Buriani Rosemary Kambarage Nyerere

Buriani Rosemary Kambarage Nyerere

Nimeshangaa umesema mcheshi
Wakati alipokuwa mbunge hakuwahi kuongea chochote Hadi anamaliza ubunge..

Sikuwahi kujua alifika udsm
Interesting
Kama nakumbuka vizuri, mwanzoni mwa miaka ya 90 Rose alizama sana kwenye mambo ya IMANI ya Kikristo hadi akawa mwana kalismatics ile ya father Nkwera, huenda huo ulokole wake ndio ulimfanya apoteze huo "ucheshi" wake. Just thinking loudly
 
Katika Jambo ambalo Nyerere alikosea ni Kuruhusu mambo ya kipuuzi kama haya pia Yatokee kwa watoto zake lakini pia Hakufanya jitihada za wazi kuwainua watoto zake kabisaa.. leo hii mtoto wa mwinyi anakuwa Rais wa nyerere hata Ubunge anakosaa...!! Legacy ya Urais aliondoka nayo mwenyewe watoto zake hawakufaidika hata kiodgo na potential ya baba yao mpaka Inafikia kipindi Lectures wanamdico mtoto wa Rais[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nasema wangetafuta kazi ya Kufanyaa maza fakazzz tena sio tanzania idiots kabisaa... uprofesa ushuzi huko huko kwao.
Watoto zake baadhi walipewa naafasi sema ndiyo hivyo walifeli tu

Ova
 
Kama nakumbuka vizuri, mwanzoni mwa miaka ya 90 Rose alizama sana kwenye mambo ya IMANI ya Kikristo hadi akawa mwana kalismatics ile ya father Nkwera, huenda huo ulokole wake ndio ulimfanya apoteze huo "ucheshi" wake. Just thinking loudly
Masahihisho kidogo Father Nkwera siyo Calismatic ni Wanamaombi.Hao wametengwa na RC ,Calismatic wao wapo ndani ya RC.
 
Nasikia siku hizi mwalimu wa chuo akitoa matokeo ya ufaulu mdogo anaundiwa tume! Na hapo ameudhuria vipindi vyote, katoa mazoezi darasani inavyotakiwa na mitihani imepitiwa na kamati husika kabla ya kupewa wanafunzi!!! Halafu, mnasema tunataka kupeleka mtu kwenye sayari kabla ya 2040!
===
Buriani Rose Nyerere!
nlisikitika sana bodi ya mkopo iliyakataa matokeo ya wanafunzi wa faculty flani pale DIT kisa 3/4 ya wanafunzi walikua wamezingua..
Zamani sana UDSM Electrical Engineering tulikuwa na mwalimu mmoja anaitwa Mkolela. Yeye alikuwa na falsafa kuwa Chuo Kikuu siyo chooni ambako kila mtu anaweza kuingia na kutoka! Aliwahi kukamata robo tatu ya darasa lote waka-supp! Halafu hakuingiliwa na uongozi katika maamuzi yake hayo.
 
Zamani sana UDSM Electrical Engineering tulikuwa na mwalimu mmoja anaitwa Mkolela. Yeye alikuwa na falsafa kuwa Chuo Kikuu siyo chooni ambako kila mtu anaweza kuingia na kutoka! Aliwahi kukamata robo tatu ya darasa lote waka-supp! Halafu hakuingiliwa na uongozi katika maamuzi yake hayo.
naam naam, mi naona ni sawa maana kwa namna moja au nyingine alikua anatoa watu competent, wenye shule kweli kweli.. ila saivi course nyingi zinachakachuliwa ili kupunguza wastani wa wanaofeli, matokeo yake inazalisha watu ambao hawajui vitu vingi na sio competent enough!.
 
naam naam, mi naona ni sawa maana kwa namna moja au nyingine alikua anatoa watu competent, wenye shule kweli kweli.. ila saivi course nyingi zinachakachuliwa ili kupunguza wastani wa wanaofeli, matokeo yake inazalisha watu ambao hawajui vitu vingi na sio competent enough!.
Mkolela alikuwa mkwara kweli kweli lakini vile vile alikuwa anapika wanafunzi vizuri sana; baada ya uhuru wa Afrika ya kusini nasikia alikwapuliwa na chuo kimoja huko afrika ya kusini na leo hii sijui yuko wapi, wanafunzi walikuwa wanamwita m-K. Wanafunzi walikuwa wanafurahia sana anavyowafundisha, ila walikuwa wanachoshana kwenye mitihani; alikuwa hataki wanafunzi wanaokariri mambo.
 
Zamani sana UDSM Electrical Engineering tulikuwa na mwalimu mmoja anaitwa Mkolela. Yeye alikuwa na falsafa kuwa Chuo Kikuu siyo chooni ambako kila mtu anaweza kuingia na kutoka! Aliwahi kukamata robo tatu ya darasa lote waka-supp! Halafu hakuingiliwa na uongozi katika maamuzi yake hayo.
Moja kati ya mawazo ya kimasikini sana tuliyonayo watu wengi weusi; wivu; hatupendi wengine wafikie tulipo; halafu wakikamatwa wanafunzi wengi hivyo mwenyewe anasikia RAHA, umasikini wetu ni wa kujitakia kwa sehemu kubwa.
 
