Bunge Primary School, Uchafu mwingine city center unaofumbiwa macho na vigogo

Bunge Primary School, Uchafu mwingine city center unaofumbiwa macho na vigogo

Nimemqliza Bunge primary mwaka 1991, Bunge ni moja shule zzilizopo.mjinihqkuna sababu ya kuvunja hiyo shule . Mbona kuna shule nyingi za zamani mfano Kisutu, Olympio, Muhimbili pr, Zanaki nk mbona hamziongelei. Huu ni ufisadi kama ufisadi mwingine , naona kuna muhuni anataka hilo eneo mnakuja kupima upepo. Shame on you.
 
Nimemqliza Bunge primary mwaka 1991, Bunge ni moja shule zzilizopo.mjinihqkuna sababu ya kuvunja hiyo shule . Mbona kuna shule nyingi za zamani mfano Kisutu, Olympio, Muhimbili pr, Zanaki nk mbona hamziongelei. Huu ni ufisadi kama ufisadi mwingine , naona kuna muhuni anataka hilo eneo mnakuja kupima upepo. Shame on you.
Mkuu, umekula mchana lakini??..
 
Eti wakuu, kwa Karne ya sasa kuna umuhimu gani wa kuendelea kuwa na Primary Schools kama Bunge pale kati kati kabisa ya Mji?? Lengo ni nini?? Tena shule ya serikali, shule zinazofahamika kwa kuwa na wanafunzi wachafu wasio na maadili hakuna mfano.

Eneo potential la kuweka investments za maana, wewe unaweka shule ya msingi? Hata kama ilijengwa zamani, Je, bado kuna uhalali wa kuendelea kuwepo pale?

Ni mtoto yupi anayesoma primary ya Bunge ni mkazi wa eneo lile lililojaa ofisi za serikali?

Uwepo wa shule kama Bunge huleta msuguano tu wa kimaslahi kwa maana ikifika December, kila mzazi anayefanya kazi Posta, mwenye IST anataka mwanae akasome Bunge. What for.

Hata kama ni shule, basi mpeni muwekezaji binafsi atakayeweza kumaintain mazingira pamoja na usafi wa wanafunzi kama zilivyo shule zingine za private za English Medium lakini sio kuweka shule uchafu katika eneo potential kama Posta Mpya (A few kilometers from the state house)

Vp kuhusu usalama wa watoto wadogo?? Yale mazingira gani ya shule watoto wanachangamana na wababa watu wazima wanaenda kupata lunch pale. Wakibakwa je (Sexual Harassment)??

Kwa zile movements za Magari binafsi kwanza ni hatari hata kwa usalama wa wanafunzi wa Darasa la kwanza..

SHULE YA BUNGE CITY CENTER NI UCHAFU MWINGINE UNAOFUMBIWA MACHO NA VIGOGO..
Vipi na Upanga primary school nayo iondolewe?
 
Sisi twosome Bunge hatutokubali shule yetu kuhamishwa , waambieni waliowatuma tutaandamana. Unahamisha shule uweke uwekezaji!!!! Elimu na uwekezaji kipi bora. Semeni tuboreshe mazingira sio kuhamisha shule. Kuna watu tuna historia na shule hiyo.
 
Unaita watoto uchafu!!? Unataka vitu vizuri wapate watoto wa matajiri tu?
Unavyosikia bunge ni ya serikali unadhani wanasoma watoto wa masikini? Fatilia pale ili upate nafasi mwanao kusoma pale inakugharimu sh ngapi
 
Hiyo shule na vile vyuo kuanzia IFM, CBE, DIT vyote vinapaswa kuondoka hapo wakapewe macampus makubwa msata huko au Bagamoyo huko.
IFM wana bonge la eneo huko, nashangaa kwanini hawahami hapo city centre
 
Back
Top Bottom