Buriani Rosemary Kambarage Nyerere

Shukrani mkuu kwa kunikosoa.
 
Dah basi wazeya na wakongwe tumo wengi humu, halafu huyu prof mwaluko kumbe wa Kitambo sana, kanifundisha na baadae kamfundisha mwanangu.
 
Ila sasa hivi ukileta swaga hizo za mavazi nk na cigarette pensi Fupi nini utaishia kuitwa mhuni tu na kufungiwa
 
Kama ni Me wewe ni kaka yangu kama Ke wewe ni dada mkubwa wa kwetu 1982? Ndiyo namaliza Std VII!! Shikamoo kaka!
 

Asante kwa kurudi na kutoa mchango wako. Kilichonistua mimi ni rate of failure ya wanafunzi wa medicine wakati nchi ilikuwa na watu karibu ya 20 milioni na hospitali zingine za wilaya zilikuwa hazina daktari mwenye digrii. Pili walitoka na kwenda kusoma nje, walirudi na digrii zao. Something was amiss.
 

..asante kwa mchango wako.

..mimi niko hapa kuongeza wigo wa mjadala wetu na kujifunza.
 
dah basi wazeya na wakongwe tumo wengi humu, halafu huyu prof mwaluko kumbe wa Kitambo sana, kanifundisha na baadae kamfundisha mwanangu

R.I.P Prof. MWALUKO


It pains us deeply to inform you of the loss today of our University Vice Chancellor, Professor Gabriel Paul Mwaluko, who passed away on Tuesday 19th November, 2013 in Apollo Hydrabad India where he had been undergoing medical treatment.

Prof. Mwaluko who was born in 3rd August, 1945 was a holder of MB. Ch.B Degree of the University of East Africa at Makerere obtained in 1969, Msc (Clinical Pharmacology) and PhD (Pharmacology) from Manchester University obtained in 1972 and 1975, respectively.
 
Sigaraaa????[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Mtu anaweza feli lakini akipata second chance akijitambua anatoboa .Kwamba walifeli hapa wakaenda kutoboa nje haiondoi uwezekano wa wao kufeli kihalali.
 
Huyu mzee anaujima mwingi....... Class ina watu 150, unafelisha wote wanafaulu 15, na unajisifu ety unafundisha si bora uache tuu hiyo kazi... Kwahiyo wote hao hawana akili isipokuwa ww tu.... Acheni roho mbaya

Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
 
Umerudia lawama ambazo nimeshajibu huko nyuma; halafu madarasa ya enzi zile yalikuwa na watoto 20 hadi 35 tu siyo hii ya 150 ambayo hata mwalimu hawezi kuwa na contactna wanafunzi wake ( student.
 
Huyu mama alikuwa ngangari kwelikweli, alimpelekea waziri mkware "mwanae" ili alale nae maana yule wazir rip alikuwa anawalazimisha wakuu wa shule kutoa binti alale nae wakati akitembelea shule. Waziri akahamaki akataka kumtisha huyu mama yeye thabita akapiga simu ikulu waziri akapigwa chini.
 
Daah

Siku hizi kina Halima Mdee ndio Iron lady wa uchumi wa Kati

Huyu Siwale na Bibi Titi Mohamed ndio ma Iron Lady nlowahi kuwashuhudia hapa Bongo

 
Umerudia lawama ambazo nimeshajibu huko nyuma; halafu madarasa ya enzi zile yalikuwa na watoto 20 hadi 35 tu siyo hii ya 150 ambayo hata mwalimu hawezi kuwa na contactna wanafunzi wake ( student.
Ni kweli madarasa yalikuwa ni level seat wanachuo si zaidi ya 40, lakini letu lilikuwa na watu 49 mmoja toka Kigoma hakufika chuoni na nyumbani hakurudi inasemekana amepotea hadi leo. Madarasa ya sasa vyuo vikuu siyo madarasa bali ni mikutano wa hadhara.
 
Hata Isack Newton alipopewa Ubunge hakuwahi kuongea Bungen zaid ya kumuomba Jiran yake afunge dirisha kuna baridi kali nje

Mie kwangu huo ndio uthibitisho kuwa alikuwa na akili kubwa
Na wakat anamwambia jirani yake afunge dirisha alikuwa anafanya verification if air resistance is an effect to periodic time of a pendulum clock
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…