Business Class ina raha yake - tafuteni pesa

Mkuu m Kweli mkuu, mchawi pesa.
 
Mimi shauku yangu kubwa ilikuwa kupanda A380 kabla hazijasitaafishwa maana makampuni mengi yanalalamika gharama za uendeshaji ni mkubwa.

One day napata trip ya London nikafanya research nikapata Emirate anaenda london kwa A380. So chap nikabook kwenda lower deck, na kurudi upper deck.

So binafsi najiona nimemaliza kila kitu kwenye ndegešŸ˜„
 
Hodakaga natole nhomu Jamiiforum nachagole ganike gagabuza
Abanikī Bamujamii Foramu abingī omala gūbachima. Ūliyagamba lya magaka Lyang'walūgiko nkoyi!

Abonabamanile gīkī obachima basikile ikūmi na mpungatī. Nomhūkobe ganikī gageni ako gatalī ūgūching'wa na ming'wana Amujamii Foramu ūgatole.

Nūnene nkoyi hūtobanaga nachime nūlū ganīkī gamo guke Ahajamii Foramu henaha. Alīyobūlīkwene ūlūnabūja

"Ūbebe ng'wanikī oching'wa na ngosha ose ose Ahajamii Foramu henaha"

ÅŖdwanike dohaya:

"Īmaga nagūwīle yang'hana nkoyi Shimba ya Buyenze. Ūnene Ahajamii Foramu henaha naching'wa na gayanda gamo guke. Gagitanagwa ga T 1990 ELY. Gachimi balaa!"

Nagakumaja sana bahebu. Nikobelage nane gamo nachime nkoyi šŸ˜šŸ˜šŸ˜šŸƒšŸæā€ā™‚ļøšŸƒšŸæā€ā™‚ļøšŸƒšŸæā€ā™‚ļø
 
This is Qatar Airways..... Flight number QEw76D.....

It's a final call for our passenger Ibn Unuq pls check in, we are waiting you...
Hi imewahi kunitokea mimi binafsi tena hapa hapa bongo. Wakati wa JK, Mwakyembe akiwa waziri wa uchukuzi, alijaribu kulifufua shirika letu la ndege la ATC, nilikua na wenzangu tunatoka Dar kwenda Mwanza, I don't know nilikua ninafikiria nini, wakati tuna check IN nilisahau kuchukua boarding ticket, wahudumu wa ile ndege plus marubani walikua wazungu. Nilikua abiria wa mwisho, inasemekana yule mama wa Kizungu ambaye alikua anaongoza wale wahudumu aliagiza nisubiriwe na kama boarding ticket nimeikosa nipande cause ninayo ticket; so these things depends na aina ya watu wanao ongoza ndege hizo. Now days same ATC ina ndege nzuri lakini muda wa kuondoka haujulikani hata kama ume check IN.
 
Nashukuru kwa taarifa na ushuhuda Kuna mtu alinambia uwongo.... Ila watu wakati mwingine hawaelewi mpk unasikia jina huko...

Pole mkuu
 
Huu ushauri ni mzuri, ukipata fedha zaidi unaweza fikia ile hatua mtu anakodi zile yacht, anakula maisha baharini huko utadhani ni sea goddess.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…