MBOKA NA NGAI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2025
- 350
- 576
- Thread starter
-
- #41
Tatizo lenu mnaelewaga kwa nyundo. Kiongozi mmoja alisema vita vile ni vya kikabila. Rais wa Burundi, alishajivua nguo na kujiunga na makundi yanayotaka kumaliza watutsi. Ana waasi wa kitutsi huko DRC. Wakishaungana na M23 unahisi nini? Na usiku huu, M23 italala Uvira. Na hao hao ndo walipo. Mengine jiongeze,hapo nimekudokeza tu.m23 walisema wao ni wakongo , sasa Burundi wanafuata nin?
mauaji hayo yalitokana na wao kuua maraisi wawili kwa mkupuo , wao pia ndo walifanya mauaji kwa wahutu ila wanajaribu kubadili storiRejea kipindi wakimbizi wa Burundi walipokimbilia Congo DRC kwa usalama wao kwa kupokelewa na wenzao(kabila lao) wazawa wa huko Congo DRC mashariki. Wameshakuwa tayari wametulia lakini ile Trauma ya mauaji ya kimbari; hilo zimwi halijawaacha (Ulipaji Kisasi).
Iwe iwavyo lakini jambo hilo la kuuana sio poa kabisa -halifai na wala hilo sio suluhisho bali kuongeza petroli kwenye moto.mauaji hayo yalitokana na wao kuua maraisi wawili kwa mkupuo , wao pia ndo walifanya mauaji kwa wahutu ila wanajaribu kubadili stori
kosa la nan ? watutsi wabeba kila lawama ukanda huu , sidhan kama wengine wote nj kabila moja na wao ndo kabila lililobakia ukanda huu wa afrika , kwann ni wao tu kuanzia Uganda , Rwanda , Burundi na DRC , kwao ndo kabila pekee kweny hz nchi ? ebu jiulize kwann mauaji ya kimbari utagundua chanzo ni wao , kwavile wabantu hawana akili bas hutunga vistori vya ajab ili kuhararisha ushetani wao , walipoua marais wenye asili ya kihutu walitegemea nin ? kupongezwa na wahutu ? je nan alikuwa mkorofi hapo ? mhutu au mtutsi ? na hiyo sio mara ya kwanza kuua marais wenye asili ya kihutu , pia wanatudanganya kuwa ni mauaji ya wahutu dhidi ya watutsi , je jeshi la kitutsu la RPF lilishindaj vita bila kuua wahutu wengi ? je hao wahutu walikimbia nin kwenda DRC kama sio kuhofia vifo vyaoTatizo lenu mnaelewaga kwa nyundo. Kiongozi mmoja alisema vita vile ni vya kikabila. Rais wa Burundi, alishajivua nguo na kujiunga na makundi yanayotaka kumaliza watutsi. Ana waasi wa kitutsi huko DRC. Wakishaungana na M23 unahisi nini? Na usiku huu, M23 italala Uvira. Na hao hao ndo walipo. Mengine jiongeze,hapo nimekudokeza tu.
anaeleta haya mambo nu Kagame na watutsi wenzie wachacheIwe iwavyo lakini jambo hilo la kuuana sio poa kabisa -halifai na wala hilo sio suluhisho bali kuongeza petroli kwenye moto.
Kata kichwa Kagame.., uone kama huu ujinga utaendeleaThis is Africa.
Ni vita, magonjwa, ujinga, umaskini na unafiki.
Hapana mkuu,kosa la nan ? watutsi wabeba kila lawama ukanda huu , sidhan kama wengine wote nj kabila moja na wao ndo kabila lililobakia ukanda huu wa afrika , kwann ni wao tu kuanzia Uganda , Rwanda , Burundi na DRC , kwao ndo kabila pekee kweny hz nchi ? ebu jiulize kwann mauaji ya kimbari utagundua chanzo ni wao , kwavile wabantu hawana akili bas hutunga vistori vya ajab ili kuhararisha ushetani wao , walipoua marais wenye asili ya kihutu walitegemea nin ? kupongezwa na wahutu ? je nan alikuwa mkorofi hapo ? mhutu au mtutsi ? na hiyo sio mara ya kwanza kuua marais wenye asili ya kihutu , pia wanatudanganya kuwa ni mauaji ya wahutu dhidi ya watutsi , je jeshi la kitutsu la RPF lilishindaj vita bila kuua wahutu wengi ? je hao wahutu walikimbia nin kwenda DRC kama sio kuhofia vifo vyao
Kumbe unazo habari za ovyo kiasi hicho! Usitetee ujinga. Ukweli upo na unajulikana.mauaji hayo yalitokana na wao kuua maraisi wawili kwa mkupuo , wao pia ndo walifanya mauaji kwa wahutu ila wanajaribu kubadili stori
Mara ya mwisho nilisikia mji mkuu umehamishwa toka burundi
Una mavi kichwaniBanyamurenge wanalao jambo bado kigoma na kagera.
🤣🤣🤣🤣🤣 Unaropoka ukiwa wapiiBanyamurenge
Katika mwamba hueleweki wewe 🤣🤣🤣🤣 leo uko m23 kesho uko majeshi ya Angola ghafla hatukajaa sawa uko ADF NALU leo uko kwa majeshi ya burundi we nae Yuda wewe🤣🤣Big up Raisi Ndayishimiye, Dug in hapo bondeni Rusizi mahandaki mazito layer after layer ya mahandaki zika na mines na anti tank mines fanya kama mpaka wa Korea kusini na kaskazini.
Lakini usiwaonee hao wakimbizi masikini unaowaweka bila chakula wala maji ya kunywa.
Unamtafuta muhali Max MeloM23 wananifurahisha sana.nawatakia ushindi mwema na wakimaliza wake na Tanzania kuwashughulikia Hawa ccm
This is Africa.
Ni vita, magonjwa, ujinga, umaskini na unafikia utekaji wa
Umesahau, utekaji wa wakosoaji, ubakaji vitani, uporaji wa rasilimaliThis is Africa.
Ni vita, magonjwa, ujinga, umaskini na unafiki.
Yawezekana ccm inaharibu mambo mengu. Lakini Kagame ni mwehu pamoja na wewe mtusi mwenzake. Bahima empire mnayoitanua inawezekana na sometimes yaweza kuwa ngumu kuchukua kila eneo mlilopanga kuteka.M23 wananifurahisha sana.nawatakia ushindi mwema na wakimaliza wake na Tanzania kuwashughulikia Hawa ccm
Mapandikizi watutsi wa Kagame wamo Tanzania na JF wa kumwaga. Utetezi, utii, upenzi, ushabiki na uaminifu wao kwa Rwanda na Kagame,, ni wa damu, maagizo, malipo na viapo. Wako kazini na wako tayari kwa lolote. Serikali inatakiwa kulitambua na kulifanyia kazi jambo hilo.Unamtafuta muhali Max Melo
Kama wewe sio Mtanzania well n' good lakini ni Mtanzania jaribu kuchunga hizi kauli.
East African Community ni kijiwe cha kunywea kahawa kisicho na impact yoyote.DRC iko vitani; Rwanda vitani, Uganda vitani, Burundi vitani! Maziwa makuu pamechafukwa sio siri tena. Nchi inatakiwa kuwa macho kweli kweli hamkani sio shwari.
Haya ngoja tuone jumiya yetu pendwa EAC itachukua hatua gani dhidi ya mtifuano huu. Otherwise, it is irrelevant.
Hahahaha,wakifika huko, nitataka kuona watanzania wa humu wataendelea kumsifu PK au la?Banyamurenge wanalao jambo bado kigoma na kagera.