Kwani chadema wao si wamesema wapo 12% na wanatosha? nadhani bunge sio sehemu ya majaribio wapinzani wengine wanaona mbali ndio maana wamempa mtu mwenye uwezo tatizo la chadema wameshalewa ukubwa mapema!!!!
Naisikitikia JF, zamani ilijizolea sifa kemkem katika ujenzi wa hoja na kumkoma nyani gidali kweupe.Halima mdee=viti maalum wote wa CCM na CUF + kumi wa kuchaguliwa wa CCM+Ana makinda
Tundu Lisu=jk+sitta+pinda+EL+RA+ wengine sitini
Mnyika=wa kuchaguliwa wote wa CUF+NCCR+UDP+TLP +majimbo waliyoiba kura ya segerea, temeke,kinondoni,ilala na kigamboni
Zitto=jaza mwenyewe
Vicent Nyerere=endelea
Mbowe=acha kabisa
utakuwa ujinga kwa ccm kuwapa watu wanaotoka a small area as pemba kuunda serikali ya upinzani il hali wapo wanaotoka almost all corners of the country. mwaka 2015 hiyo move itatumika kuwaadhibu sana.
Ulipaswa kujua CHADEMA ndicho chama pekee cha upinzani tangu wakati wa uchaguzi mdogo wa Tarime. Waliandamwa na kila chama. Kuanzia chama chakachua Matokeo (CCM) mpaka bendera ufuata upepo (CUF). Naamini siku moja tutakamata dola. Kama unabisha hiyo imekula kwako
ndio maana mara kadhaa mimi nimekua nikiwaambia watu, hakuna haja ya CHADEMA kuungana na CUF, NASEMA HAKUNA HAJA, CUF wanaagenda zao za siri zinazowasukuma katika siasa, na niagenda za Ubinafsi na mambo yasiyofaa kwa TZ, CUF leo inapambana na CHADEMA kwa nguvu kuliko wanavyopambana na CCM, nimekuwapo Mwanza, Musoma Mjini, Tarime, Mbeya, Iringa, Tanga, Kilimanjaro na Arusha, Sehemu zoote hizo, CUF wamekua wakirusha madongo mazito yakuwashambulia CHADEMA, ila sishangai, wana Agenda yao, na upo ushahidi wa namna chama hicho kinavyofungamanishwa na pesa chafu za mafisadi na magaidi.
si kipindi kirefu tutaujua Ukweli, kuna Mpasuko unawanyemelea,
Uswahiba wao na ccm UMEANZA MIAKA mingi , sasa mapenzi yameshamiri kila jambo hadharani, VIVA CHADEMA, hakuna kurudi Nyuma.
Hayo ni mawazo yako mkuu mimi napenda mabadiliko lakini kwa yaliyotokea jana na leo dodoma chadema hamna haja kumtafuta mchawi mchawi ni nyie wenyewe kwa vyovyote itakavyokuwa nina imani upinzani wa kweli bado haujazaliwa na kama upo basi sio huu wa chadema pengine haujapata nafasi na tungoje 2015.
chadema ni after maslahi
Halima mdee=viti maalum wote wa CCM na CUF + kumi wa kuchaguliwa wa CCM+Ana makinda
Tundu Lisu=jk+sitta+pinda+EL+RA+ wengine sitini
Mnyika=wa kuchaguliwa wote wa CUF+NCCR+UDP+TLP +majimbo waliyoiba kura ya segerea, temeke,kinondoni,ilala na kigamboni
Zitto=jaza mwenyewe
Vicent Nyerere=endelea
Mbowe=acha kabisa
utakuwa ujinga kwa ccm kuwapa watu wanaotoka a small area as pemba kuunda serikali ya upinzani il hali wapo wanaotoka almost all corners of the country. mwaka 2015 hiyo move itatumika kuwaadhibu sana.
Kura za wabunge kwa wagombea wa nafasi ya Spika zimenifanya nihitimishe kuwa Kama bungeni kunatakiwa kuwa na kambi mbili basi CCM ina wabunge 265 na Upinzani una wabunge 53. Nimefikiri hivyo hasa pale ambapo CCm walikuwa wanaimba CCM! CCM! CCM! wakati Anna Makinda anakwenda kula kiapo. Kwa maoni yangu wapinzani waliopiga kura kwa CCM nao ni CCM tu.
mh kwa mbinu za sisem watahakikisha wanaisambalatisha chadema vibaya mno. sasa nijukumu ya wabunge wa chadema na wanachama kuwa na msimamo sana kutokudanganyika!
Baada ya CUF kuungana na CCM kuunda serikali ya mseto, ni vizuri watanzania wote waelemishwe kuwa chama pekee cha upinzania kilichobaki Tanzania ni Chadema. Kulikuwa na nafasi ya vyama vingine kama TLP, NCCR navyo kuwa vyama vya upinzani. Lakini baada ya TLP, NCCR na vyama vingine kuungana na CUF bungeni inamaanisha kuwa CUF, TLP, NCCR vyote vimeungana na CCM. Hivyo, kama ambavyo tumeendelea kutoa elimu ya uraia kwa watanzania, tuendelee kuwafahamisha na waelewe kuwa chama cha upinzani na ambacho kinatetea masilahi ya Watanzania nchini kwetu ni Chadema pekee. Ujumbe huu na uenee nchi nzima sasa.
kura hizo zinaweza kuonyesha pia ubovu wa mgombea wa chadema usiangalie upande mmoja tu. huenda wanngeweka mtu mzuri angepata na kura za CCM