Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

Bunge la Ulaya: Hii ni bahati mbaya au ni malengo maalum?

Wewe huwa napenda uwepo kwenye mijadala kwa sababu moja yaani we ni mchekeshaji wa kijiwe, yaani kwa maana nyingine ni mshehereshaji tu...

Maana nikianza kuweka aya za quran nadhani hali inaweza ikabadilika... na nikikuuliza maswali nadhani unaweza ukachukia, busara yangu inaniambia nikuache uendelee kutubirudisha tu...

Wenzako wasabato wanadai nyie ni miongoni mwa Watakatifu mliouliwa na Papa ushahidi ni kutoka kwa msabato Lawkeys aliyotuwekea orodha ya watakatifu waliouliwa na Papa kwenye uzi ule mwingine...

ngojea niishie hapo...

nyie watu ni noma, nimesoma hapo yaani kila issue Papa anasingiziwa hadi kuchakachua maandishi ya Ellen G. White Jesuits wanaambiwa wao wanafanya hivyo wamejipenyeza hadi huko kwenu hadi kwa Wasabato hao jamaa ni noma, hawana tofauti na mfumo kristo, sasa imekuwa kama utamaduni kila kitu sehemu kikienda ndivyo sivyo wa RC wanasingiziwa wamekuwa kama punching bag...

Lakini katika ibada zao sijawahi kuona waki deal na imani za wengine, wala wakitoa shutuma...

CC: RGforever



Mkuu ndugu juve2012 ametoa ushauri mzuri kwa kukuelekeza vyanzo vya wewe kufatilia hizo habari vzr. Tena ametoa miezi 6 ili uweze kumpa mrejesho vzr. Lkn nashangaa kwa wewe kuona km Pope anasingiziwa kwa kujipenyeze ktk kila jambo.
 
Last edited by a moderator:
juve2012 nimekusoma, nikitulia kwenye mashine nitakusoma zaidi...

lakini sijapenda hii sentensi uliyomalizia "sasa ni zamu ya matusi"
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ndugu juve2012 ametoa ushauri mzuri kwa kukuelekeza vyanzo vya wewe kufatilia hizo habari vzr. Tena ametoa miezi 6 ili uweze kumpa mrejesho vzr. Lkn nashangaa kwa wewe kuona km Pope anasingiziwa kwa kujipenyeze ktk kila jambo.
haina haja ya miezi mingi hivyo, hata nikitulia kwenye mashine naweza nikalijibu tu...
 
Last edited by a moderator:
Hao wenyewe wanadili na wa RC pamoja na wakristo wengine, wazee wa ndevu hawana shida nao, ndio maana unaona itikadi zinaendana, hata ile principle ya hata Adamu alikuwa ni... ndio maana hata ku reason wanaenda sawa... Sema wazee wa ndevu busara ni ndogo zaidi...

Ni kweli kabisa mkuu ....!!
 
nyie watu ni noma, nimesoma hapo yaani kila issue Papa anasingiziwa hadi kuchakachua maandishi ya Ellen G. White Jesuits wanaambiwa wao wanafanya hivyo wamejipenyeza hadi huko kwenu hadi kwa Wasabato hao jamaa ni noma, hawana tofauti na mfumo kristo, sasa imekuwa kama utamaduni kila kitu sehemu kikienda ndivyo sivyo wa RC wanasingiziwa wamekuwa kama punching bag...

Lakini katika ibada zao sijawahi kuona waki deal na imani za wengine, wala wakitoa shutuma...

CC: RGforever

Mkuu kuna jambo la kujifunza kwa hawa watu

Hawa RC wamekuwa wakitukanwa sana tangu enzi za White lakini sikuwahi kusikia wakimjibu yoyote yule,nadhani hii ni kutokana na nidhamu kubwa sana ambayo wamejijengea

Ukifika kwenye mikutano,makongamano na misa huwezi kusikia wakijibizana na mtu kijinga,ukikutawanajadili jambo basi hilo litakuwa ni la faida kwa jamii kama ilivyokuwa kwenye katiba mpya na ule waraka

Kwenye hili hawa watu nawakubali sana ......!!
 
