Mwambie maana hajui.EU siyo Taifa moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie maana hajui.EU siyo Taifa moja
Beelzebub huyu si mkuu wa mapepa aliyetajwa na Yesu Kristo?Hii ni hatari kuliko hatari yenyewe!Beelzebub anakwenda vizuri ila kuna mambo hayako fair, tunamuonya pia.
Mtanyooka makatili nyieNdoto za majuha hizo watwana wa mabeberu.
Huwa nawapendeni Sana chadomo, The way mnavyopende Kuona Masada Wenu upo mikononi mwa WAZUNGU.Mtanyooka makatili nyie
Pamoja na wewe unajua ukweli kuwa bila wazungu hakuna kitu utafanya hata bibi ushungi analijua hiloHuwa nawapendeni Sana chadomo, The way mnavyopende Kuona Masada Wenu upo mikononi mwa WAZUNGU.
Wazungu wanatabia mbaya msiwage mnawapenda kupitiliza Ohooo!Pamoja na wewe unajua ukweli kuwa bila wazungu hakuna kitu utafanya hata bibi ushungi analijua hilo
Wanatabia mbaya lakini kutwa watawala wetu wanakimbilia kwa wazungu kuomba misaada na kuficha mali zaoWazungu wanatabia mbaya msiwage mnawapenda kupitiliza Ohooo!