Busara kidogo inahitajika katika hili

Busara kidogo inahitajika katika hili

Na hili wanaume ndio tujifunze. Unapanda ulichovuna.

Kuna mzee alijitetea vyema kwa mwanae akaeleweka. Yeye alikimbia shauri ya ugumu wa maisha, alijielezea mpaka mtoto machozi yakamtoka. Mimi binafsi, aliyekimbia kwa shauri ya ugumu wa maisha walau naweza kujenga naye bond, lakini sio yule anayekuja kwa kulazimisha.

Huyu wa kwako ni miyeyusho ale kona tu. Japo, hujaeleza vema stori hasa ilikuaje, inaonekana alitema shit kwa mama yako. Maana haiwezekani hata kama walikua hawana good terms bado si sababu kutokukuhudumia.
 
kikubwa ushukuru umezaliwa na unaakili timamu baba wakweli hawezi sema Mama ako ndo anamakosa wanaume hua tunameza Moto usikute baba mzazi alivosikia mama ako kakunwa na nahuyo mlezi akaamua kumuacha kuepusha dhahama

Kwangu muheshimu Sana aliyekuleta duniani mama zenu Hawa changamotosana
 
Muulize mama ako sababu ya baba ako kukutelekeza, maana kwa hili swala wamama wanapenda sana kuplay victims wakati nyuma ya pazia wao ndio sababu ya kuwatenganisha watoto na baba zao. Nasema haya kwa sababu thats what im going through right now,
Imagine mwanamke anakutegea mimba kwa makususdi
  • Haujawahi kupanga kumuoa wala hamjawahi kuzungumzia suala la kuzaa wala haujawahi kumtongoza kumtamkia neno nakupenda it was just a company ila mwisho wa siku anakwambia ana mimba
  • Unakubali kugharamikia na kuishi naye kwa sababu ya kijacho na sio mapenzi
  • Kipindi mkiishi anakuletea visa na visanga ambavyo havivumiliki (kucheat akiwa na mimba, malimbwata) ila unamezea kwa sababu unajua sio type yako ni kumhurumia tu ajifungue salama
  • Anajifungua umegharamikia kila kitu ila kwa sababu anajua hautomuoa anakufanyia visa ili ukasirike umtelekeze mtoto ili akajihurumishe kwa watu wengine kuwa amezalishwa akatelekezwa ili hali baba unamjali mtoto na unamgharamia vizuri tu
Wakati mwingine wamama ndio huwa wanalazimisha hii hali esp. pale anapojua kuwa mwanaume hana mpango wa kumuoa lakini anagharamia mtoto, kwa hiyo kwa maksudi wanaforce mazingira ya kumfanya mwanaume amtelekeze mtoto ili kumtia ubaya kwenye jamii.
Wanawake wengi wanatumia watoto kama fimbo za kuwatia ubaya wanaume waonekane hawajali kumbe ni ujinga wao wa kudhani ukimtegea mimba mwanaume ndo atakuoa.
 
Kama hukuzaliwa mazingira hayo huwezi kijua, waswahili wanasema anayekulisha ndo anayekumiliki, why do you respect your parents Kama unao, simply because they you came in this world through them, their responsibility was to feed, raise you and take care of you: kukulisha , kukutunza na kukulea ndo utimilifu wa uzazi wao kwako: Haijalishi what happened between baba na huyo binti, lakin absence ya biological father Kwa huyu binti, it disqualifies him automatically as a father: period:
Labda kama utachukulia neno BABA ni kama title ila biologicaly hata upinge vipi binti ana damu ya baba aliyekimbia mimba na hili linaweza kuwa proven scientificaly with clear evidence .

Ila tukija kihisia na connection binti anayo sana kwa huyu baba mlezi maana ndo amekuwa naye ila kaa ukijua jamaa kujitambulisha kwa binti tayari ameshakuwa part ya maisha yake .

N.b
Hakuna mbegu inatengenezwa maabara from scratch labda kama una ushahidi timilifu .
 
There are two sides in this, ungefuatilia story upande wa pili pia ili uunganishe na upande wa kwanza maana hata ukatae vipi DAMU NI NZITO KULIKO MAJI.
 
Labda kama utachukulia neno BABA ni kama title ila biologicaly hata upinge vipi binti ana damu ya baba aliyekimbia mimba na hili linaweza kuwa proven scientificaly with clear evidence .

Ila tukija kihisia na connection binti anayo sana kwa huyu baba mlezi maana ndo amekuwa naye ila kaa ukijua jamaa kujitambulisha kwa binti tayari ameshakuwa part ya maisha yake .

Hapa kinachobishaniwa sio biological father kuwa baba ama sio baba, kinachobishaniwa ni kwamba does this guy who gave sperms to this girl deserves her attention? , jamaa kujitambulisha Kwa binti haiadhiri chochote emotionally because bond kati ya mtoto na mzazi hutengenezwa kwa mda mrefu sana ,

N.b
Hakuna mbegu inatengenezwa maabara from scratch labda kama una ushahidi timilifu .