Mkuu ndugu juve2012 ametoa ushauri mzuri kwa kukuelekeza vyanzo vya wewe kufatilia hizo habari vzr. Tena ametoa miezi 6 ili uweze kumpa mrejesho vzr. Lkn nashangaa kwa wewe kuona km Pope anasingiziwa kwa kujipenyeze ktk kila jambo.


Mkuu Ntuzu

nakusoma kwa karibu Sana

nimefumbuliwa mengi Sana kumbe papa ni agent wa Giza??
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ndugu juve2012 ametoa ushauri mzuri kwa kukuelekeza vyanzo vya wewe kufatilia hizo habari vzr. Tena ametoa miezi 6 ili uweze kumpa mrejesho vzr. Lkn nashangaa kwa wewe kuona km Pope anasingiziwa kwa kujipenyeze ktk kila jambo.


Mkuu Ntuzu

nakusoma kwa karibu Sana

nimefumbuliwa mengi Sana kumbe papa ni agent wa Giza??
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ndugu juve2012 ametoa ushauri mzuri kwa kukuelekeza vyanzo vya wewe kufatilia hizo habari vzr. Tena ametoa miezi 6 ili uweze kumpa mrejesho vzr. Lkn nashangaa kwa wewe kuona km Pope anasingiziwa kwa kujipenyeze ktk kila jambo.


Mkuu Ntuzu

nakusoma kwa karibu Sana

nimefumbuliwa mengi Sana kumbe papa ni agent wa Giza??
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ndugu juve2012 ametoa ushauri mzuri kwa kukuelekeza vyanzo vya wewe kufatilia hizo habari vzr. Tena ametoa miezi 6 ili uweze kumpa mrejesho vzr. Lkn nashangaa kwa wewe kuona km Pope anasingiziwa kwa kujipenyeze ktk kila jambo.


Mkuu Ntuzu

nakusoma kwa karibu Sana

nimefumbuliwa mengi Sana kumbe papa ni agent wa Giza??
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kuna jambo la kujifunza kwa hawa watu

Hawa RC wamekuwa wakitukanwa sana tangu enzi za White lakini sikuwahi kusikia wakimjibu yoyote yule,nadhani hii ni kutokana na nidhamu kubwa sana ambayo wamejijengea

Ukifika kwenye mikutano,makongamano na misa huwezi kusikia wakijibizana na mtu kijinga,ukikutawanajadili jambo basi hilo litakuwa ni la faida kwa jamii kama ilivyokuwa kwenye katiba mpya na ule waraka

Kwenye hili hawa watu nawakubali sana ......!!
Jamaa huwa wapo smart sana huwa wamebase kwenye maendeleo zaidi ndio maana wameendelea sana mkuu, nadhani pia ile shule ya viongozi wao na wao wenyewe inasaidia sana...

ndio maana Wazee wa Madevu huwa wanakomaa nao lakini huwezi ona wakijibizana nao mkuu kama unavyosema, wenyewe wanaendelea kupiga kazi tu kwa duniani Idadi yao ni kubwa kwa madhehebu yote...

Kweli mkuu kuna kitu cha kujifunza...
 
Wewe huwa napenda uwepo kwenye mijadala kwa sababu moja yaani we ni mchekeshaji wa kijiwe, yaani kwa maana nyingine ni mshehereshaji tu...

Maana nikianza kuweka aya za quran nadhani hali inaweza ikabadilika... na nikikuuliza maswali nadhani unaweza ukachukia, busara yangu inaniambia nikuache uendelee kutubirudisha tu...

