Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kila mtu anataka uwaziri.baada ya kuadhibiwa inavyostahili na bunge kwa mujibu wa kanuni za bunge, na baadae adhabu kali sana ya ccm,
naungana na hoja muhimu na ya maana sana, aliyoitoa kaka yangu ninae muheshimu sana comrade Dr.Kasheku Msukuma mbunge wa jimbo la Geita, kwamba vyombo vya ulinzi na usalama vianzishe uchunguzi zaidi wa kina, kuona kama kuna wahusika wengine zaidi juu ya uzushi na uongo wa tuhuma hizi, alizobuni Mh.Mpina dhidi ya waandamizi wa serikali hususani Mh.Husen Bashe, waziri wa kilimo...
hadi anaona aibu,
muongo na mzushi yupo mwenyewe tu
Nilipomsikia supika akisema mimi ni mtu ninayeheshimika sana duniani hivyo mtu hawezi kuniletea dharau!! Nikajua hapa tayari kinachofuata ni mtu kuliwa kichwa tuu!! Tayari maamuzi yalishapita.Bunge kibogoyo lisilo na faida yeyote.wazalendo wakihoji bunge kibogoyo linachukia.
Wajinga mpo wengi sana, huyo Musukuma zile za DPW ziliisha au bado anaendelea kuzitumia?baada ya kuadhibiwa inavyostahili na bunge kwa mujibu wa kanuni za bunge, na baadae adhabu kali sana ya ccm,
naungana na hoja muhimu na ya maana sana, aliyoitoa kaka yangu ninae muheshimu sana comrade Dr.Kasheku Msukuma mbunge wa jimbo la Geita, kwamba vyombo vya ulinzi na usalama vianzishe uchunguzi zaidi wa kina, kuona kama kuna wahusika wengine zaidi juu ya uzushi na uongo wa tuhuma hizi, alizobuni Mh.Mpina dhidi ya waandamizi wa serikali hususani Mh.Husen Bashe, waziri wa kilimo...
hadi anaona aibu,
muongo na mzushi yupo mwenyewe tu
Bongo hii hii ninayo ijua au nyingine? Hii yenye Raia maiti?Awamu ya kutetea mafisadi haina mwisho mwema, tayari nchi inanuka migomo kila kona
Wabunge week ijayo wanamtukana Bashe
Na maiti za nchi hii? au na Keybord worrior kama wewe?Samia anaomba kupinduliwa kwa nguvu
anasema mbele ya maitiza Taifa hili, hili ni taifa mfuNilipomsikia supika akisema mimi ni mtu ninayeheshimika sana duniani hivyo mtu hawezi kuniletea dharau!! Nikajua hapa tayari kinachofuata ni mtu kuliwa kichwa tuu!! Tayari maamuzi yalishapita.
MaitiNa maiti za nchi hii? au na Keybord worrior kama wewe?
Hawa nikuwaandalia mayai viza tuuKamati Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge imewasilisha bungeni taarifa ya kamati hiyo kuhusu tuhuma za Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, jijini Dodoma leo Juni 24, 2024
Lazima ucheke hicho ndio mnacho weza, ndio maana tangu mwanzo nilisema mpina anafanya kosa sana kutetea maiti za Taifa hili. kosa kubwa sanaDu alienda kwenye hiyo kamati akiwa amevaa ''kinga'' za aina hii? Nimecheka kweli kweli.
Kweli nchi ya ajabu sana hii...Watu wote wanasema uwongo hadharani...Gwajima umenisikitisha sana...Unalitukana jina la Mungu, acheni unafiki nyie watuUnafiki gani, umethibitishwaje, je hoja zake zimejibiwa? Mtuhumiwa kajitetea? Iweje ahukumiwe?
