Watajadili ila, amini hakuna mabadiliko yoyote yatafanyika...

Wanaweza kujadili hata siku 3.. Mwsho wa siku wanapotezea au watakuja hoja nyepesi tu
 
Ni lazima Serikali iruhusu ushindani wa Kibiashara wa Kampuni mbalimbali za kuleta mafuta nchini!

Ushindani wa Kibiashara huleta nafuu kwa wananchi!

Serikali haitakiwi kucontrol biashara bali inatakiwa kuregulate biashara!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kweli tunapigwa, huku tena tunadanganywa na waziri mwenye dhamana tuna akiba ya kutosha ya mafuta, sasa kama akiba ipo kwanini bei inazidi kupanda kila siku?

Mafisadi wanatumia kisingizio cha vita ya Urusi na Ukraine kutuumiza, na hata siwalaumu sababu walisharuhusiwa na Rais, kuanzia waziri wa nishati na ile bodi yake yote sina imani nao, tupo mikononi mwa mafisi.
 
Ko ni wananchi wa kumpa hyo nafasi au vyombo vya ulinzi na usalama vitiifu kwa mtawala?
 
walivyokua wanapitisha matozo na makodi ya ajabu kwenye mafuta walitegemea Bei zitabaki vilevile. wabunge tulio nao sio wawakilishi wa wananchi ila ni wawakilishi wa chama Chao ndio maana kwenye matatizo ya wananchi hawawanyanyui midomo ila wakiona Jambo litawahalibia chama chao wanaanza kujifanya kuongea
 
Hakuna kitu hapo, kwanza kwanini wakae siku 90 ajili ya budget ya siku 360? nchi gani tena bunge linakaa muda mrefu hivyo? waanze na matumizi yao kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…