Wenzako wasabato wanadai nyie ni miongoni mwa Watakatifu mliouliwa na Papa ushahidi ni kutoka kwa msabato Lawkeys aliyotuwekea orodha ya watakatifu waliouliwa na Papa kwenye uzi ule mwingine...

ngojea niishie hapo...

nyie watu ni noma, nimesoma hapo yaani kila issue Papa anasingiziwa hadi kuchakachua maandishi ya Ellen G. White Jesuits wanaambiwa wao wanafanya hivyo wamejipenyeza hadi huko kwenu hadi kwa Wasabato hao jamaa ni noma, hawana tofauti na mfumo kristo, sasa imekuwa kama utamaduni kila kitu sehemu kikienda ndivyo sivyo wa RC wanasingiziwa wamekuwa kama punching bag...

Lakini katika ibada zao sijawahi kuona waki deal na imani za wengine, wala wakitoa shutuma...

CC: RGforever
Mkuu wa chuo, binadamu mwenye utashi anaweza kuwatetea Jesuits kwasababu mbili tu na ni:

1. Hawajui vizuri (mjinga); na

2. Yeye pia ni mmoja wao.

Papa anawatumia kama maroboti yake, nimekuonesha barua Papa Benedict aliyowaandikia kuwakumbusha kiapo chao (barua ipo kwenye website ya Vatican hata leo). Alichofanya Papa ni kuwakumbusha sehemu ya kiapo chao:

"I do further promise and declare, that I will have no opinion or will of my own, or any mental reservation whatever, even as a corpse or cadaver (perinde ac cadaver), but will unhesitatingly obey each and every command that I may receive from my superiors in the Militia of the Pope and of Jesus Christ.

That I may go to any part of the world withersoever I may be sent, to the frozen regions of the North, the burning sands of the desert of Africa, or the jungles of India, to the centers of civilization of Europe, or to the wild haunts of the barbarous savages of America, without murmuring or repining, and will be submissive in all things whatsoever communicated to me."

Source: Jesuit Extreme Oath of Induction

Kwanini tunasema wanahusika na uharibifu huu, ni kwasababu wameapa kufanya hivyo, angalia:

1. I furthermore promise and declare that I will, when opportunity present, make and wage relentless war, secretly or openly, against all heretics, Protestants and Liberals, as I am directed to do, to extirpate and exterminate them from the face of the whole earth; and that I will spare neither age, sex or condition; and that I will hang, waste, boil, flay, strangle and bury alive these infamous heretics, rip up the stomachs and wombs of their women and crush their infants' heads against the walls, in order to annihilate forever their execrable race. That when the same cannot be done openly, I will secretly use the poisoned cup, the strangulating cord, the steel of the poniard or the leaden bullet, regardless of the honor, rank, dignity, or authority of the person or persons, whatever may be their condition in life, either public or private, as I at any time may be directed so to do by any agent of the Pope or Superior of the Brotherhood of the Holy Faith, of the Society of Jesus

Jesuits are more evil compares to ISIS, Bokoharam and Alqaida, because they can change shapes and become like them. Who knows.

2. Superior:

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]My son, heretofore you have been taught to act the dissembler: among Roman Catholics to be a Roman Catholic, and to be a spy even among your own brethren; to believe no man, to trust no man. Among the Reformers, to be a reformer; among the Huguenots, to be a Huguenot; among the Calvinists, to be a Calvinist; among other Protestants, generally to be a Protestant, and obtaining their confidence, to seek even to preach from their pulpits, and to denounce with all the vehemence in your nature our Holy Religion and the Pope; and even to descend so low as to become a Jew among Jews, that you might be enabled to gather together all information for the benefit of your Order as a faithful soldier of the Pope.

[/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]You have been taught to insidiously plant the seeds of jealousy and hatred between communities, provinces, states that were at peace, and incite them to deeds of blood, involving them in war with each other, and to create revolutions and civil wars in countries that were independent and prosperous, cultivating the arts and the sciences and enjoying the blessings of peace. To take sides with the combatants and to act secretly with your brother Jesuit, who might be engaged on the other side, but openly opposed to that with which you might be connected, only that the Church might be the gainer in the end, in the conditions fixed in the treaties for peace and that the end justifies the means.

