Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Mkuu mwaka huu Hakuna msanii Africa amekuwa na mafanikio makubwa kwa hitsong kwenye label za muziki wa dunia Kama Burna.. Label ya billboard jamaa mwaka huu katishaHit nyingi kuliko Wiz na Davido?? Hapa umeongopa Hao viumbe viwili wana kete nyingi mno kaliii
Acha uswahili wewe..Sijui burna boy,wizkid au davido hao viumbe wakali lakini hawamfikii mfalme chibu dangote
Unataka zipi?
Nilivoona hizo alizotaja nikasimama kumuwekea evidenceNyimbo za lini hizo?
Kumbe unamjua yes kama mjamaica. Ukitaka Afrika isimame .
Patoranking ft Sean Paul
Daaaaaah.
Mentality za kibongo bongo unazi apply kwenye sehemu isiyo sahihi. Wa nigeria wanapenda kuhakikisha kunakuwa na wasanii wakubwa wengi kadri inavyowezakana na sio kuwashindanisha huyu na huyu.Ni juzi tu ametoka kuorodheshwa katika tuzo za Grammys 2020 akiwa na album yake ya AfricanGiant.
Kwa sasa anafanya vizuri sana. Namzungumzia Burna Boy kutokea pande za Nigeria. Ngoma zake zinaenda sana.
Je Burna Boy ni zaidi ya Wizkid na Davido kwa sasa? Au tusubiri.
Hahahaha Mkuu Wiz kwenye mafanikio Burna Anasubiri saaaana. Mafanikio yake kimataifa ndio kwanza Afrika Giant imekuwa nomination.Mkuu mwaka huu Hakuna msanii Africa amekuwa na mafanikio makubwa kwa hitsong kwenye label za muziki wa dunia Kama Burna.. Label ya billboard jamaa mwaka huu katisha
Naomba uwege evidence za achievement za Davido na Wizkid na Mimi nikuwekee kwa upande wa halafu tulinganishe hapa.
Lini?Na amechukua tuzo ya Grammy,,, barna boy namba nyingine,,
Team Diamond tupo humu unataka kuleta mada.
ManYe ye yeye yeyeyeye yeyeye.....yeeeeyee yeye...yeyeyeyeye..yeye
bongo pasua kichwaMentality za kibongo bongo unazi apply kwenye sehemu isiyo sahihi. Wa nigeria wanapenda kuhakikisha kunakuwa na wasanii wakubwa wengi kadri inavyowezakana na sio kuwashindanisha huyu na huyu.
Wabongo wanaamini kumshusha X na kumpandisha G.
Kwahiyo mkuu unafuatilia muziki na huijui Fall ya Davido??Nyimbo za lini hizo?
Wasanii wa WestAfrica mkuu wanakubalika sana. Coz wanatazamwa sana. Hii inaweza kuwa sababuMond kwa burna unamuonea asee tuache utimu
Ukitaka jua nani ana influence kubwa watangaze show uko duniani utaelewa Mond kua na followerz wengi juu ya jamaa au subscriber wengi Youtube kuliko msanii yoyote africa sio kigezo muache OLUWA BURNA anakiwasha sana asee kwa live show zake
Umemaliza nikushushie na takataka za BurnaBoy ... Hivi unajua Burna huwa anamuandikia msanii mkubwa America ??Hahahaha Mkuu Wiz kwenye mafanikio Burna Anasubiri saaaana. Mafanikio yake kimataifa ndio kwanza Afrika Giant imekuwa nomination.
Mtu aliechukua tuzo ya uwandishi marekani ASCAP AWARD. alihusika na Production ya One Dance ile ngoma ya Drake ft Kyla&Wiz
Si juzi tu Brown Skin Girl imechukua tuzo au hujui?
Hahaha Wiz na Davido tuwaache kwanza.Kwahiyo mkuu unafuatilia muziki na huijui Fall ya Davido??
Namkubali Burna Boy lakini hajaweza kutengeneza hitsong iliyoizidi fall..Hii ngoma imeingia hadi kwenye chat za Billboard top airplays.na hii ni chati ya muziki wa dunia sio wa uswekeni
Na amechukua tuzo ya Grammy,,, barna boy namba nyingine,,
Ishu sio tuzo..ishu ni tuzo gani?Hahahaha Mkuu Wiz kwenye mafanikio Burna Anasubiri saaaana. Mafanikio yake kimataifa ndio kwanza Afrika Giant imekuwa nomination.
Mtu aliechukua tuzo ya uwandishi marekani ASCAP AWARD. alihusika na Production ya One Dance ile ngoma ya Drake ft Kyla&Wiz
Si juzi tu Brown Skin Girl imechukua tuzo au hujui?
Uzalendo kwanzaSijui burna boy,wizkid au davido hao viumbe wakali lakini hawamfikii mfalme chibu dangote