Bunge lapitisha Muswada unaotaka wake wa Marais na Maspika wastaafu kulipwa kiinua mgongo

Bunge lapitisha Muswada unaotaka wake wa Marais na Maspika wastaafu kulipwa kiinua mgongo

Pamoja na maudhi yote haya ya serikali ya ccm...watu wapo usingizini huku wakiota ndoto za kutisha(mabomu ya machozi, kupigwa na polisi, n.k)

Watanzania ni kama mazombi....waboreshee tu SIMBA na YANGA wahangaike nazo, mengine yaliyobaki utajua mwenyewe!
 
Kwenye kipindi hiki kigumu,ni kweli kuna ulazima wa kuongeza gharama za kuendesha serikali!?
Ma CCM, yanamuonea huruma mke wa waziri mkuu! Ambaye kwanza anabiashara zake, harali na haramu, watoto wapo sekta nyeti,
Akaunti imenona! Kwanini hii huruma wasipewe vijana wanaomaliza vyuo na kukosa ajira, vijana wapewe hata 400K, kwa mwezi! Ili kukidhi, mahitaji Yao, mpaka watakapo pata ajira,
 
Bunge limepitisha muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria mbalimbali namba 4 wa mwaka 2023 ambapo moja ya marekebisho katika sheria ya Mafao ya Kustaafu katika Utumishi wa kisiasa inapendekezwa Wenza (Mke/Mume) wa Marais Wastaafu, Wenza wa Makamu wa Rais Wastaafu na Wenza wa Mawaziri Wakuu Wastaafu walipwe kiinua mgongo kwa kipindi cha uongozi wa Wenza
wao.

Akiwasilisha marekebisho hayo leo Oktober 31,2023 wakati wa kikao cha Bunge Mjini Dodoma, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Dk. Eliezer Feleshi amesema kuwa vifungu vipya vya 9A, 12A na 14A vinapendekezwa kuongezwa katika Sheria ya Mafao ya Kustaafu katika Utumishi wa Kisiasa, Sura ya 225.

Sambamba na marekebisho hayo, vifungu vya 11, 13 na 15 vinapendekezwa kurekebishwa ili kuweka utaratibu wa malipo ya fadhila kwa Wenza wa Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu endapo watafariki wakiwa madarakani au baada ya kumaliza muda wao na kufariki kabla ya kulipwa mafao au stahiki zao.

Kwa mujibu wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Kifungu cha 18 kinapendekezwa kurekebishwa ili kuweka utaratibu wa wenza wa Spika Mstaafu aliyefariki kupokea mafao ya pensheni ya kila mwezi.

Muswada huo uliopitishwa utawasilishwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ili aweze kuutazama muswada huo na akiuridhia atasaini ili iwe sheria.

#MillardAyoBUNGENI
Wanazolipwa waume zao haziwatoshi??
Ikiwa hivyo basi iwe kwa Watumishi wote Nchi nzima,tuache kuwa biased.
What are the so special??
 
Bunge limepitisha muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria mbalimbali namba 4 wa mwaka 2023 ambapo moja ya marekebisho katika sheria ya Mafao ya Kustaafu katika Utumishi wa kisiasa inapendekezwa Wenza (Mke/Mume) wa Marais Wastaafu, Wenza wa Makamu wa Rais Wastaafu na Wenza wa Mawaziri Wakuu Wastaafu walipwe kiinua mgongo kwa kipindi cha uongozi wa Wenza
wao.

Akiwasilisha marekebisho hayo leo Oktober 31,2023 wakati wa kikao cha Bunge Mjini Dodoma, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Dk. Eliezer Feleshi amesema kuwa vifungu vipya vya 9A, 12A na 14A vinapendekezwa kuongezwa katika Sheria ya Mafao ya Kustaafu katika Utumishi wa Kisiasa, Sura ya 225.

Sambamba na marekebisho hayo, vifungu vya 11, 13 na 15 vinapendekezwa kurekebishwa ili kuweka utaratibu wa malipo ya fadhila kwa Wenza wa Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu endapo watafariki wakiwa madarakani au baada ya kumaliza muda wao na kufariki kabla ya kulipwa mafao au stahiki zao.

