Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,910
Haya Bwana!! kwa hiyo chadema ndio pekee wapinzani!
back to the history, see reality, know what is real happening in these parties!
Note that, we have no opposition parties and chadema they are not among them!! neither ccm!!!!!!!!!
labda mtu aniambie kuwa idadi ya wabunge wa chadema inaweza kuleta mabadiliko yanayoweza kuonekana, zaidi ya kuongea,
bado hawana nguvu na kubaguana huku na kutengana kwao huku ndio kunakopelekea kusema chadema hipi unayosema ya wapinzani? waliopata urais asilimia 24 ndogo zaidi ya aliyopata Mrema mwaka 1995!! acheni ushabiki we have long way with these sorts of mind!
hoja yako ya kuwa serikali ya mseto ya cuf na ccm kinaiondoa cuf kuwa chama cha siasa ni ya hatari na ya kupingwa mno, unaishi karne ya 11 au 12 hivi! tunahitaji serikali kama hiyo Tanzania bara pia!
katika serikali ya mseto, viongozi wanataka uongozi ili walete kitu fulani unique na kuweka historia kuwa walitatua matatizo fulani, hawapati uongozi kwa sababu ya dhiki zao na wajaze matumbo yao kama viongozi wengi wanavyowaza!
with such mind of yours, never expect kuwa kura yako vote(latin-votum) which means 'choice' au 'wishes' kuwa itafanya kitu chochote.
ni ujinga na upumbavu uliotukuka kuamka asubuhi kumpigia kura Slaa ili awe rais, yet anakosa urais , lakini kura yako haina nafasi yoyote ya kihistoria, that led 10million people not to vote just recently!!
serikali ya mseto ingemfanya Slaa kuwa mmoja wa watu watakaounda serikali, I mean chadema ingepewa kama wizara 4 hivi, ndio kenya wanavyoishi hivyo, so as South Africa etc......
Tuwaze mabadiliko ya katiba yatakayo accomodate vyama vyote, kama kuna vyama vitakavyochemsha automatically vinakimbiwa na wananchi!!!!
nchi ni ya wote regardless of our respective vyama!!! haiwezekani aliyeshinda asilimia 61, atuongoze miaka mitano ijayo, na haikuwezekana zanzibar waliopitana kwa asilimia 1% basi ccm waongeze serikali-ingekuwa haimake sense
kwa mawazo yako haya sitaki kukubaliana na wakenya kuwa kenya wako mbele miaka 15 kidemokrasia kuliko tanzania!!!! japo kwa mawazo yako unadhihirisha
ushabiki wa chadema humu fanya, ila kumbuka hatujuani, hoja na ukweli daima viwe kinga ya kulinda utu na akili zetu za kawaida, kusema kila kitu kwa lengo ya kuisifia chadema sio kukijenga!
chadema iangalie ni wapi ilipokosea, mpaka ikakosa kushirikiana na vyama vingine!!
ilikuwa nccr, ikaja cuf na sasa ni chadema historia ni mbaya sana, usishangae next five years chadema hii ikawa sio hii ya leo, kwa mawazo mgando mliyokuwa nayo wa kujiona superior
chama pekee chenye hostoria iliyoleta mabadiliko nchi hii na wengine wanapaswa kujifunza ni CUF-zanzibar, then those can be applaused!
ebu kua kidogo
your a mess, talking messy stuff just like your profile nameKaka Chadema magugu mengi, na magugu huwa yakiota mimea mizuri inakuwa hatarini. Zitto, wenje, .........
mimi nipo completely opposite to you! Kwa sasa CHADEMA ndio chama kinachopingwa na kuandamwa na vyama vingine vyote. Kwa maneno mengine Chadema sasa ni chama kikuu na vingine vyote ni vya upinzani. Na hiyo ni kwa sababu;
1. Kimeshika miji mikuu na majiji yote
2. Ni makini na kina watu makini na asilimia kubwa ya wananchi wanakiunga mkono hasa wasomi ambao ndio nguzo ya nchi
3. Kinasimamia ukweli daima
4.
Sina uhakika na kauli hii..........................ingawaje jinsi hivyo vyama uchwara vilivyo mpigia kura Anne Makinda inatia mashaka,,,,,,Lakini baada ya TLP, NCCR na vyama vingine kuungana na CUF bungeni inamaanisha kuwa CUF, TLP, NCCR vyote vimeungana na CCM
hivi wewe unazo za kukutosha kweli makinda hata robo ya qualification alizonazo marando hanazo think twice!
Kwani chadema wao si wamesema wapo 12% na wanatosha? nadhani bunge sio sehemu ya majaribio wapinzani wengine wanaona mbali ndio maana wamempa mtu mwenye uwezo tatizo la chadema wameshalewa ukubwa mapema!!!!