Mbegu ya kuzalisha inaweza ikatoka hata Kwa marehemu, binadam mwenye utu na na roho ya kulea na kutunza should be respected and appreciated beyond anything.
 
Muulize mama ako sababu ya baba ako kukutelekeza, maana kwa hili swala wamama wanapenda sana kuplay victims wakati nyuma ya pazia wao ndio sababu ya kuwatenganisha watoto na baba zao. Nasema haya kwa sababu thats what im going through right now,
Imagine mwanamke anakutegea mimba kwa makususdi
  • Haujawahi kupanga kumuoa wala hamjawahi kuzungumzia suala la kuzaa wala haujawahi kumtongoza kumtamkia neno nakupenda it was just a company ila mwisho wa siku anakwambia ana mimba
  • Unakubali kugharamikia na kuishi naye kwa sababu ya kijacho na sio mapenzi
  • Kipindi mkiishi anakuletea visa na visanga ambavyo havivumiliki (kucheat akiwa na mimba, malimbwata) ila unamezea kwa sababu unajua sio type yako ni kumhurumia tu ajifungue salama
  • Anajifungua umegharamikia kila kitu ila kwa sababu anajua hautomuoa anakufanyia visa ili ukasirike umtelekeze mtoto ili akajihurumishe kwa watu wengine kuwa amezalishwa akatelekezwa ili hali baba unamjali mtoto na unamgharamia vizuri tu
Wakati mwingine wamama ndio huwa wanalazimisha hii hali esp. pale anapojua kuwa mwanaume hana mpango wa kumuoa lakini anagharamia mtoto, kwa hiyo kwa maksudi wanaforce mazingira ya kumfanya mwanaume amtelekeze mtoto ili kumtia ubaya kwenye jamii.
Wanawake wengi wanatumia watoto kama fimbo za kuwatia ubaya wanaume waonekane hawajali kumbe ni ujinga wao wa kudhani ukimtegea mimba mwanaume ndo atakuoa.
Rudia kusoma vizuri, utaona mleta mada amesema mzee alikiri alikosea, na sababu ni mambo ya ujana.

By the way, ukigombana na mama unapata uhalali wa kumtelekeza mtoto? This is one lame excuse!
 
Muulize mama ako sababu ya baba ako kukutelekeza, maana kwa hili swala wamama wanapenda sana kuplay victims wakati nyuma ya pazia wao ndio sababu ya kuwatenganisha watoto na baba zao. Nasema haya kwa sababu thats what im going through right now,
Imagine mwanamke anakutegea mimba kwa makususdi
  • Haujawahi kupanga kumuoa wala hamjawahi kuzungumzia suala la kuzaa wala haujawahi kumtongoza kumtamkia neno nakupenda it was just a company ila mwisho wa siku anakwambia ana mimba
  • Unakubali kugharamikia na kuishi naye kwa sababu ya kijacho na sio mapenzi
  • Kipindi mkiishi anakuletea visa na visanga ambavyo havivumiliki (kucheat akiwa na mimba, malimbwata) ila unamezea kwa sababu unajua sio type yako ni kumhurumia tu ajifungue salama
  • Anajifungua umegharamikia kila kitu ila kwa sababu anajua hautomuoa anakufanyia visa ili ukasirike umtelekeze mtoto ili akajihurumishe kwa watu wengine kuwa amezalishwa akatelekezwa ili hali baba unamjali mtoto na unamgharamia vizuri tu
Wakati mwingine wamama ndio huwa wanalazimisha hii hali esp. pale anapojua kuwa mwanaume hana mpango wa kumuoa lakini anagharamia mtoto, kwa hiyo kwa maksudi wanaforce mazingira ya kumfanya mwanaume amtelekeze mtoto ili kumtia ubaya kwenye jamii.
Wanawake wengi wanatumia watoto kama fimbo za kuwatia ubaya wanaume waonekane hawajali kumbe ni ujinga wao wa kudhani ukimtegea mimba mwanaume ndo atakuoa.
Hivi mnaposema mwanamke kakutegea mimba hii inakaaje? kwamba unakua hujui kukutana bila kinga inaweza sababisha mimba au huwa mna maana gani?
 
Rudia kusoma vizuri, utaona mleta mada amesema mzee alikiri alikosea, na sababu ni mambo ya ujana.

By the way, ukigombana na mama unapata uhalali wa kumtelekeza mtoto? This is one lame excuse!
Hawa ndio wanaotelekeza watoto kwa sababu za kijinga sasa angalia sababu alizoandika hapo yaan hamna sababu yoyote ya msingi wanakimbia tu majukumu yao.
 
Lil sis don't stress yourself; Wala hata usiwaze huyo baba yako anajisikiaje; sio shida zako hata kama umemsamehe.

Baba yako ni mtu selfish; wakati wewe unamuhitaji kwenye maisha yako; yeye hakuwa tayari. Muda huu yeye anakuhitaji wewe na anakulazimishia; sio sawa.

