ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Usisahau kumwambia mgawane hizo shanga siku Burnaboy akishindaUnistue na mimi nimuongeze doti mbili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau kumwambia mgawane hizo shanga siku Burnaboy akishindaUnistue na mimi nimuongeze doti mbili
hahah tayari umeshapanicSawa na wewe akishinda Burnaboy jiandae nitakununulia shanga
Kwa lipi tena, ahadi ulipwa kwa ahadi, wewe umejitolea Kanga, Nami kwa uungwana nimejitolea shangahahah tayari umeshapanic
hahah punguza jazba.Kwa lipi tena, ahadi ulipwa kwa ahadi, wewe umejitolea Kanga, Nami kwa uungwana nimejitolea shanga
Si mzembe, kipaji anacho ila anazubazubaa
Anti, umetufanya tukose mtu wa kutembea umbali mrefu.Kura ya Polepole inamtosha Diamond
Tutakuja kuzungumza baada ya tuzo, kuwa mpoleeeeh.Endelea kukariri tuzo ni Mali ya Diamond Platnum , hakuna wa kumzuia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakna maajabu mbna.Toka umeanza kutoa pole zimefika 1000, lakini spana ziko pale pale
[emoji23][emoji23][emoji23] wee ndo unahara, huyo domokaya hawezi kushinda hiyo Tuzo, japo naweza hata nisipige kura kwa yeyote. RelaaaaaaxMbona unapayuka utazani umekunywa maji ya chooni, wewe na roho mbaya yako ndio unaona hivyo ila kwenye BET Mondi anaweza kuchukua kwani yote yanawezekana.
So hujashikiwa bunduki ukitaka acha kupiga kura, kwani still bado probability ya kushinda hiyo tuzo anayo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haya akishinda Diamond nitakununulia kanga doti 20.
Akishinda naona mtakata rufaa, ila kama ipo ipo tu.[emoji23][emoji23][emoji23] wee ndo unahara, huyo domokaya hawezi kushinda hiyo Tuzo, japo naweza hata nisipige kura kwa yeyote. Relaaaaaax
Wacha tuone bas.Akishinda naona mtakata rufaa, ila kama ipo ipo tu.
Mbona mnapenda kusemea mioyo yenu kupitia wengine? narudia humu hakuna wa kunipandisha jazba, kauli mbiu ni ile ile mwaga mboga ni mwage ugali, nashangaa unalialiahahah punguza jazba.
Tutakuja kuzungumza baada ya tuzo, kuwa mpoleeeeh.
Sisi uhakika 100% wewe kama hauna uhakika, kaa pembeni tupisheTutakuja kuzungumza baada ya tuzo, kuwa mpoleeeeh.
Maajabu alishafanya Yesu, hapa ni kazi tuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakna maajabu mbna.
relax acha hasira.Mbona mnapenda kusemea mioyo yenu kupitia wengine? narudia humu hakuna wa kunipandisha jazba, kauli mbiu ni ile ile mwaga mboga ni mwage ugali, nashangaa unalialia
Endelea kuusemea moyo wako, mbona inaelewekarelax acha hasira.