Burna Boy: Siwezi kutongoza Mwanamke wa Kiafrika, wananjaa sana, wanamtazama Mwanaume kama begi la hela

Burna Boy: Siwezi kutongoza Mwanamke wa Kiafrika, wananjaa sana, wanamtazama Mwanaume kama begi la hela

...." Dating a nigerian Girl is like adopting an Orphan"......

Burna Body amewachana Dada zake ndani na nje Nchi ya Nigeria kwa kuwaita wanahendekeza sana njaa na umaskini.

Nyota huyo wa Mziki wa Kizazi kipya amesema pamoja na kwamba Wananwake wa Nje wanamuumiza kihisia bado anaona ni nafuu kwa kuwa hawampi presha.

Amsema wanawake wa kizungu hawataki pesa hawahitaji sana zawadi, wanapenda mapenzi na muda wako tu.


Mtaalam huyo wa Afrobeats amewashauri wanawake wa kiafrika na Nigeria kujifunza kujihudumia wao kwa pesa zao wenyewe na sio kuwa tegemezi kama Walemavu au Watoto yatima.
Siwezi kutongoza mwanamke wa kiafrika

 
Alishawahi kudate na Steff London,Steff akasema Burna boy show ya kitandani ni mdhaifu Sana.

Steff akapiga chini
 
Mkishafika baada ya kukupa matatizo miezi miwili unamtatulia hyo siku mkifika lodge anaanza nahisi njaa nimeondoka hata sijakula wananiboaga halafu usikie baby lile jambo vp huo ni mzinga wa kuondokea hapo tv ipo qkwa fundi dah ndo hv hatuwez wakosa maana ndo mpo karibu yetu bt lait tungekua mchanganyiko sawa kwa sawa kama Madagascar vile dah African bantu hata salamu nisingezitaka
Wanawake wakiswahili wamelaaniwa
 
Mkishafika baada ya kukupa matatizo miezi miwili unamtatulia hyo siku mkifika lodge anaanza nahisi njaa nimeondoka hata sijakula wananiboaga halafu usikie baby lile jambo vp huo ni mzinga wa kuondokea hapo tv ipo qkwa fundi dah ndo hv hatuwez wakosa maana ndo mpo karibu yetu bt lait tungekua mchanganyiko sawa kwa sawa kama Madagascar vile dah African bantu hata salamu nisingezitaka


We nae acha kuokota okota wanawake wa hovyo

Ndo maana unapata mikosi haufanikiwi kimaisha
 
Back
Top Bottom