Designated
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 422
- 1,088
Sio kila stori ina pande mbili. Jamaa kamtelekeza mwanamke na mimba. Halafu akaja kumtafuta mtoto baada ya miaka zaidi ya 20.
Hakuna sababu zitakazokua na mashiko, just lame excuses.
Hakuna sababu zitakazokua na mashiko, just lame excuses.
duh! haya mambo yapo sana kwa sisi tunaoishi na masingle mother, ila pia unatakiwa kuelewa kuwa huyo baba ako mzazi aliachana na ur mumy kwa7bu zipi! usukute labda alifumaniwa, au usikute labda huyo baba ako mzazi ndiye aliyeharibu mahusiano yake kayi ya baba mlezi na mama ako
Btw Kwakua hatujajua kisa cha mzazi halisi kukutelekeza basi Siwezi mlaumu. Ila cha msingi ongea na mama yako akupe kisa chote cha baba yako kukuacha kisha msikilize na baba yako pia upande wako then wewe mwenyewe utaamua cha kufanya. Choose wisely