Ungeanzisha timbwili yani umeshapanda unaanza kuwauliza choo kiko wapi..?Bus halikuwepo wakati nakata tiketi , lilikuja baadae muda wa kusafiri ulipokaribia
Wanajijua wenye hizo huduma . Wajirekebisha wataje huduma za kweli na sio kuongezea za uongo ambazo hazipo.Na mie leo najiunga na wa CHAI hii
Sababu haujataja Jina la kampuni na ukisafiri kutoka wapi kwenda wapi.
Unajua JF ipoje? 😉
Kwa nchi hii ya watawala Wagagagigikoko na wachumiatumbo. basi likishaandikwa "VIP BUS" ubavuni mwake, tayari linakuwa VIP mkuu. Nchi ya kipuuzi sana hii.Kuna bus moja huko kanda ya ziwa sitalitaja ila sipandi tena kutokana na kutuona abiria ni wajinga.
Baada ya kukuta kampuni niliyoizoea kujaa nikaenda kampuni nyingine nikaambiwa imebaki VIP na nikatajiwa nauli ambapo inaongezeka elfu 15 kutoka ile ya kawaida. Nikawauliza kuna huduma gani za ziada wakaniambia kuna choo, Azam TV, msosi na Internet basi nikaona hii nzuri, nikalipa .
Kufika muda wa kusafiri kuingia ndani nikaona seat ziko tu kama za kawaida, baada ya muda tukaunganishwa Wi-Fi speed ya kobe, hakuna cha choo wala nini na tukawa tunasimama kwenye kuchimba dawa mavyoo ya nje . Wakazidi kutuona abiria ni wajinga kwa kutugawia biskuti za sh.mia na pipi mbili.
Kwa nini msiwe wakweli yaani biskuti za sh mia, pipi na WiFi ndio mnaita bus VIP na kuongeza nauli?
Kuongezeka kwa elfu 15 sio kubwa sana lakini kwa nini muongope kwa kutaja huduma za uongo?
Abiria sio wajinga.
Yani Dar - Shy kwa bus ni laki na thelathini ngosha? mimi kama shirima nimehuzuniuka mnoNilipanda Sama, VIP mnatengewa viti vya mbele na mnapewa vijiblanketi kama kwenye ndege, chakula mnapewa viepe na kipaja. Halafu mnatenganishwa na mlango na wale wa nyuma. 130,000 Shinyanga
Na choo kwa ndaniVIP
2 x 2
Huduma:
Bites
Vinywaji
AC
TV
!!Na mie leo najiunga na wa CHAI hii
Sababu haujataja Jina la kampuni na ukisafiri kutoka wapi kwenda wapi.
Unajua JF ipoje? 😉
Ililipwa na Taasisi iliyoniita huko kuwafanyia kazi yao, nilitumiwa tu kwa simuYani Dar - Shy kwa bus ni laki na thelathini ngosha? mimi kama shirima nimehuzuniuka mno
😂🤣😂🤣🤣🤣🤣Kwa nchi hii ya watawala Wagagagigikoko na wachumiatumbo. basi likishaandikwa "VIP BUS" ubavuni mwake, tayari linakuwa VIP mkuu. Nchi ya kipuuzi sana hii.
Hapo sawa, ni pesa nyingi sana unaweza kuanzisha biashara kubwa kabisa na ukatoboaIlilipwa na Taasisi iliyoniita huko kuwafanyia kazi yao, nilitumiwa tu kwa simu
Convenience na comfortability.VIP
2 x 2
Huduma:
Bites
Vinywaji
AC
TV
Oyaaa! kitambo my mom used to call me mgagagigikoko hii ina maana gani?Kwa nchi hii ya watawala Wagagagigikoko na wachumiatumbo. basi likishaandikwa "VIP BUS" ubavuni mwake, tayari linakuwa VIP mkuu. Nchi ya kipuuzi sana hii.
Jamaa alitaka agonge ugali nyama mboga saba km kwa shilole.VIP
2 x 2
Huduma:
Bites
Vinywaji
AC
TV
Mkuu pole sana,mi nilikua mbio nirudi dar na mishe zangu niko mbeya kwanza tukuyu huko.Bus halikuwepo wakati nakata tiketi , lilikuja baadae muda wa kusafiri ulipokaribia
Mgagagigikoko=MazombieOyaaa! kitambo my mom used to call me mgagagigikoko hii ina maana gani?