Tumegoma kuelewa somo.Hawa wanawake ni kama hawaelewi kitu. Kadri wanavyosemwa ndio wanazidi
HahahaHawa wanawake ni kama hawaelewi kitu. Kadri wanavyosemwa ndio wanazidi
Kapigwaga na vitu vizito vizito, uliza...Kobe kafanyaje mbona mpaka anafariki alikuwa anaishi vyema na mke wake?
😄Huyu jamaa kwa maoni yangu is overrated....sijui anaimba nini hata.
Hii ni kwa wale waliofunga ndoa na kuja kutalikiana..Bora afrika unatoa pesa papo Kwa hapo, afrika hata unaweza kuhonga mahakama wakapindisha sheria, ukasalimika na Mali zako lakini ulaya hazichukuliwi pesa tu Hadi majumba na mengine mengi mnagawana, kina Eboue walikuwa wakilipwa mapesa Arsenal Sasa hivi Kawa msela mavi wa mburahati