Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #21
Mmoja ana leseni mwingine ni mwizi wa TRANi sawa na Taxi na taxi babu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmoja ana leseni mwingine ni mwizi wa TRANi sawa na Taxi na taxi babu.
Nani aliwapa mamlaka ya kuiita Afrobeat....Na ndipo wanapotupigia hapa hawa Wanigeria. Mtu yeyote akiskia Afrobeat anadhani inawakilisha Bara Zima la Africa.afrobeats
Hilmy? ndo nani huyoAmeshakuwa nao wengi.......unamkumbuka yule jamaa wa Morocco Hilmy?
Sisi tuendelee na Yanga na simba ndio mwisho wetuNani aliwapa mamlaka ya kuiita Afrobeat....Na ndipo wanapotupigia hapa hawa Wanigeria. Mtu yeyote akiskia Afrobeat anadhani inawakilisha Bara Zima la Africa.
Personally, Simsikilizi huyu jamaa zamani Wizkid, Square walikuwa wanaimba unasikiliza nyimbo kweli....Sasa kupitia huyu jamaa manageria karibu wote wana-mumble kwenye beats tu.
Sijui HakimHilmy? ndo nani huyo
He is correctWhere is the lie?
, mwanamke ni kiumbe dhaifu alitolewa kwenye ubavu wako sasa kivipi uje uangalie Tv??? Labda kwa pididi babu😂😂😂
Ahaaa hapo sawaSijui Hakim
masuala ya muziki yapo kimtazamo sanaNani aliwapa mamlaka ya kuiita Afrobeat....Na ndipo wanapotupigia hapa hawa Wanigeria. Mtu yeyote akiskia Afrobeat anadhani inawakilisha Bara Zima la Africa.
Personally, Simsikilizi huyu jamaa zamani Wizkid, Square walikuwa wanaimba unasikiliza nyimbo kweli....Sasa kupitia huyu jamaa manageria karibu wote wana-mumble kwenye beats tu.
Bila shaka ujumbe utafikaAongeze sauti kidogo ya hao wanawake wa kiafrika wasikie vizuri
Kabisa...... Ila muda mwingi tunasikiliza tunachoonyeshwa muda mwingi. Wimbo ukipigwa saana redioni tutake tusitake tutausikiliza tu.masuala ya muziki yapo kimtazamo sana
HahahaKwanza anaweza kutongoza kweli?
Si walishampididi
Tumekukosea nini mkuu?Aongeze sauti kidogo ya hao wanawake wa kiafrika wasikie vizuri
Mwongo anajitetea,Ngoja akaoe ughaibuni wakampukutishe kwanza.
Maana wale wakiona hela nyingi wanazikwapua kisheria kabisa kupitia talaka
Kwani tabia za kijinga jinga walizonazo wasichana waafrika wa Kinigeria zina tofauti gani na tabia za wasichana wakiafrika wa hapa Bongo?Ndugu???!! Kasema nigerian girls wewe unasambaza habari ni africa nzima jamani