TANZIA Buriani Abbas Kleist Sykes

TANZIA Buriani Abbas Kleist Sykes

Ndugu yangu Mohamed Said,umeweka simulizi nzuri lakini mara zote kama kawaida moyo wako haukubali kama Nyerere alikuwa Rais wa kwanza wa TANU, Tanganyika,Tanzania na CCM.Unaamini kuwa kuna watu wako walistahili,ulitamani leo Hamza (RIP) na Abdul (RIP) ndio wawe wenye kuelezea historia ya nchi hii,unaamini Julius hajui historia ya nchi hii.Ni dhahiri moyo wako unatoa machozi kwani historia haiko kama unavyotaka.Uongozi ni riziki itokayo kwa Mola!

Kudos [emoji1548]
 
Muhammed Said, this is not about you!

Nimewahi kukueleza si mara moja, umesoma-soma, ndio, lakini hukuelimika.

Tanzia ya mwenzio unaianza na story kuhusu WEWE ulivyokaa Dubai Carlton Hotel.

Aya ya pili interview yako WEWE na BBC

Aya ya tatu kitabu chako WEWE ulichokuwa unakinadi.

That's bad form, unbecoming a gentleman commentator, huo sio uandishi wa kiuungwana.
Kuandika ni sanaa na siku zote sanaa haina kanuni

Hii ni kwa sababu sanaa ni ubunifu wa kuunda/kutengeneza/kutunga/kuanzisha mtindo/mpango/utaratibu/muonekano/mpangilio/mnasibu wa kitu/jambo/umbo/mtindo/mchezo/habari au taarifa

Usikariri usomi wa elimu za kizamani za KIHAFIDHINA ulimwengu wa leo upo very flexible kuakisi maendeleo ya kila kitu kutokana na ubunifu wa mambo mablimbali katika nyanja tofauti tofauti ili kuleta furaha katika maisha ya kila siku na kuupamba ulimwengu uvutie kuishi na maisha yawe mazuri

Usichanganye mambo hakuna SHERIA au KANUNI ya KUFANYA sanaa ila kuna SHERIA na KANUNI za kuendesha UFANYAJI wa sanaa kwa hiyo sanaa kama sanaa inaweza kufanywa vyovyote ili mradi ipendeze na kuvutia kutegemeana na lengo la Msanii

Ungetuandikia wewe basi uliesoma haswaa na ukaelimika kikwelikweli acha dharau wakati hujui lolote Mxieusssszzzz!!! HOVYOOO !!!

Kongole Mohamed Saidi

Umesanifu vizuri taarifa yako na imevutia sana kiasi cha kumfanya mtu arudishe fikra na kujaribu kutengeneza picha na mandhari kichwani mwake kana kwamba anashuhudia hali ilivyokua katika miaka hiyo ya hamsini

Hujagusa tu watu husika lakini pia umesanifu maelezo yako yamegusa mpaka Jiografia ya maendeleo ya mitaa na mipango miji ilivyokua na ilivyo sasa kiasi mtu anajenga picha kichwani mwake ya hali ilivyokuwa katika miaka hiyo ya kuanza kwa TANU

Hongera Mkuu hizi ni hazina kwa sisi vizazi vilivyofuata baadae
 
Inna lillah wainna ilaih rajiuun bw.Abbas Sykes
 
Binafsi nilikuwa sijui km huyu mzee kafariki, nilikuwa naperuzi facebook ndio nikaona post ikisema mzee Sykes ataswaliwa masjid Maamur na kuzikwa kisutu..

Yaani vyombo vya habari vinaandika kwa urefu habari za Sabaya ambaye alikuwa anaongoza wilaya moja tu Tanzania lakini mtu na familia nzima walijitoa katika kuipigania nchi hii uhuru wake ht gazeti moja kumpa front page kuwa mpigania uhuru katutoka hii si sawa.

Sijasikia katika tv,redio japo kutoa taarifa ya wasifu wake katika pumzi yake ya mwisho kuelekea ahera.

Ama kweli Tanzania inaubaguzi mno kwa baadhi ya mambo.

Tunamuomba Mwenyezi Mungu amsamehe madhambi yake na amweke mahali pema peponi.
Ubaguzi unatoka kwa nani kwenda kwa nani.
Maana serikali ya sasa ni ya Mzee wetu ......, sasa ni juu yetu sisi wajukuu zake kuandika kwenye hayo magazeti
 
Muhammed Said, this is not about you!