Haya Bwana!! kwa hiyo chadema ndio pekee wapinzani!
back to the history, see reality, know what is real happening in these parties!
Note that, we have no opposition parties and chadema they are not among them!! neither ccm!!!!!!!!!
labda mtu aniambie kuwa idadi ya wabunge wa chadema inaweza kuleta mabadiliko yanayoweza kuonekana, zaidi ya kuongea,
bado hawana nguvu na kubaguana huku na kutengana kwao huku ndio kunakopelekea kusema chadema hipi unayosema ya wapinzani? waliopata urais asilimia 24 ndogo zaidi ya aliyopata Mrema mwaka 1995!! acheni ushabiki we have long way with these sorts of mind!
hoja yako ya kuwa serikali ya mseto ya cuf na ccm kinaiondoa cuf kuwa chama cha siasa ni ya hatari na ya kupingwa mno, unaishi karne ya 11 au 12 hivi! tunahitaji serikali kama hiyo Tanzania bara pia!
katika serikali ya mseto, viongozi wanataka uongozi ili walete kitu fulani unique na kuweka historia kuwa walitatua matatizo fulani, hawapati uongozi kwa sababu ya dhiki zao na wajaze matumbo yao kama viongozi wengi wanavyowaza!
with such mind of yours, never expect kuwa kura yako vote(latin-votum) which means 'choice' au 'wishes' kuwa itafanya kitu chochote.
ni ujinga na upumbavu uliotukuka kuamka asubuhi kumpigia kura Slaa ili awe rais, yet anakosa urais , lakini kura yako haina nafasi yoyote ya kihistoria, that led 10million people not to vote just recently!!
serikali ya mseto ingemfanya Slaa kuwa mmoja wa watu watakaounda serikali, I mean chadema ingepewa kama wizara 4 hivi, ndio kenya wanavyoishi hivyo, so as South Africa etc......
Tuwaze mabadiliko ya katiba yatakayo accomodate vyama vyote, kama kuna vyama vitakavyochemsha automatically vinakimbiwa na wananchi!!!!
nchi ni ya wote regardless of our respective vyama!!! haiwezekani aliyeshinda asilimia 61, atuongoze miaka mitano ijayo, na haikuwezekana zanzibar waliopitana kwa asilimia 1% basi ccm waongeze serikali-ingekuwa haimake sense
kwa mawazo yako haya sitaki kukubaliana na wakenya kuwa kenya wako mbele miaka 15 kidemokrasia kuliko tanzania!!!! japo kwa mawazo yako unadhihirisha
ushabiki wa chadema humu fanya, ila kumbuka hatujuani, hoja na ukweli daima viwe kinga ya kulinda utu na akili zetu za kawaida, kusema kila kitu kwa lengo ya kuisifia chadema sio kukijenga!
chadema iangalie ni wapi ilipokosea, mpaka ikakosa kushirikiana na vyama vingine!!
ilikuwa nccr, ikaja cuf na sasa ni chadema historia ni mbaya sana, usishangae next five years chadema hii ikawa sio hii ya leo, kwa mawazo mgando mliyokuwa nayo wa kujiona superior
chama pekee chenye hostoria iliyoleta mabadiliko nchi hii na wengine wanapaswa kujifunza ni CUF-zanzibar, then those can be applaused!
ebu kua kidogo
Mmmmh watu hamuishiwi hoja za kujibu hahahaha, nimeipenda hiyo mkuu.Hakuna shamba linalokosa magugu, wakati mwingine magugu yanafaida, wakati wa kiangazi Magugu hutunza unyevunyevu ardhini na kuzuia mchwa wasitafune mazao. Magugu mengine ni chakula cha mifugo tunayofuga, pia yakiozea shambani hurutubisha ardhi.
Source Habari Leo? simple logic ulishaona mpangaji akamhamisha chumba mwenye nyumba ili yeye akae, kwanini wasiwaombe uongozi CCM walioungana nao waje kulazimisha Chadema?"Katika hatua nyingine, Hamad alisema CUF inaendelea na mazungumzo na Chadema kuhusu kuundwa kambi ya upinzani na imetoa masharti kwa Chadema kuwa itashirikiana nayo iwapo itaviingiza vyama vyote kwenye kambi hiyo.
Alipoulizwa itawezekanaje wakati Chadema imeshaunda kambi ya upinzani na kuteua viongozi wake, alisema "jana (juzi) niliongea na Mbowe (Freeman) na anaweza kubadilisha kambi yake, nasi CUF tumetoa masharti ya kuungana nao ni kambi kuwa na vyama vyote na si CUF na Chadema pekee," alisema Hamad ambaye ni Mbunge wa Wawi, Pemba."
Sourcre:HabariLeo | Sitta amwosia Anne Makinda