Moja kati ya mawazo ya kimasikini sana tuliyonayo watu wengi weusi; wivu; hatupendi wengine wafikie tulipo; halafu wakikamatwa wanafunzi wengi hivyo mwenyewe anasikia RAHA, umasikini wetu ni wa kujitakia kwa sehemu kubwa.
Umenijibu kama vile mimi ni mtoto mdogo wa mtaani. Naomba usinionehivyo; mimi ni mwalimu wa vyuo vikuu kwa takriban miaka 34 sasa. Nimeshafundisha siyo Tanzania tu, bali hata New Zealand, na sasa Marekani, kwa hiyo haya maoni yako ya mawazo ya kimaskini weusi wenye wivu siyo kweli kabisa. Nimeshasidia vijana wa watanzania wengi sana kusoma marekani, na wengine wao leo ni maprofesa hukuhuku marekani. Kwa hiyo jua kuwa mimi siyo maskini, na vile vile ninafurahi sana kusaidia wengine wafikie hapa nilipo.

Napenda uelewe tena kuwa katika elimu usitegemee kupewa maksi za kushinda kwa mambo ya kukariri ukadhani kuwa hiyo ndiyo elimu, kazi ya elimu kukujenga skills za kutafsiri unayofundishwa darasani ili kuyafanya yatatue matatizo halisi ya maisha. Kama nilikufundisha kuwa mashine moja ya 240V: 250kW utatumia transformer yenye current capacity kiasi gani, ninategemea pia kuwa nikuuliza mashine tano za namna hiyo utatumia transformer ya namna gani. Siyo ukariri jibu la mashine moja tu. Iwapo ungekuwa mwanafunzi wangu na una attitude hii, ni kweli ningekukamata na kuchekelea sana. Chuo kikuu siyo choo ambacho hata inzi anaweza kuingia na kutoka!
 
Lakini lecturers walikuwa na roho mbaya sana....unachukua cream of the cream iliyomaliza form six na baadaye unafyeka nusu nzima. Intake ilikuwa na 50 na wanamaliza 24 .... Kipindi hicho nchi ilikuwa na idada ya karimu na milioni 20 na chuo kinatoa 24 graduates of medicine. So sad.
Halafu wakimaliza udaktari hao 24 robo yao au ⅓ wanaishia Botswana na nchi nyingine za kusini mwa Africa na wengine hadi sasa wamelowea huko
 
Katika Jambo ambalo Nyerere alikosea ni Kuruhusu mambo ya kipuuzi kama haya pia Yatokee kwa watoto zake lakini pia Hakufanya jitihada za wazi kuwainua watoto zake kabisaa.. leo hii mtoto wa mwinyi anakuwa Rais wa nyerere hata Ubunge anakosaa...!! Legacy ya Urais aliondoka nayo mwenyewe watoto zake hawakufaidika hata kiodgo na potential ya baba yao mpaka Inafikia kipindi Lectures wanamdico mtoto wa Rais[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nasema wangetafuta kazi ya Kufanyaa maza fakazzz tena sio tanzania idiots kabisaa... uprofesa ushuzi huko huko kwao.
Duuuuuh [emoji15][emoji15][emoji15]
 
Umenijibu kama vile mimi ni mtoto mdogo wa mtaani. Naomba usinionehivyo; mimi ni mwalimu wa vyuo vikuu kwa takriban miaka 34 sasa. Nimeshafundisha siyo Tanzania tu, bali hata New Zealand, na sasa Marekani, kwa hiyo haya maoni yako ya mawazo ya kimaskini weusi wenye wivu siyo kweli kabisa. Nimeshasidia vijana wa watanzania wengi sana kusoma marekani, na wengine wao leo ni maprofesa hukuhuku marekani. Kwa hiyo jua kuwa mimi siyo maskini, na vile vile ninafurahi sana kusaidia wengine wafikie hapa nilipo.

Napenda uelewe tena kuwa katika elimu usitegemee kupewa maksi za kushinda kwa mambo ya kukariri ukadhani kuwa hiyo ndiyo elimu, kazi ya elimu kukujenga skills za kutafsiri unayofundishwa darasani ili kuyafanya yatatue matatizo halisi ya maisha. Kama nilikufundisha kuwa mashine moja ya 240V: 250kW utatumia transformer yenye current capacity kiasi gani, ninategemea pia kuwa nikuuliza mashine tano za namna hiyo utatumia transformer ya namna gani. Siyo ukariri jibu la mashine moja tu. Iwapo ungekuwa mwanafunzi wangu na una attitude hii, ni kweli ningekukamata na kuchekelea sana. Chuo kikuu siyo choo ambacho hata inzi anaweza kuingia na kutoka!
Bro, sijakujibu wewe; nazungumzia hayo mawazo na mipango ya hao walimu wa chuo kikuu. Wewe umeandika kile kilichokua kinafanyika vyuoni, ukweli ni maeneo mengi. Ukiingia hata ofisi za serikali nyingi hata sasa, sio watu wa kutatua shida bali wanatengeneza ugumu wa wewe kupata solution ya tatizo, mfano hata TRA leo hi, the way wanavyo kusanya KODI is as if hawataki biashara ziendelee. Unajua hadi mwaka 1998 idadi ya wahasibu walikua na CPA (T) nchi nzima walikua hawafiki 3000? Sasa hiyo kama sio roho mbaya ni kitu gani?

Siamini kwamba wote wale walikua wanafeli eti hawakua na uwezo, sio kweli; baadhi yao hao walio disco vyuo vyetu wamekwenda nje ya nchi na wakawa the bet students, shida sio KUKARIRI; tunalo tatizo period
 
Pole kwa kumpoteza rafiki

Ila pia nikupe heshma yako Doctor maana 1982 sio mchezo
Naona kwa sasa ama atakuwa Professor mstaafu,1982 si mchezo ati,maji mengi yamepita chini ya daraja.
 
yaani walimdisco mtoto wa mwalimu na mwalimu akiwa hai!? kweli enzi hizo watu walikua wamepinda.. R.I.P ROSE
Yule wa Chalinze unadhani ingekuwa enzi hizo angetoboa kweli?
 
Back
Top Bottom