Hii nchi aliyenacho huongezewa asienacho hupokwa zaidi.
Bunge limepokea msaada na kuupitisha ili wenza wa viongozi wastaafu walipwe mafao ya kustaafu. Sio vibaya kwa kuwa hoja ina mashiko kwa wahusika na ilitolewa na mmoja wa wanufaika aliomo bungeni.
Wananchi wa kawaida waliofanya kazi na kustaafu hadi leo wanapigania haki zao za madai ya kustaafu lakini hawajalipwa na bunge inalijua hili. Serikali inalijua lakini wazee hawa wanyonge hawana mtu wa kuwasimania na kuhakikisha wanalipwa. Hivi kweli hii ndio Tanzania waliyoiacha mwl. Nyerere na Karume. Mbona wenye sauti hawa wajali wanyonge.
Bunge na Serikali simamieni haki wazee wastaafu na wasio na wakuwasimania walipwe haki zao za madai ya kustaafu.
Sent from my Infinix X657C using JamiiForums mobile app
Bunge limepokea msaada na kuupitisha ili wenza wa viongozi wastaafu walipwe mafao ya kustaafu. Sio vibaya kwa kuwa hoja ina mashiko kwa wahusika na ilitolewa na mmoja wa wanufaika aliomo bungeni.
Wananchi wa kawaida waliofanya kazi na kustaafu hadi leo wanapigania haki zao za madai ya kustaafu lakini hawajalipwa na bunge inalijua hili. Serikali inalijua lakini wazee hawa wanyonge hawana mtu wa kuwasimania na kuhakikisha wanalipwa. Hivi kweli hii ndio Tanzania waliyoiacha mwl. Nyerere na Karume. Mbona wenye sauti hawa wajali wanyonge.
Bunge na Serikali simamieni haki wazee wastaafu na wasio na wakuwasimania walipwe haki zao za madai ya kustaafu.
Sent from my Infinix X657C using JamiiForums mobile app