Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15

Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15

Mtu kama mleta mada ni wa kupiga risasi tu, watu wa namna hii wanachangia sana kurudisha nchi nyuma...typical ccm traits.
bilashaka utakua ni miongoni mwa wanaomiliki silaha kinyume na sheria 🐒

we are coming to save you soon...
 
Wewe andika uzushi wako hao maccm hilo jimbo linakwenda kwa upinzani.ninachojua Luhaga atakwenda upinzani na jimbo linaenda upinzani.ni swala la muda tu tusubiri hiyo drama
upinzani wa yanga au simbwa gentleman? 🐒

kwamba mzushi na muongo awe mjengoni tena,? thubutu 🐒
 
mleta posti ni mgonjwa wa akili anatakiwa ajipeleke mwenyewe milembe.
Sisi wananchi tuna akili tunazijua mbivu mbichi kwenye hili sakata mpina ndiye mshindi kwani hakuna hata hoja yake moja iliyojibiwa kama alisema uongo ushahidi ungewekwa wazi kama alivyofanya Mpina
mzushi na muongo kaisha tiwa hatiani na kuadhibiwa gentleman,

actually mh.Dr.Kasheku Msukuma amelishauri bunge huyo muongo akapimwe afya ya akili huenda kuna vitu haviko sawa akilini mwake 🤣
 
Sijui kuna ubishi gani. Sijafuatilia ule mjadala.( wa sugar sukari)
Lakini nimemsikiliza Luhaga Mpina mara chache,yuko mentally alert.
It makes me sad kubishana na watu wengi,lakini naona it is absurd kumfukuza Luhaga Mpina,kumzuia kuingia Bungeni.
The value system is wrong. Watu waovu wanatukuzwa.
Watu ambao ni obviously illiterate wanatukuzwa.
Ushauri wangu kwa Mpina ni kwamba asubiri iishe.
Hakuna sababu ya kuongea na waandishi wa habari kesho.
 
Mambo kama hayo ndio yanayotufanya wakati mwingine tufurahie vifo vyao badala ya kuhuzunika maana wao nyakati za Uhai wao zote wanatuletea huzuni.......
 
Luhaga Mpina, Mbunge wa Kisesa amefungiwa kuhudhuria vikao 15 vya Bunge kuanzia Juni 24, 2024 kwa kosa la kukiuka Kanuni za Bunge, kudharau Mamlaka ya Spika na mwenendo wa shughuli za Bunge, atarejea Bungeni katika kikao cha pili cha Novemba, 2024
-
Mpina ametiwa hatiani baada ya kuzungumza na Wanahabari kuhusu ushahidi aliouwasilisha kwa Spika kabla ushahidi huo haujawasilishwa mezani au kupewa idhini na Bunge kufanya hivyo
-
Awali, Mpina alidai Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe alilidanganya Bunge kuhusu Uagizaji wa sukari Nchini
View attachment 3025225
-
Wewe wacha kuwa muongo kama mpina, tuhuma zote za huyo poyoyo kwa Bashe zimesikilizwa, zinechunguzwa na kamati ya maadili, zikaonekana za uongo mtupu.

Bashe ni moto wa kuotea mbali, muulizeni Kigwangwala moto wa Bashe.
Mpina kapigwa kote kote.
 
Sema machawa wamefanya naiona JF kwa upande wa habari na mijadala ya siasa kama inashuka hadhi yake ile ya kuwa platform ya great thinkers. Inakuwa sasa kama ni uwanja wa comedy au matani ya kulazimisha. Anyway, najua machawa watakaza mafuvu tu.
siasa saa zinngine ni ngumu ndugu zangu, ina kera na kutia uchungu sana, na haipoagia haraka hata kama mihemko na ghadhabu ziko sambamba na kejeli 🐒
 
Tulijua itakuwa hivyo. Mafisadi lazima wateteane. Bunge liko kwaajili ya kuilinda Serikali fisadi, Mahakama iko kulinda Serikali fisadi. Utegemee mtetea wananchi, abaki salama?

Mihimili yote, imeegemea sehemu moja, kuja kupata haki, mpaka wananchi waseme sasa imetosha tunataka haki na usawa kwa wote.
 
baada ya kubuni uongo na uzushi, kana kwamba ni kweli na kuufanya kama tuhuma dhidi ya waziri kijana wa kilimo, mchapakazi hodari na anaeaminika sana, Hussein Bashe, na kujaribu kuwahadaa wananchi na kutaka kulidanganya bunge..