[/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]You have been taught your duty as a spy, to gather all statistics, facts and information in your power from every source; to ingratiate yourself into the confidence of the family circle of Protestants and heretics of every class and character, as well as that of the merchant, the banker, the lawyer, among the schools and universities, in parliaments and legislatures, and the judiciaries and councils of state, and to be all things to all men, for the Pope's sake, whose servants we are unto death.

Source:
http://www.reformation.org/jesuit-oath.html[/FONT]
 
Last edited by a moderator:
Wewe huwa napenda uwepo kwenye mijadala kwa sababu moja yaani we ni mchekeshaji wa kijiwe, yaani kwa maana nyingine ni mshehereshaji tu...

Maana nikianza kuweka aya za quran nadhani hali inaweza ikabadilika... na nikikuuliza maswali nadhani unaweza ukachukia, busara yangu inaniambia nikuache uendelee kutubirudisha tu...

Wenzako wasabato wanadai nyie ni miongoni mwa Watakatifu mliouliwa na Papa ushahidi ni kutoka kwa msabato Lawkeys aliyotuwekea orodha ya watakatifu waliouliwa na Papa kwenye uzi ule mwingine...

ngojea niishie hapo...

nyie watu ni noma, nimesoma hapo yaani kila issue Papa anasingiziwa hadi kuchakachua maandishi ya Ellen G. White Jesuits wanaambiwa wao wanafanya hivyo wamejipenyeza hadi huko kwenu hadi kwa Wasabato hao jamaa ni noma, hawana tofauti na mfumo kristo, sasa imekuwa kama utamaduni kila kitu sehemu kikienda ndivyo sivyo wa RC wanasingiziwa wamekuwa kama punching bag...

Lakini katika ibada zao sijawahi kuona waki deal na imani za wengine, wala wakitoa shutuma...

CC: RGforever
Mkuu wa chuo, binadamu mwenye utashi anaweza kuwatetea Jesuits kwasababu mbili tu na ni:

1. Hawajui vizuri (mjinga); na

2. Yeye pia ni mmoja wao.

Papa anawatumia kama maroboti yake, nimekuonesha barua Papa Benedict aliyowaandikia kuwakumbusha kiapo chao (barua ipo kwenye website ya Vatican hata leo). Alichofanya Papa ni kuwakumbusha sehemu ya kiapo chao:

"I do further promise and declare, that I will have no opinion or will of my own, or any mental reservation whatever, even as a corpse or cadaver (perinde ac cadaver), but will unhesitatingly obey each and every command that I may receive from my superiors in the Militia of the Pope and of Jesus Christ.

That I may go to any part of the world withersoever I may be sent, to the frozen regions of the North, the burning sands of the desert of Africa, or the jungles of India, to the centers of civilization of Europe, or to the wild haunts of the barbarous savages of America, without murmuring or repining, and will be submissive in all things whatsoever communicated to me."

Source: Jesuit Extreme Oath of Induction

Kwanini tunasema wanahusika na uharibifu huu, ni kwasababu wameapa kufanya hivyo, angalia:

1. I furthermore promise and declare that I will, when opportunity present, make and wage relentless war, secretly or openly, against all heretics, Protestants and Liberals, as I am directed to do, to extirpate and exterminate them from the face of the whole earth; and that I will spare neither age, sex or condition; and that I will hang, waste, boil, flay, strangle and bury alive these infamous heretics, rip up the stomachs and wombs of their women and crush their infants' heads against the walls, in order to annihilate forever their execrable race. That when the same cannot be done openly, I will secretly use the poisoned cup, the strangulating cord, the steel of the poniard or the leaden bullet, regardless of the honor, rank, dignity, or authority of the person or persons, whatever may be their condition in life, either public or private, as I at any time may be directed so to do by any agent of the Pope or Superior of the Brotherhood of the Holy Faith, of the Society of Jesus

Jesuits are more evil compares to ISIS, Bokoharam and Alqaida, because they can change shapes and become like them. Who knows.

