Bunge laazimia Serikali inunue ndege nyingine kwa ajili ya kuhudumia viongozi

Bunge laazimia Serikali inunue ndege nyingine kwa ajili ya kuhudumia viongozi

Ipo siku mãniñä.

Na siku hiyo hakuna atakayeweza kuingilia kati.
IMG_20240213_180514.jpg
 
Hawa wabunge wapo hapo kuwakisha shida za wananchi au Mano wanayotaka wao?
Ununuzi wa ndege kwa matumizi yao je ni kipaumbele wakati wananchi wanalia na ugumu wa maisha?
Hii ni kama Kampeni ya kuwasafisha karibia wote waluoingia 2020 wasirudi 2025 nadhani!!! Sema hawaelewi...!!
 
Sasa hiyo hela ya ndege si ingenunulia mwendo kasi au dawa na vitanda hospitalini? Hivi tuna wabunge au?
 

Bunge la Tanzania limeazimia kuwa Serikali iangalie umuhimu wa kununua ndege nyingine mpya kwa ajili ya kuwahudumia viongozi wakuu wa kitaifa.

Taarifa hiyo imetolewa leo Februari 13, 2024 na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria Joseph Mhagama, ambaye ameeleza kuwa nia ya azimio hilo inatokana na Wakala wa Ndege za Serikali kushindwa kuwahudumia kwa wakati viongozi wakuu pale zinapotokea safari kwa wakati mmoja.

Kwa mujibu wa Mhagama kamati yake imebaini kuwa kwa sasa kuna ndege tatu zinazowahudumia viongozi wa Serikali. Ndege moja inamhudumia Rais wa Tanzania, ndege nyingine mbili zinawahudumia Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar, Waziri Mkuu, Makamu wa Kwanza na Wa Pili wa Rais wa Zanzibar na viongozi wengine wa kitaifa.

“Hali hii husababisha Wakala [wa Ndege za Serikali] kutekeleza jukumu la kuwahudumia viongozi kwa kuchelewa pindi zinapotokea safari za viongozi wote kwa wakati mmoja,” Mhagama anasema.

“Kwa hiyo basi Bunge linaazimia kwamba Serikali ione umuhimu wa kufanya ununuzi wa ndege nyingine ili kuboresha utoaji huduma za usafiri wa anga kwa viongozi wakuu wa kitaifa".

Source: The Chanzo

Nini maoni yako kuhusu azimio hili?

Washenzi sana haya maCCM .... Yanawaza matumbo yao tu na raha zao.

Mara wapandishiane mishahara mpaka ya wake zao .... mara wanunuliane magari.

Halafu kuna Chawa wanakuja kutetea huu ujinga .... Seriously!!?
 
Hii nchi ina hela za kufanya kila kitu isipokuwa mambo ya msingi. Wana hela ya magoli, hela ya misafara ya makonda, hela ya ndege ila hawana hela za umeme, madawati, shule wala vyoo. smh


Ramadan imekaribia, hela za “kufuturisha Serena na Magogoni tumeshaziandaa kabisa.
 

Bunge la Tanzania limeazimia kuwa Serikali iangalie umuhimu wa kununua ndege nyingine mpya kwa ajili ya kuwahudumia viongozi wakuu wa kitaifa.

Taarifa hiyo imetolewa leo Februari 13, 2024 na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria Joseph Mhagama, ambaye ameeleza kuwa nia ya azimio hilo inatokana na Wakala wa Ndege za Serikali kushindwa kuwahudumia kwa wakati viongozi wakuu pale zinapotokea safari kwa wakati mmoja.

Kwa mujibu wa Mhagama kamati yake imebaini kuwa kwa sasa kuna ndege tatu zinazowahudumia viongozi wa Serikali. Ndege moja inamhudumia Rais wa Tanzania, ndege nyingine mbili zinawahudumia Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar, Waziri Mkuu, Makamu wa Kwanza na Wa Pili wa Rais wa Zanzibar na viongozi wengine wa kitaifa.

“Hali hii husababisha Wakala [wa Ndege za Serikali] kutekeleza jukumu la kuwahudumia viongozi kwa kuchelewa pindi zinapotokea safari za viongozi wote kwa wakati mmoja,” Mhagama anasema.

“Kwa hiyo basi Bunge linaazimia kwamba Serikali ione umuhimu wa kufanya ununuzi wa ndege nyingine ili kuboresha utoaji huduma za usafiri wa anga kwa viongozi wakuu wa kitaifa".