Kwa mujibu wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Kifungu cha 18 kinapendekezwa kurekebishwa ili kuweka utaratibu wa wenza wa Spika Mstaafu aliyefariki kupokea mafao ya pensheni ya kila mwezi.

Muswada huo uliopitishwa utawasilishwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ili aweze kuutazama muswada huo na akiuridhia atasaini ili iwe sheria.

#MillardAyoBUNGENI
hapa anatafutwa Mume wa Spika (Tulia) apigwe Chini Ewura maana Afu afarijiwe na mafao ya Mwenza
 
Bunge limepitisha muswada wa sheria ya marekebisho ya sheria mbalimbali namba 4 wa mwaka 2023 ambapo moja ya marekebisho katika sheria ya Mafao ya Kustaafu katika Utumishi wa kisiasa inapendekezwa Wenza (Mke/Mume) wa Marais Wastaafu, Wenza wa Makamu wa Rais Wastaafu na Wenza wa Mawaziri Wakuu Wastaafu walipwe kiinua mgongo kwa kipindi cha uongozi wa Wenza
wao.

Akiwasilisha marekebisho hayo leo Oktober 31,2023 wakati wa kikao cha Bunge Mjini Dodoma, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Dk. Eliezer Feleshi amesema kuwa vifungu vipya vya 9A, 12A na 14A vinapendekezwa kuongezwa katika Sheria ya Mafao ya Kustaafu katika Utumishi wa Kisiasa, Sura ya 225.

Sambamba na marekebisho hayo, vifungu vya 11, 13 na 15 vinapendekezwa kurekebishwa ili kuweka utaratibu wa malipo ya fadhila kwa Wenza wa Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu endapo watafariki wakiwa madarakani au baada ya kumaliza muda wao na kufariki kabla ya kulipwa mafao au stahiki zao.

Kwa mujibu wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Kifungu cha 18 kinapendekezwa kurekebishwa ili kuweka utaratibu wa wenza wa Spika Mstaafu aliyefariki kupokea mafao ya pensheni ya kila mwezi.

Muswada huo uliopitishwa utawasilishwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ili aweze kuutazama muswada huo na akiuridhia atasaini ili iwe sheria.

#MillardAyoBUNGENI
Ni jambo jema saaana, ila lingekuwa jema zaidi na zaidi kama wangepeleka na mswaada wa kuwashitaki pindi wanapomaliza mda wao na wakawa wameenda kinyume na matakwa ya katiba pindi wawapo madarakani.

Ila kwa kwa kuwa kazi ya bunge ni kutunga sheria na ili uwe mbunge sifa moja wapo ujue tu kusoma nakuandika basi sawa wacha tuendelee hivi hivi mpaka watakapoamka waliolala.
 
Kutokana na kuwa suala ni wenza na kiinua mgongo, nadhani kila mwenza wa mtumishi anastahili gawana hii keki ya taifa mfano waalimu, maaskari, mesenja, mhudumu nk. Lakini kwa kutumia busara na hali ya uchumi na nchi kutegemea mikopo kujiendesha hata katika matumizi ya msingi sidhani ni muda muafaka kwa jambo hili kutekelezeka kwa sasa labda kama ni kutojali uhalisia na kodi za wananchi wenye kipato kidogo ambacho hakitoshi hata milo mitatu.
 
Ni kwanini wamewaacha watoto wa marais wastaafu? Napendekeza watoto, mashemeji, wakwe, mabinamu, wajomba na mashakazi wa marais wastaafu nao waanze kulipwa kiinua mgongo, tusibague.

Nchi maskini ambayo hata kuendesha bandari imewashinda ila watu wanawaza kujaza matumbo yao tu. Pesa ni nzuri lakini tukumbuke kwamba hazijawahi kutosha. Mishahara mikubwa,marupurupu mengi lakini bado ufisadi hauishi, hamjifunzi?

Ukiambiwa waliopitisha hiyo sheria baadhi yao kwenye majimbo yao kuna watoto wanasoma huku wamekaa chini na hawana madarasa ya kutosha huwezi kuamini.
...Uzuri ni Kwamba Wataziacha hapa hapa Duniani !! Kama itavyokuwa Kwa Masikini...!
 
Back
Top Bottom