua matukio yaliyojtokeza ktk bunge kama zamani ilikuw humu unakuta mijadala ya bungen yaliyojiri yote unayakuta humu.
Katibu wa bunge na viongoz waandamiz sambamba na wabunge wenyew naomba mfanye tafiti kwann hii hali ipo hivi na mjipime je ni haki kuendelea hivi?
Naomba kuwasilisha wadau.!
Wasalaam.!
Ni wazi kuwa huwezi kulinganisha bunge la JMT la kipindi cha Marehemu Mzee Sita, Mama Makinda na hili la Dada Tu maana sioni kama Job ni bunge lake naona amemezwa kwahakika na Dada hyo.
Nmejkuta naona kabsa bunge halina mvuto tena zamani Kwny bunge la mama Makinda ilikuw watu wanafuatilia sana kujua nani ataongea mpk ratba wanajua lkn kipind hiki bunge linaanza hakuna yeyote anayejua zaid ya taasis na ofis kubwa kubwa.
Hata huku JF hakuna post nyingi za kuchambua matukio yaliyojtokeza ktk bunge kama zamani ilikuw humu unakuta mijadala ya bungen yaliyojiri yote unayakuta humu.
Katibu wa bunge na viongoz waandamiz sambamba na wabunge wenyew naomba mfanye tafiti kwann hii hali ipo hivi na mjipime je ni haki kuendelea hivi?
Naomba kuwasilisha wadau.!
Hahahahaaaaas woii8iiiiiyaani hata sisomi ndani umeandika nini heading yako inajieleza vyema naunga mkono hoja kwa asilimia mia wanatupotezea pesa zetu tu hawa .