Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
🤦Hahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤦Hahaha
Wewe kipenzi changu haumo maana nikikupa njegere Tu unaridhika , miaka 7 yote unavumilia , wewe haupo hukoTumekukosea nini mkuu?
Umedanganya aisee,mi ni mwafrika pure🥴Wewe kipenzi changu haumo maana nikikupa njegere Tu unaridhika , miaka 7 yote unavumilia , wewe haupo huko
Uzuri hua uanadai juice Tu , ngoja Nije uyole kama burns boy hatokataa maneno yakeUmedanganya aisee,mi ni mwafrika pure🥴
🤣🤣🤣Nimehama uyole mkuu...nipo busokelo ndani...utanyooka kunipataUzuri hua uanadai juice Tu , ngoja Nije uyole kama burns boy hatokataa maneno yake
DuuhAfrica tunamtambua konde boy huyo Burna didy hatumjui
Nakuja Ruangwa , kituo cha kwanza mwanitu, halafu nakuja huko nikute cocoa na mbaazi🤣🤣🤣Nimehama uyole mkuu...nipo busokelo ndani...utanyooka kunipata
Diddy kaharibu sana vijana wetuMwongo anajitetea,
Hahaha.....jamaa kapiga wale maaarufu tu wenye helaDiddy kaharibu sana vijana wetu
Mwanaume wa Kitanzania na Afrika ni mgodi unaotembea...." Dating a nigerian Girl is like adopting an Orphan"......
Burna Body amewachana Dada zake ndani na nje Nchi ya Nigeria kwa kuwaita wanahendekeza sana njaa na umaskini.
Nyota huyo wa Mziki wa Kizazi kipya amesema pamoja na kwamba Wananwake wa Nje wanamuumiza kihisia bado anaona ni nafuu kwa kuwa hawampi presha.
Amsema wanawake wa kizungu hawataki pesa hawahitaji sana zawadi, wanapenda mapenzi na muda wako tu.
Mtaalam huyo wa Afrobeats amewashauri wanawake wa kiafrika na Nigeria kujifunza kujihudumia wao kwa pesa zao wenyewe na sio kuwa tegemezi kama Walemavu au Watoto yatima.
Didy did itInavyosemekana mwana kaleft group,
Kuna clip moja nimeona yupo jukwaani anatembea kama wakina Agrey
Hahaha yaani unapigwa mpaka basi. Usiposhituka unaishia kuilalamilia serikaliMwanaume wa Kitanzania na Afrika ni mgodi unaotembea
Nimeiona jamaa anarisha mikono kama MwanahawaInavyosemekana mwana kaleft group,
Kuna clip moja nimeona yupo jukwaani anatembea kama wakina Agrey😁
Wale wanachangia gharama za maisha labda we mwenyewe ujifanye kidumeHao wa mbele mbona ni gharama zaidii