NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Wakati mwingine kukubali Mimba sio rahisi kihivyo!!mnajikuta mpo watatu KWA dem mmoja wakati huo huo Hadi unafanya kusitisha MAHUSIANO!!sasabaadae unaambiwa mimba unashtuka!!Hii mada waisome sperm donor wote waliopo humu jf, inasikitisha sana mtu kujifanya anakupenda sasa ilhali alikukana na kukutelekeza tangu mimba🤤🤤, baba mlezi kamsitiri mama yako na wewe pasipo kusita, mthamini na ongea nae juu ya hilo mpe heshima na nafasi yake maana anastahili hilo na abarikiwe sana
Anajipendekeza baada ya kukosa mtoto wa kike tu