Buriani Hassan Chikusa msomi mkimya

RiP - Niliwai kuwa nae Karibu Kibiashara wakati Nnaishi na Kusoma South Africa JohanesBurg ! Tulikuwa tunakaa Gorofa moja .Sikuwai jua hii story yake 😭😭😭. Miaka ya Hivi Katibuni alikuwa anaandika Kitabu, sijui kama amekimaliza au la! Mwenyezi Mungu amrehemu.
 
Chipukizi,
Amin.
Kitabu alikimaliza.
 
Machine...
Mbona nipo tunajadili?

Ukiona simjibu mtu ni kuwa hana ustaarabu.

Lakini ikiwa mtu ananiandikia kwa heshima na adabu najibu maswali yake.
Mfano niliuliza katika post number #37 unisamehe pengine nilitumia lugha mbaya pasipo kujua, japokuwa sikuona tatizo lolote katika maswali yale.

Nilicho ona watu wengi wana gadhabika kwa sababu umeandika vitu vigumu na vinavyo weza pelekea kulete utofauti baina ya makundi katika jamii, vitu hivyo vinahitaji maelezo mapana sambamba na maswali yatakayo ibuliwa kuwa yajibiwe.

Sasa watu wanakuona ni mdini au mchonganishi pale ambapo mada yako hii haijibiwi maswali yanayo ulizwa ndio hupelekea watu kufungua hasira yao
 
Sasa wewe mzee ndo umejibu nini hapa? 😁😁
 
Hizo sehemu zote ulizopitia nina wasi wasi nazo. Hizo ndo vichaka vya wafia dini ya kiislam.


🀣 🀣 🀣 🀣
Kwa hiyo unaona Mzee Saidi ameandika kwa code..
Yaani aliiingia Karachi , akitokea Kandahar, akaja Kabul kwa siku mbili halafu akaenda Baghdad, kisha akaenda Aleppo, na kurudi Baghdad na kupanda ndege kwenda Tehran... πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Hapo alimaa nisha..alitoka magomeni akaenda manzese..kisha mwananyamala..then kigogo..kisha temeke sudani..akarudi kimboka..then yombo..kisha magomeni.

Mzee janja janja nyingi sana anapenda kujipaisha aonekane anahadhi kumbe mhuni tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Tek...
Naona niweke picha nikiwa Tehran.

Nikiwa na watangazaji wa Radio Tehran 2006
 
Tek...

Voice of America (VoA), Washington DC 2011

University of Khartoum 1998
 
Tekno...
Nasikitika na kuhisi vibaya kuwa mtu atanitukana kwa kuwa tu nimeeleza historia ya jamii yangu.
Mzee Said
JF ya siku hizi imejaa vitukuu na vilembwe vilivyo potezwa na zama za teknohama na hivyo kutokuwa na heshima wala staha.
Taasisi za elimu ziko na kipaumbele cha kutoa Quantity kuliko Quality ili zijipatie fedha za ada zaidi na zaidi... na matokeo yake ni kizazi kinachoona kimeendelea kwa uwepo wa teknolojia mpya ya kuwafanya kuwa tegemezi bila kuwa na uwezo kufikiri kwa kutumia akili binafsi...
 
Askari Waislam wakawaambia wenzao hilo haliwezi kufanyika kuwapiga mabomu Waislam wanaosali kwani ni kufuru kubwa Waislam hawajafanya fujo wamekuja kituoni kufuatilia masheikh wao walioko korokoroni.


Siku hii ya Jumapili yaani Easter Sunday mimi ndiyo niliingia Dar es Salaam nikitokea Le Havre, Ufaransa nikaja Paris kwa muda wa siku mbili kisha nikaenda London kisha Cardiff na kurejea London kupanda ndege kurudi Dar es Salaam.

 
πŸ‘πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…