greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Tena ni mbunge mmoja kwa huruma.Nyie sio watu Ata Tundu Lissu mli mdanganya hivi hivi kuwa mtampa kura za ushindi, mwisho wa siku akaambulia mbunge mmoja, nyie ni kama NZI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena ni mbunge mmoja kwa huruma.Nyie sio watu Ata Tundu Lissu mli mdanganya hivi hivi kuwa mtampa kura za ushindi, mwisho wa siku akaambulia mbunge mmoja, nyie ni kama NZI
Ndio maana mnabaki kuwa wasindikizajiWe hate the game and the player
Sasa kwani wanaomba kazi ya upolisi? Hebu acheni kuchanganya mambo!
Kulikuwa na demokrasia ya kweli?Au unajibaraguza?Ingekua kura zenu zinaleta ushindi msingeshindwa uchaguzi mkuu kila awamu
Kulikuwa na demokrasia ya kweli?Au unajibaraguza?
Vema ukarudia ulichoandika awali.Lini mlikubali uwepo wa demokrasia ya kweli
Ingekua kura zenu zinaleta ushindi msingeshindwa uchaguzi mkuu kila awamu
Vema ukarudia ulichoandika awali.
Kuona kitu kimekurupukiwa kipo kwenye mawazo na tafsiri ya msomaji.Hulazimishwi kukubali.Ila kuna kukubali kukubaliana au kutokukubaliana.Hasira za alfajiri zina tafsiri nyingi.Ni vyema ukaacha kukurupuka kujibu kila post uionayo
Kuona kitu kimekurupukiwa kipo kwenye mawazo na tafsiri ya msomaji.Hulazimishwi kukubali.Ila kuna kukubali kukubaliana au kutokukubaliana.Hasira za alfajiri zina tafsiri nyingi.
😂😂😂😂😂Nimekubali ingawa nani anasomeka kujinunisha.Kumbe una hasira pole alfajiri tu ushakasirika aisee wakurya mna kazi mno
😂😂😂😂😂Nimekubali ingawa nani anasomeka kujinunisha.
Nimetulizwa na wifi yako saafii.Mihasira yote nimeiacha "Chabakari"!🤣🤣🤣🤣Angalia usiue katoto ka miezi sita kisa kanajinunisha hamchelewi nyie
Nimetulizwa na wifi yako saafii.Mihasira yote nimeiacha "Chabakari"!🤣🤣🤣🤣
Kaenda kununua nyanya.Kwa hiyo siruhusiwi kuteta na jamaa?😂😂😂imagination wifi. wenye wake zao muda huu wapo busy na blanket linalopumua
Kaenda kununua nyanya.Kwa hiyo siruhusiwi kuteta na jamaa?😂😂😂
Nimewahi kuibiwa hadi akili na wala sikusikitika.Aliyeniibia nikamuangalia kwa dharau anavyokimbia nikifurahi kwamba anaenda kunisaidia kuyatafakari ya ulimwengu.😂😂😂😂duh mnawanga hata chimboni hawajafungua unaibiwa