KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Ungeanzisha timbwili yani umeshapanda unaanza kuwauliza choo kiko wapi..?Bus halikuwepo wakati nakata tiketi , lilikuja baadae muda wa kusafiri ulipokaribia
kama hakipo unawaambia unamwaga inya kuanzia mwisho wa bus mpk kwa dereva!.
unang'aka haswa kama hakuna na AC unawaambia unavunja dirisha!.
yani unahakikisha hukamatiki hivyo vi juice na biscuit unakataa unapiga zogo unataka ugali nyama!..🤣