WINGER_TEREZA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 242
- 450
- Thread starter
-
- #101
Nadhani ndio maana PM akaamua kwenda zake kwenye kampeni maana aliona hakuna cha Maana.. Sema CCM wanauchu wa madaraka sana, yaani kuna sababu gani PM kwenda kupiga kampeni kwenye Jimbo moja ilihali wana majimbo zaidi ya 360 yanakero za kutosha?ππSasa unajiandikishaje kuuliza swali kwa Mtu ambaye hayupo? Hii nchi ngumu sana wallah, yaani PM yupo zake kwenye kampeni huko kwa Mpango na ameacha majukumi yake ya Kiserikali pale Bungeni!
CCM, sasa hivi watanzania tutaanza kumuomba MUNGU na tutamuachia yeye afanye kwa niaba yetu hasa wabunge wanaokula Posho za makalio.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Chawa!Tale tale katuangusha angemtwanga swali
Ova
Wabunge wa CCM ni wabobezi katika kuomba miongozo, huwa walikuwa wanasubiri nondo za wapinzani ndipo nao wapate mwanya wa kuomba miongozoNikikumbuka Bunge lililopita, nilikuwa naisubiria kwa hamu sana siku ya Alhamisi kumuona kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni, Freeman Mbowe wakati huo, kupata wasaa wa kumuuliza Waziri Mkuu juu ya sensitive essues
Unaweza kumuuliza swali mfadhili pambano wakoHata Covid 19 Walikoswa cha kumuuliza Waziri?
Huyo ni demu wangu ubishi ndiyo zakeEtwege atabisha
Wamchinje na demu wangu ccEtwegeWakuambiwa wachinje Ndugaye anataka kurusha ngumi.
Thubutu! Ndo kwanza wanazunguka kwa waganga ili kuendelea kumpumbaza spikaHata Covid 19 Walikoswa cha kumuuliza Waziri?
umenifurahisha sana bwasheekwanini ukiandika nnduGAY inafutika?
hebu jaribu wewe labda itakubaliumenifurahisha sana bwashee
πππππ
Size yako huyo uko nayeWamchinje na demu wangu ccEtwege
Siku hizi ananikimbia maana anajua matusi hapa yapo zaidi yakeSize yako huyo uko naye
Anaingia kwa kuvizia sana, ila leo kuna uzi yupo na kasumbua sanaSiku hizi ananikimbia maana anajua matusi hapa yapo zaidi yake
bunge dhaifu huzaa wabunge goigoiLeo hii ikiwa ni Alhamisi kama tulivyozoea kuwa ni siku ya wabunge kumuuliza kiongozi wa shughuli za bunge mh Waziri Mkuu.
Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson amesema, leo Alhamisi kulikuwa na kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, lakini "hakuna mbunge aliyejiandikisha kwa ajili ya kumuuliza Waziri Mkuu."
Ktk hali ya kuangaza hakuna mbunge aliyekuwa tayari kujiandikisha ili amuulize mwaswali ya papo kwa papo mh waziri mkuu.
Bunge kukosa wabunge wa upinzani kunalifanya kulala usingizi wa pono.
Haya ndiyo madhara ambayo waliyo panga huu mpango wa kuwakwamisha wapinzani wasishinde basi yatawatafuna maishani mwao milele.