mashinetata
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 391
- 896
Mzee wangu nimepitia maoni ya watu wengi nikiwemo mimi (post #37) na wengi tuna shauku ya kuifahamu hiyo sheria inayo wamilikisha kikundi fulani (islamic) kuwa hili eneo ni la kwao na inabidi katiba isifuatwe bali yafuatwe matakwa ya dini yao.
Naomba utupatie hiyo elimu
Naomba utupatie hiyo elimu