Nimewahi kukueleza si mara moja, umesoma-soma, ndio, lakini hukuelimika.

Tanzia ya mwenzio unaianza na story kuhusu WEWE ulivyokaa Dubai Carlton Hotel.

Aya ya pili interview yako WEWE na BBC

Aya ya tatu kitabu chako WEWE ulichokuwa unakinadi.

That's bad form, unbecoming a gentleman commentator, huo sio uandishi wa kiuungwana.
Si uandike wewe ujuavyo? Unataka kila aandikae aandike utakavyo wewe? Unanshangaza!
 
Husda,chuki,wivu na roho ya nyongo tuh imekujaa,huna lolote...

Kama ww unajua basi andika tanzia au eleza unayoyafam km anavyoelezea Mohamed Said Ili tuone uhalisia wa hicho unachokisema,dini yake ww inakuchoma choma kwanin?wewe pia si unayo dini yako?unaongea ujinga ujinga kama mwanamke unaetafuta ndoa kwa nguvu jamaa,

Ustadhi wa gas haitoki nakuona unakuja kwa kasi kama moto wa mabua.Tulia soma taratibu utaelewa bahati mbaya leo nimeanza kufunga sita.
 
Huyu ndo babake Abdul Sykes aka Dully Sykes?
Nilikuwa Dubai, nilipigiwa simu na BBC kutaka kunihoji hapohapo nilikuwa Tanga nikifuatilia katika TV......


Visa vya kutunga tunga vina shida zake
Kishindo,
Hapana ndugu yangu sina sababu ya kusema uongo.

Bahati mbaya wewe unadhani hayo ni makubwa si yangu naamua kutunga.

Mie si mgeni wa yote hayo nikae kitako kuyatamani na kuyatunga katika fikra.

Angalia picha niko BBC Glasgow mwaka wa 1991.

Jitulize nisome upya.

BBC walikuwa wanataka kunihoji ugonjwa wa Mwalimu yuko London.

Tanga sasa Mwalimu kesha fariki mimi nafuatilia matangazo ya mapokezi ya mwili wake katika radio siko tena Dubai.

Ukipenda kunifahamu ingia hapa: mohamedsaidsalum.blogspot.com

Screenshot_20210516-103634_Chrome~2.jpg
 
Aah, wapi! Huyo Mohamed Said huwa anajua historia ya watu wasiozidi kumi; Abbas na Abdul Sykes, Dosa Aziz, Bibi Titi, Rupia na wengine wachache. Na hao wote ni wa Kariakoo mitaa ya Aggrey na Tandamti! Hajui kingine chochote zaidi ya hiyo mitaa!!!
 
Muhammed Said, this is not about you!

Nimewahi kukueleza si mara moja, umesoma-soma, ndio, lakini hukuelimika.

Tanzia ya mwenzio unaianza na story kuhusu WEWE ulivyokaa Dubai Carlton Hotel.

Aya ya pili interview yako WEWE na BBC kuhusu maisha na kifo cha Nyerere

Aya ya tatu kitabu chako WEWE kuhusu historia ya TANU na maisha ya Gerezani na Kariakoo

That's bad form, unbecoming a gentleman commentator, huo sio uandishi wa kiuungwana.
Kwameh,
Kughitilafiana ni silka yetu binadamu.

Ningekuwa naandika kama unavyoona wewe kuwa ndiyo sawa nisingekuwa hivi nilivyo leo.

Ila hili la uungwana sijui kwa nini umelileta.

Nakushukuru.
 
Aah, wapi! Huyo Mohamed Said huwa anajua historian ya watu wasizidi kumi; Abbas na Abdul Sykes, Dosa Aziz, Bibi Titi, Rupia na wengine wachache. Na hao wote ni wa Kariakoo mitaa ya Aggrey na Tandamti! Hajui kingine chochote zaidi ya hiyo mitaa!!!
Sweet tablet,
Niko Washington DC VoA wananihoji mie mbumbumbu wa Tandamti.

Nijue nini Mswahili mimi.

Screenshot_20210516-105902_Photos.jpg
 
Back
Top Bottom