Xavi Hernandez Alcantara
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 278
- 285
- Thread starter
-
- #121
So Drake msanii Mdogo Duniani??? Lkn One Dance ikaandaliwa na Wiz ntajie msanii anaeweza kumsumbua Drake ukimtoa Chris Brown???Umemaliza nikushushie na takataka za BurnaBoy ... Hivi unajua Burna huwa anamuandikia msanii mkubwa America ??
Don't take Burna So Cheap As You Think.
Kuwa na Heshima Mkuu.
BurnaBoy nimemfahamu kwenye nyimbo ya kainama ya Harmonize
Kwahiyo mkuu unafuatilia muziki na huijui Fall ya Davido??
Namkubali Burna Boy lakini hajaweza kutengeneza hitsong iliyoizidi fall..Hii ngoma imeingia hadi kwenye chat za Billboard top airplays.na hii ni chati ya muziki wa dunia sio wa uswekeni
chris Brown aliwahi kuandika kwenye IG yake I don need award to be A king.Ishu sio tuzo..ishu ni tuzo gani
Yaani ni sawa sawa na tuzo sijui za Afrimma..yaani ni tuzo za uswekeni hazina maana
Grammy ni ishu nyingine..kina Chriss Brown wanazililiaga hizi,sio mchezo
Hii Blow my mind ya Davido kwani ya Lini? Na Anaachia Album Soon.Tunaongelea kwa sasa mkuu 2018/2019
Mkuu acha kuhamisha magoli .. Hapa mada ni Burnabboy evern thread's tittle speaks out...So Drake msanii Mdogo Duniani??? Lkn One Dance ikaandaliwa na Wiz ntajie msanii anaeweza kumsumbua Drake ukimtoa Chris Brown???
Starboy Tani Kumi.
wapi wewe acha kupamba mavi mauaHahaha sam wa ukweli n sawa na best naso
Burna ni next level asee usilinganishe ata na kina Mond au kiba
drake anaimba Pop?Mkuu acha kuhamisha magoli .. Hapa mada ni Burnabboy evern thread's tittle speaks out...
Huko kwa wakina Drake na Brown kafungue Uzi mwingine tukuoneshe wasanii tunaowapenda wa rock na pop ambao Huyo Drake hagusi hata robo ...
Wapi nimesema anaimba Pop?? Ukiniquote sehemu nimesema ulichokisema nitaomba Mods wanipige Life Ban.drake anaimba Pop?
My nigga die for nothingYe ye yeye yeyeyeye yeyeye.....yeeeeyee yeye...yeyeyeyeye..yeye
Sio ww?Wapi nimesema anaimba Pop?? Ukiniquote sehemu nimesema ulichokisema nitaomba Mods wanipige Life Ban.
Acha kuhamisha magoli.
huvumi ila umo mama akeeeZaidi ya Wizkid ..hapana.
Hii Blow my mind ya Davido kwani ya Lini? Na Anaachia Album Soon.
Wizkidayo anakuja na Album ya Made in lagos.
Ngoja kwanza nisikilize hii JORO
Ukimaliza sikiliza "Ghetto Love" maliza na ile collabo olamide Totori....star boy alivyoua chorus!Hii Blow my mind ya Davido kwani ya Lini? Na Anaachia Album Soon.
Wizkidayo anakuja na Album ya Made in lagos.
Ngoja kwanza nisikilize hii JORO
Nadhan wanigeria music ni nature Yao .Brother kwa era hii burna ni habari nyingine asee ivi unajua wiki kama mbili zilizo pita kaweka rekodi yake ya kujaza Arena uko Uingereza?
Mafanikio ya msanii sio kwenye viewz , followerz na skendo, fatilia historia ya burnaboy jamaa alikuepo kitambo tu sema hakuwai wika kiivyo nliwai soma documentary flan wanasema jamaa alianza imba ana 10 yrz na 19 yrz alikua ana endesha Range uyu jamaa ana management ya kipekee kwanza Mama yake ndio msimamizi wa kazi zake na show kwa ujumla, wanakwambia ata matumizi ya simu kwa jamaa wanacontrol na Management na simu yake wamemuachia whatsapp tu Angalia katika account ya Jamaa vitu anavyo post kama sio show na picha za akiwa anatumbuiza au yuko katika harakati za kwenda tumbuiza , kwangu Mimi burna ni Mkali sana kuliko ata ao kina Davido wanao tumia nguvu nyingi kupambana just imagine jamaa kaja na style yake na kapenya simple tu
Chorus Killer StarBoy..Ukimaliza sikiliza "Ghetto Love" maliza na collabo yake na olamide Totori....star boy alivyoua chorus!
Well Said Coz wakiisha kina Wiz,Davido,Burna nk.Nadhan wanigeria music ni nature Yao .
Wasanii hawataisha kamwe
So disgustingSio ww?
wapi wewe acha kupamba mavi maua
Noma ilo dude....wiz kid sio level za uyo mwamba....Malizia na dj xclusive ft wiz kidChorus Killer StarBoy..
Acha kabisa alafu Olamide akawa anafloor tu.
Sikiliza moja ya zama Don Cry Radio&Wesel ft Wizkid hatareee