Ndugu yangu haya majitu ya ccm yamevimbiwa madaraka! Haya ma mantu yamechepusha mpaka madaraka ya rais kwamba yana uwezo wa kufanya jambo lolote na yasi shitakike! Na sisi tumekuwa kama maiti tu hatuwezi hoji chochote tupo kimya tu! Tulichobakiwa nacho ni kuandika hivi tu! Yani maandishi yetu kwao wanaota kama vile ndoto za mizimu ambazo kuna za kutisha na nyingine za kufurahisha kama maandish ya kina lucas mwamshambwa sijui! Nayakumbuka maneno ya jomo kenyata aliwah kusema yeye anaongoza wagonjwa mahututi ipo siku watapata nafuu watainuka kuhoji kenya yao ila kuna mwenzake jiran anaongoza maiti lini zitaamka zihoji kuhusu nchi yao?Aseee nchi ngumu saana hii, yaani anayepambania wananchi anasulubiwa! Aseeeee!
Aibu Kwa nchi yetu!Hawa nikuwaandalia mayai viza tuu
Tatizo sio awamu, tatizo ni Maiti za hii nchi, ni kosa sana kutetea maitiAwamu ya kutetea mafisadi.
Kusambaza habari ni swala la hatari zaidi kwa watanzania kuliko kuuwa viwanda vya ndani na kulisha watu sukari isiyopitia TBS?
Wanasiasa nchi hii wanatutusi hadharani ni matusi makubwasana kwetu haya.Kweli nchi ya ajabu sana hii...Watu wote wanasema uwongo hadharani...Gwajima umenisikitisha sana...Unalitukana jina la Mungu, acheni unafiki nyie watu
Daah kweli nchi imeingiliwa!Kwa mujibu wa Kanuni ya # Bunge 84 (3) (a) za mwaka 2023 amekutwa na hatia na Kamati ya Hadhi na Madaraka ya Bunge.
Tuendelee kufuatilia bunge
≈=====================
"Mheshimiwa Luhaga Mpina (Mbunge wa Kisesa) alimtuhumu Mheshimiwa Waziri (Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo) kuwa amelidanganya Bunge kwa kusema wamebadili kanuni za Nation Food Reserve Agency (NFRA) kuruhusu NFRA kuwa na mandate ya kuingiza sukari wakati hakuna tangazo la serikali lililotangazwa kuipa NFRA mandate ya kuingiza sukari, Waziri (Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo) aliieleza kamati kuwa walitumia sheria ya usalama wa chakula sura ya 249 kukabiliana na uhaba wakati wa dharura kupitia NFRA ambapo alisema kuwa wameanza mchakato wa kubadilisha sheria ili NFRA waruhusiwe kuagiza, kuhifadhi na kusambaza sukari hata kwa kipindi kisicho cha dharura na mchakato huo ulianza kwa kutoa tangazo serikalini namba 225 (b) la tarehe 01 Aprili 2024" -Makoa
"Kamati ilipitia kifungu cha 14 cha sheria ya tasnia ya sukari kuhusu wanaoruhusiwa kuingiza sukari na kupitia kifungu cha 15 cha sheria ya usalama wa chakula ya mwaka 1991 na kubaini kuwa wakati wa dharura kama ilivyojitokeza sheria ya usalama wa chakula inakuwa na nguvu zaidi kuliko sheria ya tasnia ya sukari" -Makoa
"Kamati ilipata nafasi ya kujiridhisha kuhusu GN namba 25 (b) ya tarehe 01 Aprili 2024 na kupitia muswada wa sheria ya fedha iliona mapendekezo ya marekebisho yaliyoelezwa na Waziri kupitia kumbukumbu za Bunge na maelezo ya Waziri kamati ilikuwa na maoni kuwa hakuna uwongo uliozungumzwa na kwamba hakuna ukiukwaji wowote wa sheria uliofanywa" -Makoa
Ni sehemu ya maelezo ya Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Haki, maadili na madaraka ya Bunge Ally Makoa akiwasilisha Bungeni kuhusu tuhuma zilizotolewa na Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina dhidi ya Waziri wa Kilimo Hussein Bashe
View attachment 3024970