2. Superior:

My son, heretofore you have been taught to act the dissembler: among Roman Catholics to be a Roman Catholic, and to be a spy even among your own brethren; to believe no man, to trust no man. Among the Reformers, to be a reformer; among the Huguenots, to be a Huguenot; among the Calvinists, to be a Calvinist; among other Protestants, generally to be a Protestant, and obtaining their confidence, to seek even to preach from their pulpits, and to denounce with all the vehemence in your nature our Holy Religion and the Pope; and even to descend so low as to become a Jew among Jews, that you might be enabled to gather together all information for the benefit of your Order as a faithful soldier of the Pope.


You have been taught to insidiously plant the seeds of jealousy and hatred between communities, provinces, states that were at peace, and incite them to deeds of blood, involving them in war with each other, and to create revolutions and civil wars in countries that were independent and prosperous, cultivating the arts and the sciences and enjoying the blessings of peace. To take sides with the combatants and to act secretly with your brother Jesuit, who might be engaged on the other side, but openly opposed to that with which you might be connected, only that the Church might be the gainer in the end, in the conditions fixed in the treaties for peace and that the end justifies the means.


You have been taught your duty as a spy, to gather all statistics, facts and information in your power from every source; to ingratiate yourself into the confidence of the family circle of Protestants and heretics of every class and character, as well as that of the merchant, the banker, the lawyer, among the schools and universities, in parliaments and legislatures, and the judiciaries and councils of state, and to be all things to all men, for the Pope's sake, whose servants we are unto death.

Source:
http://www.reformation.org/jesuit-oath.html
 
Last edited by a moderator:
Jamaa huwa wapo smart sana huwa wamebase kwenye maendeleo zaidi ndio maana wameendelea sana mkuu, nadhani pia ile shule ya viongozi wao na wao wenyewe inasaidia sana...

ndio maana Wazee wa Madevu huwa wanakomaa nao lakini huwezi ona wakijibizana nao mkuu kama unavyosema, wenyewe wanaendelea kupiga kazi tu kwa duniani Idadi yao ni kubwa kwa madhehebu yote...

Kweli mkuu kuna kitu cha kujifunza...

Na nadhani kuna haja ya kuwapotezea wote wale ambao wana mambo yafuatayo

1;Ukiwauliza swali hawajibi na kuleta maneno ambayo hayahusiani na ulichowauliza
2;Unatoa hoja na badala ya kuja na hoja ya kujibu hoja wanakuja na kupachika ma copy nd paste yao
3;Wale ambao wenyewe ni kutusi tu bila kujadiliana kwa heshima

Mkuu nadhani silaha nzuri ya kumfanya mtu akajisikia vibaya hadi akaipiga monitor yake ngumi ni kumpotezea tu bila kumjibu,maana hii ni style ya "Mpinga Kristo" na ni nzuri sana ....!!
 
Mkuu kuna jambo la kujifunza kwa hawa watu

Hawa RC wamekuwa wakitukanwa sana tangu enzi za White lakini sikuwahi kusikia wakimjibu yoyote yule,nadhani hii ni kutokana na nidhamu kubwa sana ambayo wamejijengea

Ukifika kwenye mikutano,makongamano na misa huwezi kusikia wakijibizana na mtu kijinga,ukikutawanajadili jambo basi hilo litakuwa ni la faida kwa jamii kama ilivyokuwa kwenye katiba mpya na ule waraka

Kwenye hili hawa watu nawakubali sana ......!!

You have written this out of ignorance. Kuna sababu 2.

1. Wakatoliki wengi unaokutana na ni ignorant. Na hiyo ni strategy, hawawezi kujibu kwasababu hawana hoja. Wanakaririshwa sala.