Mbunge huyo mzushi, atawajibika kutokukanyaga kabisa eneo la bunge katika muda usiopungua vikao15, hiyo maana yake atakanyaga tu, tana kwa bahati sana vikao vya bunge la November 2024.

Je,
CCM itavumilia Kuishi na mtu muongo na mzushi kama huyu?

au ni suala la muda tu tutapata taarifa ya Tume Huru Ya Uchaguzi ikiliarifu bunge hatua za CCM dhidi ya mbunge wake huyo muongo 🐒

uzushi, uongo, kiburi na jeuri vyamtokea puani, aweka ubunge wake rehani na uko mashakani kumponyoka 🐒
Ccm ni sikio la kufa halisikii dawa. Mtu anaye wambia ukweli ili wajirekebishe ndio wanaye mgeuza kuwa adui yao. Sasa wasubili waone kitakacho tokea hivi karibuni maccm wote watafuta pakujificha hawata papata.
 
Ccm ni sikio la kufa halisikii dawa. Mtu anaye wambia ukweli ili wajirekebishe ndio wanaye mgeuza kuwa adui yao. Sasa wasubili waone kitakacho tokea hivi karibuni maccm wote watafuta pakujificha hawata papata.
kuna nin gentleman kitatokea hivi karibuni 🐒

kwamba una watisha CCM sio, ili watishike 🤣
 
Mpina ni jasiri ana heshima yake mbele ya jamii ya watanganyika. Kamati inasema tu ilijiridhisha na GN bila kutuwekea hicho kithibitisho ili nasi tuone, wajinga sana.

Hiyo adhabu anayopewa na wajinga haina maana kwa watanganyika kwasabau wanajielewa, wao sio wajinga.

Haiwezekani wale waliompiga vita Mpina wakiongozwa na Spika Tulia, wakishirikiana na mama Abdul leo wamtendee haki, hiyo mahakama ni batili haina fairness.

• Hii kamati inataka kutudanganya watanganyika kwamba, wakati wa dharura, serikali inaweza kuagiza sukari hata kwa kutumia kampuni zisizo na ujuzi kwenye hiyo issue ilimradi sheria iwaruhusu? na isiyo na mtaji wa kutosha kama ile stationery ya mtaji wa 1 million kuagiza sukari ya bilion 6.6?!

Kamati ya wapuuzi wanajibu hoja za Mpina kama watoto.

Spika Tulia na hiyo kamati yake wasitufanye wajinga, wao wote hawana mamlaka ya kumhoji Mpina kwa kitendo chake cha kuongea na wapiga kura wake nje ya bunge, wasitake kulifanya bunge liwe juu ya mamlaka na uhuru wa watanganyika kutoa maoni yao kikatiba.

Bunge ni lile jengo tu pale Dodoma ambapo wakiwa ndani yake ndio hutakiwa kusema chochote wasishtakiwe, lakini wakitoka nje ya lile jengo wao ni wabunge wa kawaida na raia kama tulivyo wengine, wasijikuze.

Simply Mpina ameonewa, hastahili kuadhibiwa kwani hajavunja sheria yoyote ya nchi, standing orders za bunge haziwezi kuwa juu ya katiba yetu, mafisadi walaaniwe, shame on them.

Hoja za Mpina zijibiwe, mmeshindwa kuzijibu kutuonesha nyie ni mafisadi wa vitendo na ushahidi upo, adhabu yoyote kwa Mpina haitafuta dhambi ya ufisadi wenu, aibu iwe kwenu.
Mmeshaambiwa sheria iliyotumika ni ipi sasa kelele za nini? Mmeambiwa buffer stock na gap sugar ziliidhinishwa ila sio kibali kutolewa. Niliwaambia Mpina ni mpotoshaji tu mkanipinga leo mmeumbuka. Huko ccm yamejazana majizi tu nashangaa mnayatetea. Mpina sio mzalendo ni opportunist tu mwenye uchungu wa kukosa uwaziri. Na ndio kwisha hivyo 2025 harudi bungeni.
 
Back
Top Bottom