Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15

Chawa katika ubora wako
 
Sema machawa wamefanya naiona JF kwa upande wa habari na mijadala ya siasa kama inashuka hadhi yake ile ya kuwa platform ya great thinkers. Inakuwa sasa kama ni uwanja wa comedy au matani ya kulazimisha. Anyway, najua machawa watakaza mafuvu tu.
 
H
Ila huu mwandiko huu, mmmmh.. unafanana na wa jamaa flani ivi hapa hapa jukwaani πŸ˜‚. Machawa wako busy sana aisee..
 
Walimpa mpina nafasi ya kujibu hoja za wabunge?

Ama ndiyo alishambuliwa kisha wakahukumu.
 
Kama Mpina kaadhibiwa na bunge basi alisema ukweli; Bashe alilidanganya bunge.
 
Luhaga hawezi kuhamia upande wa maumivu (upinzani), maana ana madhambi mengi sana. Akithubutu kutoka atasulibiwa vibaya sana.

Ana ranch ya mifugo yake yenye ukubwa wa vijiji 3 ,alipora ardhi yawatu wa Morogoro.....atanyang"anywa.

Mnakumbuka yaliyompata Sumaye?
Mnakumbuka yaliyompata Wema Sepetu.
Mnakumbuka yaliyompata Lowasa?
 
Hivi ushahidi kumbe unapaswa kuwa siri? Mtu kaamua kusema hiki ndicho nakiwasirisha sasa yeye spika alikuwa na hofu gani?
 
Kutohudhuria Vikao tu huku ukiendelea na majukumu Yako ya Kibunge Jimboni ni advantage wakati huu tunapoelekea Uchaguzi mkuu

Nakumbuka mbunge wa Rorya yule Lakairo aliwahi kusema kushinda bungeni wakati unahitajika jimboni ni kupoteza Muda

Aziz na Mkono ndio walikuwa hawahudhurii kabisa bungeni hata yule Mo Dewji wa Makolo

Hii Adhabu labda kwa Wabunge wa Upinzani wanaotegemea Posho kupeleka Watoto shule

Kanuni za Adhabu ziangaliwe upya

Mlale unono πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

PIA SOMA

- News Alert: - Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15
 
Luhaga Mpina, Mbunge wa Kisesa amefungiwa kuhudhuria vikao 15 vya Bunge kuanzia Juni 24, 2024 kwa kosa la kukiuka Kanuni za Bunge, kudharau Mamlaka ya Spika na mwenendo wa shughuli za Bunge, atarejea Bungeni katika kikao cha pili cha Novemba, 2024
-
Mpina ametiwa hatiani baada ya kuzungumza na Wanahabari kuhusu ushahidi aliouwasilisha kwa Spika kabla ushahidi huo haujawasilishwa mezani au kupewa idhini na Bunge kufanya hivyo
-
Awali, Mpina alidai Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe alilidanganya Bunge kuhusu Uagizaji wa sukari Nchini
Your browser is not able to display this video.

-
 
Baseline hapa ni;.. Je sukari baada ya kuagizwa kwa vibali (kwa maana ya wafanyibiashara kusamehewa mabilioni ushuru) ilipatikana kwa bei nafuu kwa wananchi au la? tuache details zingine hizo hadi kumgeuza mtuhumu kua mtuhumiwa nakumuadhibu yeye.
Kwa hakika sasa nchi imegeuka mwanasesere wa maslahi ya mabepari uchwara wa nchini au tuseme wafanyibiashara wakubwa.
 
Hukum za bunge hazitoi mda wa mtuhumiwa kujitetea?

Kwanin hawajaamua kuzifatilia taarifa zake ili mtuhumiwa nae apewe adhabu yake?
 
Vp na wale kwenye ripoti ya mkaguzi
Ripoti ya uchunguzi wa kamati umebainisha kwamba gentleman wa Kisesa ni mzushi na muongo amelidanganya bunge na kumdharau spika πŸ’

ripoti gani tena unauliza gentleman πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…