Fanton Mahal
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 1,597
- 4,661
Wenye nazo wanalia na sie tusio na kitu kichapo pale pale..wanawake mtuonee huruma aiseeNi vilio Kila Kona 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye nazo wanalia na sie tusio na kitu kichapo pale pale..wanawake mtuonee huruma aiseeNi vilio Kila Kona 🐒
Siwezi kutongoza mwanamke wa kiafrika...." Dating a nigerian Girl is like adopting an Orphan"......
Burna Body amewachana Dada zake ndani na nje Nchi ya Nigeria kwa kuwaita wanahendekeza sana njaa na umaskini.
Nyota huyo wa Mziki wa Kizazi kipya amesema pamoja na kwamba Wananwake wa Nje wanamuumiza kihisia bado anaona ni nafuu kwa kuwa hawampi presha.
Amsema wanawake wa kizungu hawataki pesa hawahitaji sana zawadi, wanapenda mapenzi na muda wako tu.
Mtaalam huyo wa Afrobeats amewashauri wanawake wa kiafrika na Nigeria kujifunza kujihudumia wao kwa pesa zao wenyewe na sio kuwa tegemezi kama Walemavu au Watoto yatima.
Nimeshangaa upotoshaji uliofanyika na mkalimaniMbona kama umeongea kwa hisia sana?
Burna Boy ni kama hana hii habariNgoja akaoe ughaibuni wakampukutishe kwanza.
Maana wale wakiona hela nyingi wanazikwapua kisheria kabisa kupitia talaka
Huyu katoka banda la gongo anatuletea habari kama sisi mazwazwa kama hujui kitu better kuwa msomaji na msikilizajiHilmy? ndo nani huyo
Wanawake wakiswahili wamelaaniwa
Na vikao huwa hashirikiBurna Boy ni kama hana hii habari
Mkishafika baada ya kukupa matatizo miezi miwili unamtatulia hyo siku mkifika lodge anaanza nahisi njaa nimeondoka hata sijakula wananiboaga halafu usikie baby lile jambo vp huo ni mzinga wa kuondokea hapo tv ipo qkwa fundi dah ndo hv hatuwez wakosa maana ndo mpo karibu yetu bt lait tungekua mchanganyiko sawa kwa sawa kama Madagascar vile dah African bantu hata salamu nisingezitaka
walishakula jicho
Kweli kabisaHuyu katoka banda la gongo anatuletea habari kama sisi mazwazwa kama hujui kitu better kuwa msomaji na msikilizaji
HAhahaNaomba pdidy amzuie mke wake anaropoka sana
Kwa hiyp uliliwa tu na mwondoko unabadilika?walishakula jicho
Burns boy Hadi Leo hataki mtoto so technically wanamemtoa Linda kitamboKwa hiyp uliliwa tu na mwondoko unabadilika?
Linda na mtoto vinahusiana?Burns boy Hadi Leo hataki mtoto so technically wanamemtoa Linda kitambo