Endelea kusafiri. Vijana wanaruka na mkeo. Wewe tafuta pesa tuuuuShughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.
Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.
Tutafute pesa.
NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
Waruke nae Tu.Endelea kusafiri. Vijana wanaruka na mkeo. Wewe tafuta pesa tuuuu
Mkuu nifanyie liteni nile mchanaShughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.
Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.
Tutafute pesa.
NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
Mie kwa mara ya kwanza nilisafiri daraja la kawaida na Qatar baadaye nikarudi na uae nilifurahi mno nikasema kumbe ndio mana kikwete alikuwa hakatiki angani yaani hao wadada wachangamfu Ile mbaya. Unauliziwa chicken or beef ,watu wanalewa ,wananyonyana mate yaani unaona uko dunia nyingineShughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.
Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.
Tutafute pesa.
NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
Sio kila kitu uchukulie serious,,hapa tumepigwa.
Immediately check in..... we are waiting for you๐ ๐ ๐ Am coming as soon as possible ASAP in nigerian voice.
Safi sanaShughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.
Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.
Tutafute pesa.
NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
picha/videoHata mabasi ukipanda first class unahudumiwa kwa heshima.
Jichanganye upande yehevo yire za kigoma uone matusi na ukizingua konda anakupa makofi.
Endelea kubarikiwa kama Id yako isemavyo!Shughuli zangu za kutafuta kipato zinanilazimisha kusafir mara nyingi kwenda nje kwa (ndege) za mashirika mbalimbali hususani Emirates, Qatar na KLM.
Sasa kutokana na Miles nilizo nazo mara kadhaa nimekua nikifanya upgrade kukaa Business Class aisee treatment yake si ya kitoto kuanzia CHECK IN, EXCLUSIVE LUXURY LOUNGE na inflight menu na huduma super.
Tutafute pesa.
NB: Samahani kwa wote watakaohisi nimewakwaza kwa bandiko hili. Ila ndio uhalisia
Sijui hii ndiyo wanaitaga kuokota dodo chini ya mlimao?Ilitokea zali tiketi yangu ilikuwa ni kama vile haitambuliki. Mfumo wao ulikuwa na matatizo wakanikatia tiketi kwenye trip ambayo kumbe ilishakuwa revoked na ikatakiwa kuondolewa kwenye system. Nafika airport system haisomi maana safari ya hiyo tiketi haipo. Halafu ni lisafari lirefu kutoka LAX mpaka Heathrow. Twende huku mara kule hakuna suluhisho maana ilikuwa ni full flight economy kumejaa. Vu bin vu mpaka kwa meneja simu zinapigwa makao makuu Chicago (United Airlines)
Mara naambiwa kuna siti moja imepatikana business class twende. Sema nilikuwa nimetia pamba safi nilipofika huko sikuonekana out of place sana japo ni kweli kuku mgeni hakosi kamba mguuni. Kiti tu kilivyo na entertainment system nikaona leo nimepanda level mpaka nikawa najiuliza huko first class huko kukoje?
Wahudumu wapole, vinywaji na vyakula bwerere, kiti kikubwa halafu kinasukumika kwa nyuma unalala kwa raha, yaani mpaka chooni kuko tofauti. Ni kati ya safari nilizosafiri kwa raha kabisa. Nikawa najisemea kuna haja kubwa ya kutafuta pesa kwa bidii aisee. Ila pesa nazo sasa mh! It has been more than 7 years na pesa ndo kwanza zinazidi kupiga chenga. Pesa hovyo sana aisee!๐
Hakuna maanamke aliyelaumiwa kupenda pesa aliyoitolea jasho la halali.Mambo hayo ๐
Halafu wanawake wanalaumiwa kupenda pesa๐
Pesa inaraha yake jamani
Hongera sana mkuu blessings naomba unibless li ten hapo..๐Hongera Sana Mkuu. Endelea kupambana pesa zitakuja tu
Mabasi ni utapeli wa kiwango cha juu bora kupanda ngarangara tuHata mabasi ukipanda first class unahudumiwa kwa heshima.
Jichanganye upande yehevo yire za kigoma uone matusi na ukizingua konda anakupa makofi.
Sasa kwa ukata huo ulionao yanini ujitese kwenda?OK mwenye safari ya kwenda Arusha naombeni lift mana mambo yangu hayapo vzr, safari n kesho J2
sijachukulia serious mkuu, nasongesha genge tu.Sio kila kitu uchukulie serious,,
Hapo sawa.... wahi kuchek in tuondokesijachukulia serious mkuu, nasongesha genge tu.