nimekutana na hili dude aisee nilikuwa sijui kama ni huyu jamaa ingawa nilikuwa nauelewa
Kila mtu ana radha zake. Simuelewagi, tuDah..We jamaa Wiz huyu huyu wa Nigeria au? Kasklize OJUELEGBA
Nadhani umeniquote vibayaUtakuwa umemjua Burna boy Leo wewe... Jamaa huko UK kaanza kitambo zaidi ya Huyo Wizkid ... Kaisikilize Album yake ya African Giant Ni Moto...
Kwa taarifa yako Jamaa mwaka 2019 kaumaliza hivi ...
Nakukumbusha tu jamaa Hana mambo ya Kick kupush mziki wake Licha ya kuwa anatoka na demu mkali Steflon Den
Acha niendelee kusikiliza Goma lake Jipya Yuko na Eddy Sheran amelidondosha Jion Hii. View attachment 1268509
Hahaha...BroHuyo mwamba mwimbo wake wa 'on the low' popote utakapopigwa lazima nipoteze concentration ya jambo nililokuwa nalifanya,jamaa anajua mno.
Ila Starboy,ni mtu mwingine kabisa,hakuna cha Davido wala tiwa and the likes
Sawa Unamuelewaga nani huku Afrika?Kila mtu ana radha zake. Simuelewagi, tu
Umechelewa mzeenimekutana na hili dude aisee nilikuwa sijui kama ni huyu jamaa ingawa nilikuwa nauelewa
Mi namuelewaga Timaya kuliko wote haoHahaha mkuu unanipa wakati mgumu Sana ... Umetaja kichwa ambacho huwa nakikubali Sana ...moja ya vichwa ambavyo Africa kmebarikiwa Ni Patoranking....
Patoranking na StoneBway ni tunu ambayo tumebarikiwa Africa kwenye Raga & Dancehall.
Jah'Bless Up
Hizo ngoma kama unazama club lazima uzijueWengi mnacheza nyimbo zake Sana kama gbona na on the low lakin hamjui muimbaji
billboard na ndo mwafrika wa kwanzaYah ndo maana nimesema unirekebishe Kama nimekosea...!ok....Nimekumbuka aliingia kupitia views......Na come closer iliingia kwenye nomination gani kubwa...?
"JORO" isilikize mkuu au "LOVE GHETTO" utapenda mkuuHonestly WIZKID sijawahi kumuelewa katika ngoma akiwa peke yake, kama akishirikishwa labda.
Fact DIAMOND ni moto mwingineSijui burna boy,wizkid au davido hao viumbe wakali lakini hawamfikii mfalme chibu dangote
Acha ujinga,labda umlinganishe na kiba100,but MONDI NI SAYARI NYINGINE ILE WEWE.Hahaha sam wa ukweli n sawa na best naso
Burna ni next level asee usilinganishe ata na kina Mond au kiba
Sasa hao followers na subscribers si wanatoka uko uko duniani,kama anauwezo amzidi mondi hivyo vitu viwili,(DIAMOND>BURNABOY).Mond kwa burna unamuonea asee tuache utimu
Ukitaka jua nani ana influence kubwa watangaze show uko duniani utaelewa Mond kua na followerz wengi juu ya jamaa au subscriber wengi Youtube kuliko msanii yoyote africa sio kigezo muache OLUWA BURNA anakiwasha sana asee kwa live show zake
Sasa hao followers na subscribers si wanatoka uko uko duniani,kama anauwezo amzidi mondi hivyo vitu viwili,(DIAMOND>BURNABOY).