Bunge Primary School, Uchafu mwingine city center unaofumbiwa macho na vigogo

S ndo hapo mkuu tumesoma shule Za kubeba mbolea unaenda nayo shuleni sijawah. Kupadharau
Nimesoma hii thread nikabaki kushangaa! Hawa vijana wa siku hizi mbona wana mawazo ya hovyo sana? Yaani mtu akipata ahueni ya maisha anaona wengine ni takataka na hawastahili kuwepo sehemu fulani. Hii nchi ina vijana wa hovyo sana.
 
Huna adabu na mdomo wako ni mchafu kuita shule inayosomesha watoto wetu eti takataka
Unajua kitaalamu shule inafaa iwe katika mazingira Gani kijiographia na mazingira ya kijamii (social sorounding)? Kama hujui basi na wewe ni takataka Pro
 
Nimeuliza Posta CBD na sio mikocheni..
Kwanini wasiwepo.

We Mkuu unaamini wanaokaa posta wote ni wahindi, bila shaka hata ukiona Mswahili anakaa huko utahisi ana hela sana.

Kuna wengine wanaishi kwenye nyumba zinazomilikiwa na maofisi yao huko, wana vipato vya kawaida tu.
 
Uwekezaji uwekezaji kwani maeneo ya uwekezaji yameisha mpaka muwatoe watoto wa shule zenye historia? Serikali ina majengo matupu mengi tu hapo mjini bado mnataka wapoteze hela nyingine? Nyie ndio kila sehemu mnataka kuweka majengo, viwanja vya kuchezea watoto vyote mmeweka majengo mnaona michezo haina maana ndio maana mna watoto mazezeta.
 
Kwanini wasiwepo.

We Mkuu unaamini wanaokaa posta wote ni wahindi, bila shaka hata ukiona Mswahili anakaa huko utahisi ana hela sana.

Kuna wengine wanaishi kwenye nyumba zinazomilikiwa na maofisi yao huko, wana vipato vya kawaida tu.
Unajua kitaalamu shule inafaa iwe katika mazingira Gani kijiographia na mazingira ya kijamii (social sorounding)??..
 
Unajua kitaalamu shule inafaa iwe katika mazingira Gani kijiographia na mazingira ya kijamii (social sorounding)??..
 
Unajua kitaalamu shule inafaa iwe katika mazingira Gani kijiographia na mazingira ya kijamii (social sorounding)? Kama hujui basi na wewe ni takataka Pro
Watu wanakurupuka tu na comments zao za hovyo, mimi ninawachora tu..
 
Nimesoma hii thread nikabaki kushangaa! Hawa vijana wa siku hizi mbona wana mawazo ya hovyo sana? Yaani mtu akipata ahueni ya maisha anaona wengine ni takataka na hawastahili kuwepo sehemu fulani. Hii nchi ina vijana wa hovyo sana.
Kwa zile movements za Magari kwanza ni hatari hata kwa usalama wa wanafunzi wa Darasa la kwanza..
 
we popoma baada ya kujua kuoga unaita shule uchafu? We pumbavu rudi kwenu
 
Umeandika ukiwa unaharaka sana, hata hivyo Bado watoto wetu wanahaki ya kusoma maeneo Yale, wazo zuri ingekuwa kuifanyia maboresho iwe kimjini zaidi ila kwa mtazamo wako utasema hata Benjamin ivunjwe.
 
Inahitaji ushawishi mkubwa mno kumshauri Diwani abadili matumizi ya hilo eneo toka kuwa shule kuwa Business Mall.

Ni vita maana wadau wanaohusika Ni wengi mno.
Vp kuhusu usalama wa watoto wadogo??..
 
we mshamba wa wapi? Shule ya private ndiyo nini. Huo ushamba wa kwenu karudi nao ulikotoka. Sijaona jitu pumbavu km wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…