Burnaboy anastahili kupata tuzo la BET, alisimama na Wananchi kupinga uonevu wa Serikali na Polisi

Burnaboy anastahili kupata tuzo la BET, alisimama na Wananchi kupinga uonevu wa Serikali na Polisi

Umenena mkuu.Haswaa,hatutaki ujinga tuna akili zetu na kuelewa.
Nakumbuka lile tamasha kigoma yani hata kampeni hazijaanza za 2020 et usikuuuu domo akapigiwa simu na ile taharuki iliyofukiwa wakaongeaaaa.Halafu domo akasema "baba ww ni tano tenaaa hakuna wa kupinga"

Mwenye clip atuwekee hapa.

Hamna cha kupiga kura wala nini! Tunampigia burnaboy
Watu wamechafukwa huku lol.
 
Mshindi awe domokaya? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi nyie wafuasi wa domo ile sio tuzo ya Killi? Khaaaah
Unafikiri Kawa nominated pale kwa kelele zenu? Sifa zake ndio zimemuweka pale na hii tuzo anashinda
 
Kwa vyovyote vile African Giant lazima ashinde, yani hata kama wapiga kura wangekua wawili tu yani burnboi na naseeb tu, Obviously angeshinda Burnboi maana Naseeb mwenyewe angempa kura yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umetisha sanaaaaah.
 
Acha kulazimisha watu, mmechafukwa nyie ambao hamko kokote kwenye hizo tuzo, bendera Fata upepo
Mbona wee unalazimisha pia kuwa watu hawajachafukwa? Badala ukampigie kura domokaya wako, wee kutwa kujibishana na sie, poleeeeh San kunywa maji engi na u relaaaax, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona wee unalazimisha pia kuwa watu hawajachafukwa? Badala ukampigie kura domokaya wako, wee kutwa kujibishana na sie, poleeeeh San kunywa maji engi na u relaaaax, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unataka Domo aje akujibu humu? sahau humu tutakujibu sisi, maana hatuwezi kuacha ujinga wenu usambae, utachezea sana spana
 
Tutajua anaewashwa tu, Africa nzima wapo 3 , kama unafikiri ile nafasi watu wanaokotwa jalalani, pole sanaaaa
Poleeeeeh weyeeeeh kwa kuteseka, sasa km unajua kua nominated tu ni hatua kubwa, si ukae kimya mbna una haha km vile chokoraa asiye na jalala, msieeeeeeeew. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa vyovyote vile African Giant lazima ashinde, yani hata kama wapiga kura wangekua wawili tu yani burnboi na naseeb tu, Obviously angeshinda Burnboi maana Naseeb mwenyewe angempa kura yake.
Acha mboyoyo wewe hii tuzo ya Diamond Platnum
 
Poleeeeeh weyeeeeh kwa kuteseka, sasa km unajua kua nominated tu ni hatua kubwa, si ukae kimya mbna una haha km vile chokoraa asiye na jalala, msieeeeeeeew. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama wewe unaangaika na Burna boy, kaa kwa kutulia na mimi nikiangaika na Diamond, hapa ni weka tuweke, popote tutamisaka wanaharakati fake na wafuasi wao misukule
 
Unataka Domo aje akujibu humu? sahau humu tutakujibu sisi, maana hatuwezi kuacha ujinga wenu usambae, utachezea sana spana
Nichezee spana kwako wee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asee unachekesha km sio kufurahisha, nilikua napambana na chawa wa domokaya humu tena waliovurugwa, lakini walinyoosha mikono wenyewe,
Ndo maan hata now huwaoni wakibweka wametulia tulii, wee si unapoteza muda wako tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nichezee spana kwako wee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asee unachekesha km sio kufurahisha, nilikua napambana na chawa wa domokaya humu tena waliovurugwa, lakini walinyoosha mikono wenyewe,
Ndo maan hata now huwaoni wakibweka wametulia tulii, wee si unapoteza muda wako tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi kama napoteza muda bila shaka wewe unapoteza mapapai, hapa umekutana na gogo la maarifa, utapigwa spana adi uchakae
 
Kama wewe unaangaika na Burna boy, kaa kwa kutulia na mimi nikiangaika na Diamond, hapa ni weka tuweke, popote tutamisaka wanaharakati fake na wafuasi wao misukule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na utaweweseka sana ndo kwanza game linaanza hata halftime bado, hahahah, sasa ilitakiwa na wee uanzishe campaign ya kumpigia kura domokaya wako, sio kuanza kubishana na sie humu khaaaaah.
 
Poleeeeeh weyeeeeh kwa kuteseka, sasa km unajua kua nominated tu ni hatua kubwa, si ukae kimya mbna una haha km vile chokoraa asiye na jalala, msieeeeeeeew. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unataka Nikae kimya, halafu uongee wewe peke yako ahahahahaha, hapa weka tuweke akai mtu kimya, lazima adabu utaipata mwaka huu
 
Mimi kama napoteza muda bila shaka wewe unapoteza mapapai, hapa umekutana na gogo la maarifa, utapigwa spana adi uchakae
Uzuri ni kwamba mie narelaaax, wee unaumia sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na utaweweseka sana ndo kwanza game linaanza hata halftime bado, hahahah, sasa ilitakiwa na wee uanzishe campaign ya kumpigia kura domokaya wako, sio kuanza kubishana na sie humu khaaaaah.
Kampeni ya nini hizo tuzo zote alizopata mimi nilianzisha kampeni? Mimi kazi yangu ni kupiga spana wanaharakati fake na misukule yao kama wewe, ndio kwanza napasha misuli moto tulia tulii
 
Back
Top Bottom