johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Asiyeogopa matusi ni shetani peke yake na watumishi wake.Muheshimiwa anaogopa sana matusi,,,,,,,,,,sijui kwa nini.
Msikimbie na masanduku ya kura kama hamkutoa kamasiKwa sasa majimbo yote ya uchaguzi yako wazi.
Hivyo wale wote wenye nia ya kugombea ubunge na udiwani uwanja uko wazi sasa.
Tusiishie Jf tu tukutane field pia.
Maendeleo hayana vyama!
Siyo mdada, ni mama mke wa mtu! Bado ana haki ya kuonyesha hisia zake kwa kazi kubwa na nzuri ya rais wa awamu ya tano.Napenda kumjua huyu mdada anae imbisha [emoji39][emoji39]
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
font fed, inteprenyuaaaaaHuyo ni geneus mkuu alizoea kumeza equations za chemia na physics aje ashindwe kumeza propaganda za siasa kweli..
#the best president in Africa.. viva JPM
Halafu watu wnasikiliza utopoloBunge la hovyo sana kuwai kutokea hapa Tz. Sioni umuhimu wa kuwepo Bunge hapa kwenye nchi ya Yesu.
Nimekuelewa vizuri sana, ila pia inategemea sana unapangaje data unazotaka kutumia kwenye hotuba yako: inatiwa Pulic Speaking COMM110. Ni kama ulivyosema kuwa hotuba nyingi za Nyerere unazoona hazikuwa na takwimu, lakini pia alikuwa na hotuba nyingi zenye takwimu hasa alipokuwa anataka kuonyesha kuwa baada ya uhuru nchi imesonga mbele alikuwa anatoa data nyingi sana.Sawa lakini Nyerere alikuwa anasoma hizo points ndio aendelee kuhutubia, na hituba za nyerere nyingi hazikuwa na takwimu lukuki kama hii ya Magu.
Hotuba ya Magu imejaa takwimu nyingi sana ndio maana nimesema siyo rahisi kukariri hotuba ndefu yenye takwimu nyingi hivyo.
Hotuba zake nyingine nyingi tu huwa hasomi, lakini hotuba kama ya leo siyo rahisi kukariri.
Kajinyonge au nenda kwa mwenyekiti wako akupe faru john unyweanahutubia bunge au CCM campaign rally?
Watanzania mtaamka lini lakini nyie???!!
View attachment 1480366
Na bado oktoba ndio hii, mbona mtakomaHalafu watu wnasikiliza utopolo
Hekima zimeanza kukuisha mkuuHicho sio kikohozi cha kubana hewa, ni kikohozi cha kuumwa. Kina muda sasa toka akiwa Chato.
Hata wafuasi wa Gaddafi na Mugabe nao walikuwa wakisema hivi hivi. kiliponuka kikanuka!!Kajinyonge au nenda kwa mwenyekiti wako akupe faru john unywe
Hivi mwenyekiti anaendeleaje na mguu?hata wafuasi wa Gaddafi na Mugabe nao walikuwa wakisema hivi hivi. kiliponuka kikanuka!!
Kujifariji.hata wafuasi wa Gaddafi na Mugabe nao walikuwa wakisema hivi hivi. kiliponuka kikanuka!!
Mkuu bado sijamjua, kama unamfahamu nijuze aisee?!Hahahahaha Umeshamjua ni nani lakini
Naomba kumjua mkuu kama unamfahamu!Siyo mdada, ni mama mke wa mtu! Bado ana haki ya kuonyesha hisia zake kwa kazi kubwa na nzuri ya rais wa awamu ya tano.
Na Corona Hii bado kuna watu wa natamani wasimamishe muda ili waende Lee na Corona....!!? Labda itakuwa Ndugai huyo......!!Kuna watu wanatamani wausimamishe muda lakini ndio hivyo tena,wacha tu muda utaongea wenyewe...