Source: The Chanzo

Nini maoni yako kuhusu azimio hili?
 

Bunge la Tanzania limeazimia kuwa Serikali iangalie umuhimu wa kununua ndege nyingine mpya kwa ajili ya kuwahudumia viongozi wakuu wa kitaifa.

Taarifa hiyo imetolewa leo Februari 13, 2024 na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria Joseph Mhagama, ambaye ameeleza kuwa nia ya azimio hilo inatokana na Wakala wa Ndege za Serikali kushindwa kuwahudumia kwa wakati viongozi wakuu pale zinapotokea safari kwa wakati mmoja.

Kwa mujibu wa Mhagama kamati yake imebaini kuwa kwa sasa kuna ndege tatu zinazowahudumia viongozi wa Serikali. Ndege moja inamhudumia Rais wa Tanzania, ndege nyingine mbili zinawahudumia Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar, Waziri Mkuu, Makamu wa Kwanza na Wa Pili wa Rais wa Zanzibar na viongozi wengine wa kitaifa.

“Hali hii husababisha Wakala [wa Ndege za Serikali] kutekeleza jukumu la kuwahudumia viongozi kwa kuchelewa pindi zinapotokea safari za viongozi wote kwa wakati mmoja,” Mhagama anasema.

“Kwa hiyo basi Bunge linaazimia kwamba Serikali ione umuhimu wa kufanya ununuzi wa ndege nyingine ili kuboresha utoaji huduma za usafiri wa anga kwa viongozi wakuu wa kitaifa".

Source: The Chanzo

Nini maoni yako kuhusu azimio hili?
Garama za maisha ziko juuu
Hali ya uchumi ni ngumuu
Ukanunue ndegee
Io akili au matope
Viongozi wa ovyo sana
 
Hawa WAPUUZI sijuwi lini watatoka madarakani. Wanatuchezea sana aiseee...😢🤬🥹😤😡🗯️💢👿👺
 
Tunavyo Chelsea kuwatoa majizi chunguni tutakula ukoko!
Sisiemu ni majizi lakini na wawakilishi wa wananchi waitwao wabunge ni VILAZA maana hawakuchaguliwa na hawajui kwa nini wapo kule walikopekekwa na Magufuli.
Kwa kweli Magu katufanya vibaya huyu jamaa na hakustahili hata kupewa pension baada ya kwenda zake.
Na hawa wajiitao wabunge wangekuwa wanapigwa mayai viza mitaani wasingekuwa wanaendekeza ujinga namna hii

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 

Bunge la Tanzania limeazimia kuwa Serikali iangalie umuhimu wa kununua ndege nyingine mpya kwa ajili ya kuwahudumia viongozi wakuu wa kitaifa.

Taarifa hiyo imetolewa leo Februari 13, 2024 na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria Joseph Mhagama, ambaye ameeleza kuwa nia ya azimio hilo inatokana na Wakala wa Ndege za Serikali kushindwa kuwahudumia kwa wakati viongozi wakuu pale zinapotokea safari kwa wakati mmoja.

Kwa mujibu wa Mhagama kamati yake imebaini kuwa kwa sasa kuna ndege tatu zinazowahudumia viongozi wa Serikali. Ndege moja inamhudumia Rais wa Tanzania, ndege nyingine mbili zinawahudumia Makamu wa Rais, Rais wa Zanzibar, Waziri Mkuu, Makamu wa Kwanza na Wa Pili wa Rais wa Zanzibar na viongozi wengine wa kitaifa.

“Hali hii husababisha Wakala [wa Ndege za Serikali] kutekeleza jukumu la kuwahudumia viongozi kwa kuchelewa pindi zinapotokea safari za viongozi wote kwa wakati mmoja,” Mhagama anasema.

“Kwa hiyo basi Bunge linaazimia kwamba Serikali ione umuhimu wa kufanya ununuzi wa ndege nyingine ili kuboresha utoaji huduma za usafiri wa anga kwa viongozi wakuu wa kitaifa".

Source: The Chanzo

Nini maoni yako kuhusu azimio hili?
Magufuli alitoa mojawapo ya ndege za rais itumiwe na fraia wote kama ndege ya biashara, wao wanaongeza ndege nyingine kwa ajili yao tu. Ubinafsi kweli. Rais wa Zambia alikwenda UN kwa kutumia ndege ya biashara, wao wanataka ndege binafsi ya kwenda wapi?
 
Back
Top Bottom