Bunge la Ulaya lapiga kura ya kutowaondoa wamaasai Ngorongoro

Siku watapiga kura ya kurudisha utawala wa kikoloni.As long as sisi hatupigi kura kuamua mambo yao na sisi wasitupangie Cha kufanya

Na kuna siku watapiga kura kutaka wabongo ruksa kuoana watu wa jinsia moja. Acha watu waendelee kuwachekea.
 
Samia aliweka wazi, tumieni sheria zenu huko duniani, wao ccm wana za kwao, kama inavyojulikana ccm hawajui hata katiba, wanaita 'kijitabu'.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Nchi yetu bana....hv wasomi wetu wanajitambua kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…