2. Jesuits wanapambana na ukweli strategically, kwa kurewrite historia, kudevice interpretations za unabii ambazo zinamuondoa papa kama mpinga kristo, wanachakachua vitabu vya E G White na Biblia mfano NIV, RSV, Douay. Na Mkuu wa chuo unawasadia katika kazi hii, kumbuka habari za Makabayo, Kumbuka uzi kuhusu E White, n.k. na sasa kupitia uzi huu.

3. Jesuits are tricky, wanajifanya wanapingana hapa aafu baadae wanakutana parokia kupokea ujira.

Utwambie tusi tulilo watukana RC! Tunaandika isipokuwa kwa ushahidi wa Biblia, machapisho ya Kikatoliki na Historia. Sijanukuu Great Controversy kwasababu najua mtakavyo luka.

Tutaquote Vatican.va, Katekismu na viapo vyenu vya siri period
 
Last edited by a moderator:
Mi nashangaa mnahangaika kutafuta vi sifa ili kuutoa Uroma ktk upinga Kristo.

Daniel 7:25

He shall speak pompous words against the Most High,
Shall persecute the saints of the Most High,
And shall intend to change times and LAW
The saints shall be given into his hand for a time and times and half time.


Sasa waislamu ni sheria gani ys Mungu waliyobadilisha? Au Uroma ndio ulibadisha sheria ya Mungu hasa ile ya 4 na kuandika SHIKA KITAKATIFU SIKU YA......

Waislam kwa sifa ya kumkataa Yesu kua ni Mungu wao wanaungana na mpinga Kristo mkuu Roma kua kitu kimoja.

Nope, not RC at all. It is Muhammadans who are part of that. In fact, Mahdi is the guy.

The similarities between Islams Mahdi and the Christians anti-christ is absolutely stunning, check it out. ^

It seems very evident that Islam could potentially be the one world religion / government that takes over as told in revelations, by deceiving many. This makes particular sense to me because who else would behead Jews and Christians other than Muslims? Certainly not atheists, they generally don't care. However ..


Qur'an (4:74) - "Let those fight in the way of Allah who sell the life of this world for the other. Whoso fighteth in the way of Allah, be he slain or be he victorious, on him We shall bestow a vast reward."


Qur'an (4:104) - "And be not weak hearted in pursuit of the enemy; if you suffer pain, then surely they (too) suffer pain as you suffer pain..." (ooph, what happened to turn the other cheek? ... I guess those darned Jews corrupted the bible to demote violence ...)


Check this out, I mean...what else can you say but...DUH?

"And I saw thrones, and they sat on them, and judgment was committed to them. And I saw the souls of those who had been beheaded for their witness to Jesus and for the word of God, who had not worshipped the beast or his image, and had not received his mark on their foreheads or on their hands. And they lived and reigned with Christ for a thousand years." (Revelation 20:4)

Do you guys realize how often beheading occurs for our faith?! How much worse could it potentially get? I'm assuming far worse. Especially considering the fact that Obama is INDEED a Muslim, there is no denying that fact.

Watch all parts of Perry Stones video please, and if you could, watch how John could have potentially seen "In the name of Allah" as opposed to 666, talked about by Walid Shoebat. Which would make sense if Islam took over the world, enforced sharia law, and forced those who wanted to buy / sell to take the mark of "In the name of Allah"

Also, it is no secret that Muslims believe Islam will be the reigning religion very soon, and it seems as if Obama is in the midst of trying to fulfill this prophecy as well, if you have time, check out Perry Stones video on Obama fulfilling islamic prophecy. Look at all the democrats who defend Islam till their last breathe, they couldn't even comprehend the fact that the "hearing on the radicalization of Islam" was not about all Muslims, as there were Muslims among the panel, they insisted on personally degrading these Muslims, and would not come to the fact that the republicans were talking about "radicalization" as opposed to "Islam". Where in fact I think the republicans were being far too politically correct in the first place.
 
Back
Top Bottom