Tatizo no umasikini tuKumbe waheshimiwa wetu wanapewa mishahara kidogo hivyo mil13 ni ndogo sana ukilinganisha na majumu mazito wanayoyafanya kwaajili yetu.Waongeze angalau mil 29 Kwa mwezi ili kuendana na maisha ya sasa.Mishahara Yao ikiwa midogo hata utendaji kazi unapungua.Waheshimiwa kwanza sisi baadae.
Sasa kama kadanganya Taratibu ni kuitwa kwenye Kamati ya maadili vipi mbona hawajamuita??Unataka ukweli gani?
Baba ndubwi kqdanganya mshahara ni 13m ma sio 18m
Ingekuwa uongo hii habari lazima Mbowe angeitwa kwenye kamata ya maadili lazima ….Duh yaani inamaana wamejiongezea du napiga hesabu tu kwa haraka haraka..
Wabunge wapo 393..
So kwa mwezi ni 393x18 Mil = 7,074,000,000
Bilion 7
Kwahiyo kwa Mwezi Taifa linatoa Tsh bilion 7 na milion 74 kulipa wabunge...
Ambayo ni sawa na Tsh 84,888,000,000 Kwa mwaka..
Yaani serkali inapoteza Tsh Bilion 84 na Milion 888 kwa ajili ya kulipa.watu wanaokaa na kusifia
Halafu muulize kuwa barua imesema wabunge hawalupwi million 18 ila wanalipwa Tsh ngapi?Sasa kama kadanganya Taratibu ni kuitwa kwenye Kamati ya maadili vipi mbona hawajamuita??
Tatizo no umasikini tu
Kama tungeacha kuwaomba pesa mtaani, 5m ingetosha
Nawaza tu, baba ndubwi anajisikiaje kuongopa ?
Acha hizo hesabu ndugu kazi wanayofanya ni kubwa ndiyo maana si Kila mtu anaweza kuwa muheshimiwa.Waongezwe nasema waongezwe.Ingekuwa uongo hii habari lazima Mbowe angeitwa kwenye kamata ya maadili lazima ….
Tuanze na baba ndubwiAcha hizo hesabu ndugu kazi wanayofanya ni kubwa ndiyo maana si Kila mtu anaweza kuwa muheshimiwa.Waongezwe nasema waongezwe.
Unawezaje kuliamini Bunge lililoapisha wabunge kwa nyaraka za kufoji
Yaani mpaka mbowe aongee hivyo mnadhani amekurupuka?Maneno ya kukana hoja Hizo yametolewa na Kitengo cha mawasiliano na uhusiano wa kimataifa Bungeni..
Jana Ijumaa tarehe 22 Machi, 2024 alipokuwa anahutubia mkutano wa hadhara Mjini Babati Mkoa wa Manyara na kisha Video yake kusambaa kwenye Mitandao ya Kijamii Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Freeman Mbowe amedai kwamba mishahara ya Waheshimiwa Wabunge imeongezwa mwaka 2023 kutoka shilingi milioni kumi na tatu (sh.13,000,000/=)
hadi shilingi milioni kumi na nane (sh.18,000,000/=)
View attachment 2942304
Naunga hoja mkono, naunga mkono hojaWafanyakazi kazi wa umma nao waongezewe mwaka juu ili mariziano yawepo.
Hii pesa mil13 ilipaswa kuwalipa walimu maana wao ndio uzalishaPamoja na kukana je wanavyojiona wana sifa gani special ya kuwafanya wao kupokea mshahara Tsh 13,000,000/= pamoja na marupurupu chungu mbovu na bima za maisha za uhakika?
Na vikao vyenyewe vya msimu tuHata kama ni milioni kumi na tatu jumla na marupurupu ni fedha nyingi mnoooo mnooo!Kwa kazi gani hasa wanayoifanya?Nchi ya ajabu mnooo.Kuna watu tukiwaangalia mule bungeni hawapaswi kuwemo.Kwa mfano yule na huyu na hata wale(...?) ingawa tunaita ni haki na demokrasia bila ubaguzi.
Sasa kukanusha bila kusema unalipa ngapi unakua unakanusha Nini?Maneno ya kukana hoja Hizo yametolewa na Kitengo cha mawasiliano na uhusiano wa kimataifa Bungeni..
Jana Ijumaa tarehe 22 Machi, 2024 alipokuwa anahutubia mkutano wa hadhara Mjini Babati Mkoa wa Manyara na kisha Video yake kusambaa kwenye Mitandao ya Kijamii Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Freeman Mbowe amedai kwamba mishahara ya Waheshimiwa Wabunge imeongezwa mwaka 2023 kutoka shilingi milioni kumi na tatu (sh.13,000,000/=)
hadi shilingi milioni kumi na nane (sh.18,000,000/=)
View attachment 2942304
Hivi Hawa manguruwe yanakataa nini na kukubali niniManeno ya kukana hoja Hizo yametolewa na Kitengo cha mawasiliano na uhusiano wa kimataifa Bungeni..
Jana Ijumaa tarehe 22 Machi, 2024 alipokuwa anahutubia mkutano wa hadhara Mjini Babati Mkoa wa Manyara na kisha Video yake kusambaa kwenye Mitandao ya Kijamii Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Freeman Mbowe amedai kwamba mishahara ya Waheshimiwa Wabunge imeongezwa mwaka 2023 kutoka shilingi milioni kumi na tatu (sh.13,000,000/=)
hadi shilingi milioni kumi na nane (sh.18,000,000/=)
View attachment 2942304