Ukweli ni kwamba sio kila mwanaume ni baba. Kuna watu wengi waliolelewa na baba zao; lakini hicho alicho/anachokupa baba yako mlezi; kuna millions of people hawajawahi kuki_experience. Mshukuru huyo baba yako mlezi sanaaaaa. Hujapata ombwe/ trauma kwa sababu ya kutokulelewa na baba; kwa sababu yeye aliamua kuwa baba ambaye hukuwa naye. Mimi ninajua umuhimu wa uwepo wa baba kwenye maisha ya mtoto wa kike; kwa kukukubali wewe na kukufanya mtoto wake uuuh; kitu kikubwa mnoooo, ni neema.

Tena mama yako mmmh basi tu; mimi binafsi ningekupa na surname ya huyo baba mlezi period; ingebaki tu damu yake kwako maana haiwezi kutolewa. Ubaba sio tu kumwaga mbegu; ubaba ni malezi. Baba ni yule anayejua umekula nini, umevaa nini, umelala wapi; anakupenda, anakujali, anakufundisha, anakuoyna, anakuwa concerned na wewe kwa Kila hali. Ukiumwa, ukiwa na changamoto yoyote; he is always there you. Huyo ndiyo baba na hicho kinacho-form bond kati ya mtoto na mzazi. You are an absentee parent; don't expect any bond with your child

Huyo baba yako mzazi; kaa naye kwa kina mwambie tu you are at peace with him, unamtambua kama baba yako mzazi; ila huwezi kuwa karibu naye kama anavyotamani. Ni mtoto wake kwa kukuzaa; but alishauza hiyo haki kwa mwanaume mwingine.

Nenda kamwambie baba yako mlezi ukweli wote; asije akakuona you are an ingrate. Naamini amefanya Kila kitu kwenye maisha yako kwa sababu ya upendo na sio kungoja shukrani. But kiubinadamu tu; mpe tu shukrani zake; una deni juu yake. Mpe na msimamo wako juu ya huyo baba yako mzazi. Hakikisha baba yako mlezi ana amani juu yako. Don't lose than man, don't hurt him, don't disappoint him. Make him proud; isije siku akasema "mtoto wa watu ni wa watu tu".
Upo sahihi but uliopoanza kuingizia habari za kumbadilisha mtoto ubini wa baba yake hapo ndipo ulipokosea kabisa. You can never deny a child his/her right to biological father sababu ya chuki zako tu.

Huyo mama yuko sahihi sana regardless ya situation aliyepo nayo.
 
UR VERY LUCKY!! Hongera kwa kupata malezi ya baba japo sio baba mzazi. Mimi hapa nimeanza kuishi na baba mzazi nikiwa form one kiukweli paka leo I don’t feel km nina baba yaani ni 0 bond btn Us, sometime tunakaa hata mwaka mzima bila kuonana wala simu mi nahisi labda anasubiri akizeeka hajiwezi ndo aanze kunitafuta.

Please usimuumize huyo baba bora, how I wish yani hayo mapenzi ningeyapata mimi.

All the best dear
Pole sana kipenzi

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Upo sahihi but uliopoanza kuingizia habari za kumbadilisha mtoto ubini wa baba yake hapo ndipo ulipokosea kabisa. You can never deny a child his/her right to biological father sababu ya chuki zako tu.

Huyo mama yuko sahihi sana regardless ya situation aliyepo nayo.

Baba aliyemkataa mtoto amesham-deny mtoto wake haki zote including kutumia jina lako; na yeye amejitoa kwenye maisha ya mtoto. Sasa huyu binti amepata faida gani kuitwa kwa jina la baba yake aliyemkataa? Kuna ndugu wa baba yake waliomtafuta kwa sababu jina lao ni sawa na la huyu binti?. Sidhani kama wewe kwako unajali sana mtoto wako kutumia jina lako pasipo wewe kuplay part yako kama baba kwake. Yaani mtoto umkatae then ulazimishe atumie jina lako? Ndiyo maana watoto wengine wanatumia majina ya ujombani. Ukikataa mtoto, unataka atumie jina lako ili iweje sasa?

Sio uchungu bali ni ukweli mchungu. Majina ya baba yake halisi atatajiwa tu akikua.
 
Baba aliyemkataa mtoto amesham-deny mtoto wake haki zote including kutumia jina lako; na yeye amejitoa kwenye maisha ya mtoto. Sasa huyu binti amepata faida gani kuitwa kwa jina la baba yake aliyemkataa? Kuna ndugu wa baba yake waliomtafuta kwa sababu jina lao ni sawa na la huyu binti?. Sidhani kama wewe kwako unajali sana mtoto wako kutumia jina lako pasipo wewe kuplay part yako kama baba kwake. Yaani mtoto umkatae then ulazimishe atumie jina lako? Ndiyo maana watoto wengine wanatumia majina ya ujombani. Ukikataa mtoto, unataka atumie jina lako ili iweje sasa?
Itabakia hivyo tu but hakuna decree ya kusema baba ame deny haki zake kwa mtoto.
 
Back
Top Bottom