Ishi kimkakati,Hahaha yaani unapigwa mpaka basi. Usiposhituka unaishia kuilalamilia serikali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishi kimkakati,Hahaha yaani unapigwa mpaka basi. Usiposhituka unaishia kuilalamilia serikali
Hahaha.....siku hiyo hiyo unapewa Gharama kodi za nyumba, pesa ya kusuka, Gesi imeisha, Mchele umeisha, sina mafuta ya kupikia, simu imedondokea kwenye maji.." Dating a Tanzania Girl is like adopting an Orphan"......✍️
Labda atakuwa kaitoa! Nairaland forum's -Nigeria. (Jamii forum's ya Nigeria).Kipi chanzo cha taarifa yako mkuu ?
Unageuzwa asasi za kiraia( NGO)Hahaha.....siku hiyo hiyo unapewa Gharama kodi za nyumba, pesa ya kusuka, Gesi imeisha, Mchele umeisha, sina mafuta ya kupikia, simu imedondokea kwenye maji
BASI ATONGOZWE YEYE NA WANAUME ILI WAMPE WAO...." Dating a nigerian Girl is like adopting an Orphan"......
Burna Body amewachana Dada zake ndani na nje Nchi ya Nigeria kwa kuwaita wanahendekeza sana njaa na umaskini.
Nyota huyo wa Mziki wa Kizazi kipya amesema pamoja na kwamba Wananwake wa Nje wanamuumiza kihisia bado anaona ni nafuu kwa kuwa hawampi presha.
Amsema wanawake wa kizungu hawataki pesa hawahitaji sana zawadi, wanapenda mapenzi na muda wako tu.
Mtaalam huyo wa Afrobeats amewashauri wanawake wa kiafrika na Nigeria kujifunza kujihudumia wao kwa pesa zao wenyewe na sio kuwa tegemezi kama Walemavu au Watoto yatima.
😅😅😅Kwani yeye mama yake mzungu
Orphan foundation Relief FundUnageuzwa asasi za kiraia( NGO)
Ngozi nyeusi lakiniTena kadri maisha yanavyozidi kuwa ya kibepari ndiyo kupenda mserereko unaongeza.....Marekani kuna ma -gold diggers wa kutupwa.
Mnazionea hizi ngoziNgozi nyeusi lakini
Tatizo sio wanawake , tatizo lipo kwa wanaume Kuna wezenu bado somo halijawakaa wakiombwa hawana hiyana unategemea nini?Hawa wanawake ni kama hawaelewi kitu. Kadri wanavyosemwa ndio wanazidi
Cobe Bryant wa basket ballHivi wanawake anaowakubali ndio kama wale wanaowafilisi kina Tyrese Darnell Gibson, Ken Rathbun, Adrian Peterson, Elon Musk &Grimes, Deion Sanders, John Depp na Michael Jackson bila kumsahau Donald Trump vs Stormy Daniels kwa makesi ya watoto na mshiko!!!
Maneno ya mkosaji, hana demu wa hadhi yake naija, hakuna demu anamtaka, labda strippersHao wa mbele mbona ni gharama zaidii
Mbona kama umeongea kwa hisia sana?Ndugu???!! Kasema nigerian girls wewe unasambaza habari ni africa nzima jamani
Kobe kafanyaje mbona mpaka anafariki alikuwa anaishi vyema na mke wake?Cobe Bryant wa basket ball