Wameanza wanataka kuchukua eneo, wametumwa hawa . Waaiache shule yangu nimesoma paleKwani ni lazima bosi wako aweke mradi wake hapo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameanza wanataka kuchukua eneo, wametumwa hawa . Waaiache shule yangu nimesoma paleKwani ni lazima bosi wako aweke mradi wake hapo??
Mkuu, umekula mchana lakini??..Nimemqliza Bunge primary mwaka 1991, Bunge ni moja shule zzilizopo.mjinihqkuna sababu ya kuvunja hiyo shule . Mbona kuna shule nyingi za zamani mfano Kisutu, Olympio, Muhimbili pr, Zanaki nk mbona hamziongelei. Huu ni ufisadi kama ufisadi mwingine , naona kuna muhuni anataka hilo eneo mnakuja kupima upepo. Shame on you.
Kwa namna walivyo wengi na fujo zao hata kama ni wewe ungeishia kuwatazama tu.Na nyie mnawatazama tu kwani ni schoolbus
Wanafunzi wa shule za serikali wengi wao hawana kabisa adabu..Kwa namna walivyo wengi na fujo zao hata kama ni wewe ungeishia kuwatazama tu.
Shida ni nini hasa adi inakuwa hivyo?Wanafunzi wa shule za serikali wengi wao hawana kabisa adabu..
80% of them do come from low income neighborhoods as a result they become stripped of the their rights to good parenting and well manners..Shida ni nini hasa adi inakuwa hivyo?
Vipi na Upanga primary school nayo iondolewe?Eti wakuu, kwa Karne ya sasa kuna umuhimu gani wa kuendelea kuwa na Primary Schools kama Bunge pale kati kati kabisa ya Mji?? Lengo ni nini?? Tena shule ya serikali, shule zinazofahamika kwa kuwa na wanafunzi wachafu wasio na maadili hakuna mfano.
Eneo potential la kuweka investments za maana, wewe unaweka shule ya msingi? Hata kama ilijengwa zamani, Je, bado kuna uhalali wa kuendelea kuwepo pale?
Ni mtoto yupi anayesoma primary ya Bunge ni mkazi wa eneo lile lililojaa ofisi za serikali?
Uwepo wa shule kama Bunge huleta msuguano tu wa kimaslahi kwa maana ikifika December, kila mzazi anayefanya kazi Posta, mwenye IST anataka mwanae akasome Bunge. What for.
Hata kama ni shule, basi mpeni muwekezaji binafsi atakayeweza kumaintain mazingira pamoja na usafi wa wanafunzi kama zilivyo shule zingine za private za English Medium lakini sio kuweka shule uchafu katika eneo potential kama Posta Mpya (A few kilometers from the state house)
Vp kuhusu usalama wa watoto wadogo?? Yale mazingira gani ya shule watoto wanachangamana na wababa watu wazima wanaenda kupata lunch pale. Wakibakwa je (Sexual Harassment)??
Kwa zile movements za Magari binafsi kwanza ni hatari hata kwa usalama wa wanafunzi wa Darasa la kwanza..
SHULE YA BUNGE CITY CENTER NI UCHAFU MWINGINE UNAOFUMBIWA MACHO NA VIGOGO..
Nimekula Wali na njegereMkuu, umekula mchana lakini??..
Upanga ni CBD??..Vipi na Upanga primary school nayo iondolewe?
Kweli kabisa, enzi za childhood nimesoma hapo nikiishi chimara streetTunaokaa posta watoto wetu wakasome wapi jamani 🙂
Vikipanda vinawahi siti halafu vinajidai vimelala huku vinakoroma, having adabu hata kidogoWakasome wanaposoma wa jirani yako GSM.
Watoto wa bunge ni wakorofi, wakivamia mwendokasi ni kero tupu.
Daah! Waja mna maneno, kwahiyo haijakolea kama ya UTOPOLO?Mbona bus la njano liko hadi Bunge mkuu sema njano yake haijakolea sana 😃
Hao watoto ni jipu wana sifa mbaya uraiani, kama kuna waalim wao huku waliangalie hili.Vikipanda vinawahi siti halafu vinajidai vimelala huku vinakoroma, having adabu hata kidogo
Unavyosikia bunge ni ya serikali unadhani wanasoma watoto wa masikini? Fatilia pale ili upate nafasi mwanao kusoma pale inakugharimu sh ngapiUnaita watoto uchafu!!? Unataka vitu vizuri wapate watoto wa matajiri tu?
IFM wana bonge la eneo huko, nashangaa kwanini hawahami hapo city centreHiyo shule na vile vyuo kuanzia IFM, CBE, DIT vyote vinapaswa kuondoka hapo wakapewe macampus makubwa msata huko au Bagamoyo huko.